Nina uhakika kila mmoja wetu hapa akiihoji na kuichunguza dini yake kwa kutumia akili yake binafsi mtambuka hakuna ataebaki kuwa mhanga wa doctrines

Nina uhakika kila mmoja wetu hapa akiihoji na kuichunguza dini yake kwa kutumia akili yake binafsi mtambuka hakuna ataebaki kuwa mhanga wa doctrines

Hili swali alishalijibu "Antony Szandor larvey " alikuwa mkatoliki na mpiga organ kanisani ila siku za wiki alikuwa na kawaida ya kujiingizia kipato kupitia kupiga piano kwenye carnivals mbali mbali ujerumani .

Kilichomshangaza ni kwamba jumapili alikuwa akiona watu wengi sana wakiends kutubia/kuungama kutokana na dhambi mbali mbali Walizozifanya ndani ya wiki ila watu hao hao wiki iliyofuata alikuwa akiwaona kwenye carnival wakirudia madhambi yale yale .

Jamaa akafikia hitimisho la kuunda dini ambayo itampatia mtu uhuru na pia kufanya yale yoote yanayochukuliwa kama madhambi bila ya kuwa na hofu ya kuadhibiwa siku ya mwisho ndiyo akaja na SATANISM .
Haha
 
Kila mtu alizaliwa Atheist bila imani ya aina yeyote ile. Hata wewe ulizaliwa Atheist bila imani ya aina yeyote ile.

Mpaka pale ulipo aminishwa na kukaririshwa hiyo imani ya dini yako unayo jifanya kuitetea.

Hata wewe unayejidai hapa kwamba Uislamu ndio dini ya kweli, Ungezaliwa kwenye familia ya kikristo na kuaminishwa Ukristo tangu utotoni mwako,

Leo hii ungekuwa unapinga uislamu na kusema ukristo ndio dini ya kweli.

Hivyo hoja yako ya kusema kwamba Atheists wengi ni wakristo na kwa hivyo huo ndio uthibitisho wa ukweli wa dini ya kiislamu, Ni kufanya Logical non sequitur.

Unaunganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote ule kuunda hitimisho potofu.
Hakika
 
Mungu alimuumba mwanadamu kama kiumbe kinachoabudu.Usipomwabudu Mungu utaiabudu Mungu Mingine na mashetani.Hata babu zetu walikuwa wakiamini kuna nguvu super natural.Walikuwa wakiporwa kitu wanasema Mungu yupo.Kwa Taarifa Imani za jadi zina waumini wengi Kuliko Imani za Mashariki ya Kati.Kuna wakristo na waislam wengi Huenda Kwa hizi Imani.Imani za jadi hazina Majengo maalum wala Vitabu.Ila zipo.Siku umemwelewa Mungu Katika level za intelect na logic huyo hawi Mungu tena.Dini ni ngazi ya kuanza kumwelewa Mungu.Anzia hapo.Mleta Uzi unamwelezaje Mtu kwamba Nuhu aliunda safina,kisha baada ya gharika akalewa mvinyo na kukaa uchi?
Yesu alipokuja aliwakuta watu Wana dini na madhehebu.Akawafundisha level nyingine Kabisa ya kumfikia Mungu.Hamwezi kuwa mnamwabudu Mungu bila kuwa organized:na mkishajiorganize mnatengeneza Mfumo.Kwene Mifumo ndiyo zinakuja dogmas.Sasa jifunze kutenganisha Imani, Mifumo,watu,Mungu na Wewe binafsi.Kusustain Mifumo kuna gharama.Sema kila anayelaumu dini ni Kwa kuwa anakimbia gharama.Mtu huyo kama shabiki wa Chama au timu au Club haoni shida kuchangia gharama.Lakini shida inakuja Kwa Mambo ya kidogo.Shida kubwa Waafrika hatuko sincere na Jambo lolote.Mwafrika hata akienda Kwa Mganga wa jadi anaona kaonewa akiambiwa leta Mbuzi au Kuku.Anataka ahudumiwe bila gharama.Vilio vingi dhidi ya dini ni Njia za Kuepuka uwajibikaji.Tunataka dini ila tusiwajibike.We want religion without sacrifice.
 
Sasa kwanini mtume adanganye zimeshushwa wakati ni Hadith zilizokuepo kuhusu yesu mbona kwenye ukristo iko wazi Kuna agano jipya na la kale na ukristo uko wazi mwasisi wake ni yesu kristo.
Ukrisito haukuhasisiwa na yesu bali ulihasisiwa na Paulo.
 
Mkuu hiki kichekesho unabonyeza ngapi hivi kukipata


Ogopa sana Dini ambayo inatumia mtutu kusambaa kwa nguvu na maguvu

Ukristo ni imani ambayo hulazimishwi wala hautaona mtu analazimishwa kuuwawa ili aingie, ni neno tu na maandiko ambayo unasoma ukiwa huko uliko ila mwenyewe utakiri ya kuwa Kristo ni Bwana na Mwokozi
Ukrisito ndio dini iliyo sambazwa kwa mbinu za kihovu kuanzia mauaji ,ukoloni na uporaji kuliko dini yeyote ulimwenguni.
Sema ww ni kilaza hujui hata history ya kusambaa kwa dini yako zaidi ya kukalilishwa na nabii wako uchwara.
 
Sisi ni nani, Kwanini tuwe sisi, Kwanini tuwe kama wao.

Hivi kiundani ushajiuliza imekukuaje umekuwa wa dini hio? Kwa nini uamini kirahisi rahisi juu ya stori zao ambazo muda mwingine akili yako inazipa red flags (alerts) kwa maana ni somewhat controversial?

Unaweza kuta kweli njia wanayooiongelea ni sahihi ila wanaitumia kama technique ya kukufanya kuwa sehemu ya genge lao.

Nini dhumuni la genge lao, kumiliki dunia? Kuwatumia watu kuwa jeshi kupigania chuki zao dhidi ya kundi lingine?

Kwanini wawe tena tofauti, kama ni watoto wa muumbaji mmoja kwa nini wachukiane.

Sisi ni product ya itikadi zao, wengine walikuwa sociopaths, wengine psychopath , wengine walikuwa wapenda vita(war mongers), wengine walikuwa ni taifa katili,

Ila leo ndio tumeamua kuwa ndio wawe mashujaa wetu huku tukijietengenezea hofu kuwa tuki wa-criticize tutalaanika.

THINK, THINK AGAIN.
Mimi ni mkristu mkatoliki tena ex seminarian lakini kuna mambo nikiyatafakari naona kabisa ni ya kipuuzi na hayana tija yoyote.
 
Ukichunguza wengi wanaopinga kuhusu uwepo wa Mungu utagundua huko nyuma walikuwa ni wakristo. Ni nadra sana kumkuta muislamu abadilike kuwa Atheist.

Hii inazidi kuthibitisha kuwa uislamu ndio dini ya kweli.
Hakuna dini ina misingi dhaifu kama uislam,muulize atheist yeyote atakwambia.

Kitu usichokijua ni kwamba baada ya wao kuacha ukristo huwa wanatafiti kuhusu uislam pia,kwa kutumia hints zile zile wanagundua uislam ndio takataka kabisa.

Mfano mtu ukiulizwa una uhakika gani Muhammad alikutana na malaika pale pangoni unajibuje???sasa kuhoji swali hili ktk uislam ni kharam kabisa,muislam haruhusiwi maana ndipo akili yake itaanza kuacha imani.
 
Ukichunguza wengi wanaopinga kuhusu uwepo wa Mungu utagundua huko nyuma walikuwa ni wakristo. Ni nadra sana kumkuta muislamu abadilike kuwa Atheist.

Hii inazidi kuthibitisha kuwa uislamu ndio dini ya kweli.
Inathibitisha kuwa uislamu ni dini ya vitisho vingi na labda unaongelea wanaume coz dini ni ya wanaume so huwezi Toka kama unaweza oa mtoto wa miaka 6 na wake wanne why utoke...ila uliza wanachopitia wanawake huko middle east afu uniambie why wanatoroka na kwenda ulaya
 
Ukichunguza wengi wanaopinga kuhusu uwepo wa Mungu utagundua huko nyuma walikuwa ni wakristo. Ni nadra sana kumkuta muislamu abadilike kuwa Atheist.

Hii inazidi kuthibitisha kuwa uislamu ndio dini ya kweli.
Dini ya kweli ipo ndani ya mtu mwenyewe. Hamna ukristo, uislam, ubudha, etc
 
Usiniambie historia wakati mpaka sasa hivi kinachotokea huko Boko Haram Nigeria, hata hapa Msumbiji kwa majirani zetu unakiona kuhusu hiyo dini yako ya kisheitwani


Acheni watu waishi kwa amani pasi na kujivika majukumu ya Kiungu kuhukumu
 
Mungu up
Sisi ni nani, Kwanini tuwe sisi, Kwanini tuwe kama wao.

Hivi kiundani ushajiuliza imekukuaje umekuwa wa dini hio? Kwa nini uamini kirahisi rahisi juu ya stori zao ambazo muda mwingine akili yako inazipa red flags (alerts) kwa maana ni somewhat controversial?

Unaweza kuta kweli njia wanayooiongelea ni sahihi ila wanaitumia kama technique ya kukufanya kuwa sehemu ya genge lao.

Nini dhumuni la genge lao, kumiliki dunia? Kuwatumia watu kuwa jeshi kupigania chuki zao dhidi ya kundi lingine?

Kwanini wawe tena tofauti, kama ni watoto wa muumbaji mmoja kwa nini wachukiane.

Sisi ni product ya itikadi zao, wengine walikuwa sociopaths, wengine psychopath , wengine walikuwa wapenda vita(war mongers), wengine walikuwa ni taifa katili,

Ila leo ndio tumeamua kuwa ndio wawe mashujaa wetu huku tukijietengenezea hofu kuwa tuki wa-criticize tutalaanika.

THINK, THINK AGAIN.
Mungu upo ila dini au mbinu tunazotumia kuwasiliana nae nina mashaka nazo
 
Mungu up
Sisi ni nani, Kwanini tuwe sisi, Kwanini tuwe kama wao.

Hivi kiundani ushajiuliza imekukuaje umekuwa wa dini hio? Kwa nini uamini kirahisi rahisi juu ya stori zao ambazo muda mwingine akili yako inazipa red flags (alerts) kwa maana ni somewhat controversial?

Unaweza kuta kweli njia wanayooiongelea ni sahihi ila wanaitumia kama technique ya kukufanya kuwa sehemu ya genge lao.

Nini dhumuni la genge lao, kumiliki dunia? Kuwatumia watu kuwa jeshi kupigania chuki zao dhidi ya kundi lingine?

Kwanini wawe tena tofauti, kama ni watoto wa muumbaji mmoja kwa nini wachukiane.

Sisi ni product ya itikadi zao, wengine walikuwa sociopaths, wengine psychopath , wengine walikuwa wapenda vita(war mongers), wengine walikuwa ni taifa katili,

Ila leo ndio tumeamua kuwa ndio wawe mashujaa wetu huku tukijietengenezea hofu kuwa tuki wa-criticize tutalaanika.

THINK, THINK AGAIN.
Mungu upo ila dini au mbinu tunazotumia kuwasiliana nae nina mashaka nazo
 
Mungu up
Sisi ni nani, Kwanini tuwe sisi, Kwanini tuwe kama wao.

Hivi kiundani ushajiuliza imekukuaje umekuwa wa dini hio? Kwa nini uamini kirahisi rahisi juu ya stori zao ambazo muda mwingine akili yako inazipa red flags (alerts) kwa maana ni somewhat controversial?

Unaweza kuta kweli njia wanayooiongelea ni sahihi ila wanaitumia kama technique ya kukufanya kuwa sehemu ya genge lao.

Nini dhumuni la genge lao, kumiliki dunia? Kuwatumia watu kuwa jeshi kupigania chuki zao dhidi ya kundi lingine?

Kwanini wawe tena tofauti, kama ni watoto wa muumbaji mmoja kwa nini wachukiane.

Sisi ni product ya itikadi zao, wengine walikuwa sociopaths, wengine psychopath , wengine walikuwa wapenda vita(war mongers), wengine walikuwa ni taifa katili,

Ila leo ndio tumeamua kuwa ndio wawe mashujaa wetu huku tukijietengenezea hofu kuwa tuki wa-criticize tutalaanika.

THINK, THINK AGAIN.
Mungu upo ila dini au mbinu tunazotumia kuwasiliana nae nina mashaka nazo
 
Back
Top Bottom