IZAMA
Member
- Dec 29, 2014
- 81
- 15
Ndugu Wanajamvi,,
Poleni na majukumu.
Historia:
Mimi ni kijana umri 25. Nilimaliza kidato cha 4 mwaka 2010. Nikafaulu na kuchaguliwa kujiunga form 5 (2011) Azania boys. Comb: PCB. Mlezi aliyekuwa ananisomesha alifariki 2009 mwaka 1 kabla ya kumaliza o'level.
Kwa neema nikafanikiwa kuanza form 5. Hata hivyo nililazimika kuacha kutokana na kushindwa kulipa ada na michango mbalimbali ya shule. Hata hivyo nikajiapizia kuendelea na masomo.
Update: Hivi karibuni nimejaribu kufuatilia MUHAS nikaambiwa nafasi zipo za kujiunga kama nikitumia cheti cha form 4 kupitia diploma. Kilichonikatisha tamaa ni ada yao yaani Tshs. 1,114,400 kwa mwaka na kozi hiyo itachukua miaka 3. Maana yake 1,114,400 X 3 =3,343,200/- Chuo kinaanza mwezi July 2015
Cheti changu kipo hivi:
2010
Chem B pass
Biology C pass
Physics D pass
Maths C pass
Geo C pass
Kisw C pass
Eng C pass
Hist C pass
Civ C pass
OMBI:
Nina kiasi cha Tshs. 300,000. Je,naweza kuifanyia nini pesa hiyo ili mpaka July niwe nimepata ada ya Tshs. 1,114,400?
Kaka zangu, dada zangu Naomaba msaada wa mawazo. Jinsi gani nisiikose nafasi hii maana bahati hairudi. Asanteni sana kwa utu wenu!!
Wadhamini mnakaribishwa.
Tuwasiliane: izackmanase@gmail.com au
0768577654
Poleni na majukumu.
Historia:
Mimi ni kijana umri 25. Nilimaliza kidato cha 4 mwaka 2010. Nikafaulu na kuchaguliwa kujiunga form 5 (2011) Azania boys. Comb: PCB. Mlezi aliyekuwa ananisomesha alifariki 2009 mwaka 1 kabla ya kumaliza o'level.
Kwa neema nikafanikiwa kuanza form 5. Hata hivyo nililazimika kuacha kutokana na kushindwa kulipa ada na michango mbalimbali ya shule. Hata hivyo nikajiapizia kuendelea na masomo.
Update: Hivi karibuni nimejaribu kufuatilia MUHAS nikaambiwa nafasi zipo za kujiunga kama nikitumia cheti cha form 4 kupitia diploma. Kilichonikatisha tamaa ni ada yao yaani Tshs. 1,114,400 kwa mwaka na kozi hiyo itachukua miaka 3. Maana yake 1,114,400 X 3 =3,343,200/- Chuo kinaanza mwezi July 2015
Cheti changu kipo hivi:
2010
Chem B pass
Biology C pass
Physics D pass
Maths C pass
Geo C pass
Kisw C pass
Eng C pass
Hist C pass
Civ C pass
OMBI:
Nina kiasi cha Tshs. 300,000. Je,naweza kuifanyia nini pesa hiyo ili mpaka July niwe nimepata ada ya Tshs. 1,114,400?
Kaka zangu, dada zangu Naomaba msaada wa mawazo. Jinsi gani nisiikose nafasi hii maana bahati hairudi. Asanteni sana kwa utu wenu!!
Wadhamini mnakaribishwa.
Tuwasiliane: izackmanase@gmail.com au
0768577654