Kuli Msomi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 266
- 625
- Thread starter
-
- #41
Kuna mawili tu hapo.....
1. Kufa. Ukifa utachangiwa inaweza fika hii
2. Jumua ngada. Ila kwa siku 15 inaweza kuwa ngumu ila utapata pata
Nilijua tu kauli na ushauri wa kizandiki huu utatoka wapi kama sio kwa mdogoye Evelyn Salt !??Muone P didy chap na hiyo pesa yako utabaki nayo utajipoza na soda
Kama unaweza ingia katika uchuuzo wa dhahabu,kwa 5m utapata gram 56 kwa 90k@ gram.
Ukienda sokoni gram moja ni 147k inamaana kwa gram 56 utatengeneza 8.08 milions ukitoa mtaji faida itakua 3.2 milions.
Kila wiki fanya safari moja migodini inamaana kwa mwezi utakua umetengeneza faida ya milion 7-8.5 ukitoa na gharama za usafiri na kodi.
Hapo 5milions itakua iko nje kama mtaji na utakua umetengeneza 7-8 millions kwa mwezi.
Kama utaweza uchuuzi wa madini ya dhahabu.
kabisa
alinde marinda
Hamna kama ungekua na walau laki tatu unusu ingewezekana kidogo.Hii ni idea nzuri kwa wenye pesa ila hii biashara mtaani tunatishwa vifo uwa nje nje
Aaah kaka ungeongeza walau laki mbili tungejua tunaizalishaje,ila moja unusu uongo.
Walau ingelikua tatu unusu ingelikua na uwezekano.
Ila ni hatari kidogo mkuu utakua tayari!?Tatu na nusu tunawezaje mkuu nipm
Labda umtafute Chief Godlove [emoji23][emoji23]
Uza bangi
Marinda ya mwana yapo matatani
acha kumdanganya mwenzako wewe..
Umekula ada eehWakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini
Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa
My location : Dar es salaam
Faida ni 1,900%. Asilimia 2,000 ni pato lake jipya la 3M likianiwahi (with respect to) kianzio cha 150,000.Mtaji wa 150,000 uzalishe faida ya 3m... Hapo faida ni 2000% ya mtaji. Tusikupe moyo mkuu, kupata faida ya asilimia afu mbili ngumu ndani ya nusu mwezi
Kajiropokea huyo hana alijualo.Mkuu tutoe kwenye ili giza tusije tukapelekwa kwenye madimbwi
umefanya au unafanya?Mkuu kama unataka uelekezwe sema mimi nimefanya hiyo biashara na leseni ninayo,unachobisha wewe nini!?
Unataka kuelekezwa!?
Sema tukuelekeze.