Nina wasiwasi kuna Bia za kuchakachua hapa mjini

Nina wasiwasi kuna Bia za kuchakachua hapa mjini

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Sina nia ya kuwatisha wanywaji wenzangu wa bia. Lakini nimekuwa ninafanya ulinganifu ninapokunywa bia nikiwa Kenya na nikiwa Tz. Mfano ladha ya Heineken ya Kenya ni tofauti .

Pia Heineken ya sehemu kama Serena hotel au Supermarket kubwa unakuta ina utofauti wa Ladha na hata harufu na Heineken zinazouzwa kwenye Baa za mitaaani.

Za mtaani asilimia kubwa zimetulia hazina vipovu vilivyochangamka, pia zina harufu na hata umwe vipi hucheuwi hata kidogo, lakini za Serena hotel na Big Supermarket ambazo zina ladha, zinatoa vipovu vilivyochangamka na ukinywa unacheua.

Kuna namna vyombo vinavyohusika vitupie jicho maana nchi hii kuna matapeli wengi sana na ndio maana magonjwa ya Figo , ini na Cancer

yamezidi kuongezeka sana
 
Sina nia ya kuwatisha wanywaji wenzangu wa bia. Lakini nimekuwa ninafanya ulinganifu ninapokunywa bia nikiwa Kenya na nikiwa Tz. Mfano ladha ya Heineken ya Kenya ni tofauti .

Pia Heineken ya sehemu kama Serena hotel au Supermarket kubwa unakuta ina utofauti wa Ladha na hata harufu na Heineken zinazouzwa kwenye Baa za mitaaani.

Za mtaani asilimia kubwa zimetulia hazina vipovu vilivyochangamka, pia zina harufu na hata umwe vipi hucheuwi hata kidogo, lakini za Serena hotel na Big Supermarket ambazo zina ladha, zinatoa vipovu vilivyochangamka na ukinywa unacheua.

Kuna namna vyombo vinavyohusika vitupie jicho maana nchi hii kuna matapeli wengi sana na ndio maana magonjwa ya Figo , ini na Cancer

yamezidi kuongezeka sana
Hii ni kweli kabisa. Na hasa heineken wanachakachua sana, hii kitu imenifanya niache kunywa bia kabisa.

Kuna siku nimenunua heineken naweka kwenye glass lkn huoni lile povu nilozoea, kuinywa sasa radha hamna kabisa. Wanatunywesha mambo ya ajabu sana siku hizi
 
Back
Top Bottom