Nina watoto sita, kila mtoto na mama yake, sitaki mama zao wawe "single mothers", nawezaje kuishi nao wote?

Myebusi Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2022
Posts
671
Reaction score
1,543
Nimebahatika kujenga nyumba mitaa hii ya Mbezi Msakuzi. Mimi kwa sasa nina jumla ya watoto sita kutoka kwa mama tofauti.

Je nifanyeje niwa convince πŸ˜‹ niishi nao wote nyumba moja? Napenda kuona watoto wangu wakiishi wote pamoja na Baba yao, wacheze pamoja na wale pamoja.

Niwafundishe maadili mema na dini za mizimu ya kwetu. Tatizo mama zao kila mmoja ana kabila lake na ustaarabu tofauti wa maisha na kwetu.

Naombeni msaada tafadhali
 
Kheee..!!! Hakuna cha kufanya acha ujinga
 
Karne ya sasa itakua ngumu hiyo hakuna mwanamke anayependa asikie una mwanamke mwingine.
 
Mkuu utaweza kuwatimizia mahitaji yao ya kimwili na kihali?
 
Hata tajiri Bakhresa asingeweza kuishi nao wote
 
Ushauri wangu tafuta pesa za kutosha.
Mjengee kila mmoja na usafiri juu.

Utaishi nao hata 7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…