Kuna matatizo mengine tuyasikie tu...!!!Kwaiyo hapo kuhusu kuzalisha shahawa haipo no kutia mimba anyaway pole sana, ni kama umehasiwa tafuta ya vidonge ukisema ul vyakula haitosaidia utaishia kunenepa tu
Kabisa aisee dahhKuna matatizo mengine tuyasikie tu...!!!
Naelewa unachokipitia please naomba jikaze nakuomba sana..utapona tu sindano ndio tiba yenye ufanisi imara kwakoAsante sana.
kwa mara ya kwanza nimekupata daktari (naomba nikuite hivyo). ila sindano zinachosha...yaani huwezi amini kila baada ya week 3 nachoma sindano kwa maisha yangu yote 🤧🤧🤧... at least ingekuwa baada ya miezi mitatu yaani sindano nne per year...
Asante sana
Ohhh pole sana ndugu!Mazoezi huwa nafanya ila kwa tafadhari maana hiyo hormone huongeza uimara wa mifupa na misuli, ukipungukiwa kuvunjika ni kugusa
Jitibu mwenyewe sasa. Au tengeneza dawa yako ya kupaka. We ukienda kwa wale mabwana wasikilize wanavokushauri sio unaleta masharti kabla. Ungekuwa unaijua hiyo dawa ya kupaka si ungenunua tu ujipake?Samahani kama nimekukwaza ila huu ni mwili wangu siyo wa daktari.Asante
Acha kumfokea Mgonjwa please..kua na huruma basi na weka maneno ya faraja kwake..hujafa hujaumbika Kiongozi hatuijui kesho yetu🤦Jitibu mwenyewe sasa. Au tengeneza dawa yako ya kupaka. We ukienda kwa wale mabwana wasikilize wanavokushauri sio unaleta masharti kabla. Ungekuwa unaijua hiyo dawa ya kupaka si ungenunua tu ujipake?
Hivi kumbe mtu anaweza kusense kufokea ata kwenye maandishi?Acha kumfokea Mgonjwa please..kua na huruma basi na weka maneno ya faraja kwake..hujafa hujaumbika Kiongozi hatuijui kesho yetu🤦
paqwa Unashangaa eeh..kwako ajabu sana🤦Aisee mbona ni jambo dogoHivi kumbe mtu anaweza kusense kufokea ata kwenye maandishi?
Na inakuaje mfano mtu akipata ngiri anaweza kuzalisha?paqwa Unashangaa eeh..kwako ajabu sana[emoji1751]Aisee mbona ni jambo dogo
sana kujua hilo wala hutumii akili kubwa ni kwa akili ndogo sana ya mtoto wa 6 years akisoma maandishi yako anaelewa kua unafoka..anaelewa kua wewe ni mtu wa Visirani..anaelewa kua wewe ni mtu usiejali Maumivu wala Hisia za waliokuzunguka[emoji4]
Kwa taarifa yako sio kufoka tu tayari nishakusoma ww ni mtu aina gani kuanzia kwenye ngazi ya family yako..kazini/Ofisini na kwa Jamii kwa ujumla
Maandishi yana reflect Personality yako kwa Asilimia 100 kwa ufupi yanakuelezea Uhalisia wako jinsi ulivyo
Kama hauna cha maana cha kuandika ni busara ukanyamaza tu[emoji4]
Kwanini unashupaza shingo kwa jambo lisilokuhusu na usilolijua, utapungukiwa nini ukikaa kimya.?.. au JF siku hizi inatoa tuzo kwa wajuaji hebu kaa kimya ..Jitibu mwenyewe sasa. Au tengeneza dawa yako ya kupaka. We ukienda kwa wale mabwana wasikilize wanavokushauri sio unaleta masharti kabla. Ungekuwa unaijua hiyo dawa ya kupaka si ungenunua tu ujipake?
Afadhari umejaribu kumuelewesha na ndiyo ukubwa huo, hongera.paqwa Unashangaa eeh..kwako ajabu sana🤦Aisee mbona ni jambo dogo
sana kujua hilo wala hutumii akili kubwa ni kwa akili ndogo sana ya mtoto wa 6 years akisoma maandishi yako anaelewa kua unafoka..anaelewa kua wewe ni mtu wa Visirani..anaelewa kua wewe ni mtu usiejali Maumivu wala Hisia za waliokuzunguka😊
Kwa taarifa yako sio kufoka tu tayari nishakusoma ww ni mtu aina gani kuanzia kwenye ngazi ya family yako..kazini/Ofisini na kwa Jamii kwa ujumla
Maandishi yana reflect Personality yako kwa Asilimia 100 kwa ufupi yanakuelezea Uhalisia wako jinsi ulivyo
Kama hauna cha maana cha kuandika ni busara ukanyamaza tu😊
Mm sio Dr ila hao madaktari hawakwambii ukweli korodani ndoa zinazalisha hizo hormone na zimeondolewa hapo unategemea Nini? Labda wakuwekee artificial hormone, hapo ulishakuwa impotent huwezi kunyandua Dem , pole sana mkuu hiyo ndoa inaitwa hujafa hujaumbikaNi muda mwingine najitokeza kuomba msaada, ushauli na mawazo kutoka kwa madaktari, wataalamu wa afya au mzoefu wa hili tatizo.
Ni baada ya kufanyiwa upasuaji (operation) ya kuondoa korodani zenye kansa na kubakia bila korodani ndipo tatizo lilipoanzia.
Nikakosa nguvu za kufanya kazi kwa muda mrefu,kupungua umakini wangu,kuwa mtu wa msongo wa mawazo kwa muda mrefu,kupoteza uwezo wa kufanya mapenzi na kupungua kwa mwili (kudhoofu mwili).
Nilirudi kumuona daktari akanieleza nina (Low testosterone (male hypogonadism) akanipatia dawa ya kuchoma kila mwezi ila inachosha, nimesikia ipo ya kupaka (gels) na vidonge (capsules).
Nimeipenda ya kupaka yaani Gel TRT au Cream,sasa je nitaipata wapi pale hospital hawa dawa hiyo msaada tafadhari....
Ndiyo hivyo walinieleza baada ya kuzitoa na sikuwa na namna nipo hapa kuziulizia hizo artificial (Testosterone Replacement Therapy) kifupi TRT . Msaada tafadhari.Mm sio Dr ila hao madaktari hawakwambii ukweli korodani ndoa zinazalisha hizo hormone na zimeondolewa hapo unategemea Nini? Labda wakuwekee artificial hormone, hapo ulishakuwa impotent huwezi kunyandua Dem , pole sana mkuu hiyo ndoa inaitwa hujafa hujaumbika
Pole sana mkuu.Kwanini unashupaza shingo kwa jambo lisilokuhusu na usilolijua, utapungukiwa nini ukikaa kimya.?.. au JF siku hizi inatoa tuzo kwa wajuaji hebu kaa kimya ..
Kwa taarifa yako nimeishapata dawa ya capsules, sasa kama ningekaa kimya ningezitoa wapi, tulia basi .
You will.be fine mkuu.nikijitahidi sana dakika 2 mshindo wa kwanza na jogoo ndipo analala kabisa ata afanyweje haamki, sasa kuna raha gani ya kufanya mapenzi kwa namna hii 🤧🤧🤧