Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

Kuna wakat nilikuwa nawah nyingine nachelewa had nasitisha zoezi mkuu
Sababu ni nyingi:
*Masturbation
*Mawazo
*Kupungua kwa homoni za testosterone

Jaribu kuwa mbunifu kwa bed. Unaweza ukaamsha hisia zako kwa kumshirikisha unaesex nae mf.kutia kidole mk*nd* huku unamgegeda,kunusa haruf yake ya K.

Yaani funguka Perversion yako ni ipi kuwa free kwa sex partners wako.

Mengine piga tizi,lala mapema, kula vyakula vya karanga samaki na protini ya kutosha.

Nikuulize?Ukichukua sheria mkononi (masturbation)huwa unawahi au unachelewa?
 
Asante mkuu
Nimetoa mfano.Ila Delayed Ejaculation ni ugonjwa kama ulivyo premature ejaculation tu.Sababu zipo nyingi puchu, mawazo,pombe,upungufu wa homoni testosterone, kukosa hisia na mtu,kutotarajia unachokiona mf. Bwawa, harufu mbovu, maneno ya kukatisha tamaa.n.k
 
Kuna sababu gani ya kudanganya mtu ambaye hata simjui?
Uko huru mkuu ni mawazo yako nayaheshimu
Mkuu masaa mawili bila wazungu kutoka halafu hajatumia madawa yeyote si kweli,halafu kashasema yeye ni mdau wa pull....sasa na pull alikuwa anapiga masaa mawili? Humu kuna watu wana akili zao na wanajua mengi,ukiandika mada mtu anajua tu hapa anauza chai kwa ajili ya kujifurahisha au anauliza swali kinyume nyume,kwasisi tuliosoma saikoloji jamaa ameona akiuliza kwamba yeye ni TAKO tatu atachekwa bora aulize kinyume nyume swali lake.
 
Back
Top Bottom