Nina udomo zege pro max, nahitaji ushauri


In all that year =🙅‍♂️
In all those years= 👍

Nothing personal
 
Mkuu umenipa point naenda kujaribu nitakupa feedback
 
Una lack of confidence, jichanganye na jamii
 
Unafeli wapi...
Tafuta namba yake ya simu kama unayo ni poa zaidi...

Kisha mtongoze kama ifuatavyo...

Wewe: Mambo ?
Yeye: poa tu nani? (Hapo tufanye hana namba yako)
Wewe: mi intro...
Yeye: oh sawa nambie..
Wewe: fresh tu Sara (tuna assume tu anaitwa hivo) Kuna kitu nataka kukuliza sorry kama ntakukera..
Yeye: poa tu uliza..
Wewe: hivi kwann unanichukia sana?..
Yeye: Mimi nakuchukia ? Kwann unasema hivo?
Wewe: ukiniona unanuna sijui nimekukosea nn?
Yeye: hapana bana hisia zako tu... Mi sikuchukii
Wewe: kweli?
Yeye: ndio..
Wewe: siamini eti tunaweza kutana mahali nione kama unaweza tabasamu hata kidogo..
Yeye: mh una nn lakini?
Wewe: nataka tu kudhibitisha maana Kila saa nakosa Raha kwa ajili yako!..
.
.
.
Yeye: usijali bana hata mi nakuelewa sema tu we ndo hua unanikaushia
Wewe: basi kesho tukutane sehemu kwa mazungumzo zaidi..
Yeye: poa utanipanga..
Wewe: sawa nimefurahi.. good night my best
Yeye: kwako pia
.
.
Ukishindwa na hapo ndo basi tena [emoji856][emoji3][emoji1787]
 
Tafuta hela mkuu
 
SEMA mkuu inabidi nikufuate pm una madini ya congo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…