Nina tatizo la kuchelewa kufika kileleni

Sometimes inabidi especially if nyote mnapita tu.
 
Delayed inaweza kuwa ugonjwa ila si tatizo kama Pre-ejaculation!

Ndio maana hatutafuti mikongoraa wala hutaskia mtu anaulizia dawa ya delayed maana dawa zote wanazojinywea watu ni sababu ya kusaka delay!
 
Mwendo lazima uwepo ndio maana tunafika safari zetu salama...😎
Ila sensor ziko sawa ukiona hivyo, wanaotupa tabu ni wale wenye vinu used pro max πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ inabidi tugeuke waganga wa kutest mitishamba mbali mbali ili kuendana na kasi ya mlimbwende!

Maana unaweza shangaa una end trip af abiria bado anataka trip iendelee!
 
Una matatizo ya nguvu za kiume
 
Kwa wanaopiga tako mbili wazungu hawa hapaa lazima waseme hili ni tangazo la biashara dogo

Mkuu masaa mawili bila wazungu kutoka halafu hajatumia madawa yeyote si kweli,halafu kashasema yeye ni mdau wa pull....sasa na pull alikuwa anapiga masaa mawili? Humu kuna watu wana akili zao na wanajua mengi,ukiandika mada mtu anajua tu hapa anauza chai kwa ajili ya kujifurahisha au anauliza swali kinyume nyume,kwasisi tuliosoma saikoloji jamaa ameona akiuliza kwamba yeye ni TAKO tatu atachekwa bora aulize kinyume nyume swali lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…