Nina wasiwasi na mke wangu...


Very statement braza God bless you
 
Hapo ushaambiwa anaumwa vidonda vya tumbo means akifika hakupi mzigo ili usijue kama "IMECHAKATWA",pili kwani huna ndugu zake wa singida ukawapigia kujua kama yupo huko na kuna shida gani?

Mkuu hatasjui nikwambie nini siko sawa kiukweli kiongoz but nimekuelewa
 
Kwani nyie makazi yenu ni wapi ilitujue sababu za yeye kulala dodoma kwa kukosa usafiri. ila nawewe ni kinyembe kweli alipokuambia kafika singida kwa dada zake kwanini usinge wasalimia dadazake kama wako naye home
 

Sawa mkuu nimekuelewa shukrani
 
Katika hilo umechemka wewe yaan mke akuambie safari usiku eti dada zake ni msiba au
 
Mkuu akifika tu home kagua injini. Utagundua tu kama Kuna fundi aliichezea.
 
Hao dada zake unawajua?
Na uliongea nao hata kwa simu kupata ukweli?
Halafu hakuna watu wanafki kama mashemeji,wanakuwa wanajua nini kinaendelea kwa ndugu yao.

Ajabu wakikuona utasikia aah! Shemelaa...[emoji1][emoji1]
 

Noop mkuu hujanielewa nimesema saa 2 ndo alikuwa anaondoka kuelekea singida means alishafila before ya saa 2 soma vizur mkuu utaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…