Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,202
- 4,653
Ebuh ngoja kwanza so wanawake wote 6 hamna aliyeolewa ????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta eneo kubwa Jenga apartments Saba na nyumba zipeane space ya kutosha kiasi kwamba wasishee baadhi ya vitu na hivyo vijumba Saba viwe vinajitosheleza kila kitu ndani yaani choo vyumba viwili na sebule. Wagawie kila mtu chake na ustaarabu wake hala wewe unachukua hicho Cha Saba na usioneshe upendeleo kwa yoyote Kati yao Wala watoto ....vyakula Kama mchele nunua nunua kwa viroba Kama debe moja kila mtu debe, Kama mafuta galon la Lita tano Basi wote hivyo hivyo hapo utawafaidi na kufanya wachunganeNimebahatika kujenga nyumba mitaa hii ya Mbezi Msakuzi. Mimi kwa sasa nina jumla ya watoto sita kutoka kwa mama tofauti.
Je nifanyeje niwa convince [emoji39] niishi nao wote nyumba moja? Napenda kuona watoto wangu wakiishi wite pamoja na Baba yao, wacheze pamoja na wale pamoja.
Niwafundishe maadili mema na dini za mizimu ya kwetu. Tatizo mama zao kila mmoja ana kabila lake na ustaarabu tofauti wa maisha na kwetu.
Naombeni msaada tafadhali
Kamuulize dokta mwakaNimebahatika kujenga nyumba mitaa hii ya Mbezi Msakuzi. Mimi kwa sasa nina jumla ya watoto sita kutoka kwa mama tofauti.
Je nifanyeje niwa convince [emoji39] niishi nao wote nyumba moja? Napenda kuona watoto wangu wakiishi wite pamoja na Baba yao, wacheze pamoja na wale pamoja.
Niwafundishe maadili mema na dini za mizimu ya kwetu. Tatizo mama zao kila mmoja ana kabila lake na ustaarabu tofauti wa maisha na kwetu.
Naombeni msaada tafadhali
Kwa nini sita (6) tu, isiwezekane wakati kuna huyu hapa ana wake 15 na wote wanaishi pamoja.
Connection pleaseKamuulize dokta mwaka
AsanteTafuta eneo kubwa Jenga apartments Saba na nyumba zipeane space ya kutosha kiasi kwamba wasishee baadhi ya vitu na hivyo vijumba Saba viwe vinajitosheleza kila kitu ndani yaani choo vyumba viwili na sebule. Wagawie kila mtu chake na ustaarabu wake hala wewe unachukua hicho Cha Saba na usioneshe upendeleo kwa yoyote Kati yao Wala watoto ....vyakula Kama mchele nunua nunua kwa viroba Kama debe moja kila mtu debe, Kama mafuta galon la Lita tano Basi wote hivyo hivyo hapo utawafaidi na kufanya wachungane
AsanteUshauri wangu tafuta pesa za kutosha.
Mjengee kila mmoja na usafiri juu.
Utaishi nao hata 7
Kwanini?Hata tajiri Bakhresa asingeweza kuishi nao wote
NdioMkuu utaweza kuwatimizia mahitaji yao ya kimwili na kihali?
Kwa hiyo ndio sababu ya kunfanya kuwa single mother?Karne ya sasa itakua ngumu hiyo hakuna mwanamke anayependa asikie una mwanamke mwingine.
Ujinga upi huo?Kheee..!!! Hakuna cha kufanya acha ujinga
Connection please
Hiyo kawaida, hata mkeo anaweza kugongwa sana na bodabodaUtachapiwa sana na bodaboda
Hiyo kawaida, hata mkeo anaweza kugongwa sana na bodabodaUtachapiwa sana na bodaboda