Nina watoto sita, kila mtoto na mama yake, sitaki mama zao wawe "single mothers", nawezaje kuishi nao wote?

Nina watoto sita, kila mtoto na mama yake, sitaki mama zao wawe "single mothers", nawezaje kuishi nao wote?

Ebuh ngoja kwanza so wanawake wote 6 hamna aliyeolewa ????
 
Kuna watu mnagawa dozi mkuu endelea kutekeleza maagizo
Mkaujaze ulimwengu
 
Nimebahatika kujenga nyumba mitaa hii ya Mbezi Msakuzi. Mimi kwa sasa nina jumla ya watoto sita kutoka kwa mama tofauti.

Je nifanyeje niwa convince [emoji39] niishi nao wote nyumba moja? Napenda kuona watoto wangu wakiishi wite pamoja na Baba yao, wacheze pamoja na wale pamoja.

Niwafundishe maadili mema na dini za mizimu ya kwetu. Tatizo mama zao kila mmoja ana kabila lake na ustaarabu tofauti wa maisha na kwetu.

Naombeni msaada tafadhali
Tafuta eneo kubwa Jenga apartments Saba na nyumba zipeane space ya kutosha kiasi kwamba wasishee baadhi ya vitu na hivyo vijumba Saba viwe vinajitosheleza kila kitu ndani yaani choo vyumba viwili na sebule. Wagawie kila mtu chake na ustaarabu wake hala wewe unachukua hicho Cha Saba na usioneshe upendeleo kwa yoyote Kati yao Wala watoto ....vyakula Kama mchele nunua nunua kwa viroba Kama debe moja kila mtu debe, Kama mafuta galon la Lita tano Basi wote hivyo hivyo hapo utawafaidi na kufanya wachungane
 
Nimebahatika kujenga nyumba mitaa hii ya Mbezi Msakuzi. Mimi kwa sasa nina jumla ya watoto sita kutoka kwa mama tofauti.

Je nifanyeje niwa convince [emoji39] niishi nao wote nyumba moja? Napenda kuona watoto wangu wakiishi wite pamoja na Baba yao, wacheze pamoja na wale pamoja.

Niwafundishe maadili mema na dini za mizimu ya kwetu. Tatizo mama zao kila mmoja ana kabila lake na ustaarabu tofauti wa maisha na kwetu.

Naombeni msaada tafadhali
Kamuulize dokta mwaka
 
Nilichoelewa unataka kuishi na wanao, sio mama zao…. uongo?
 
Tafuta eneo kubwa Jenga apartments Saba na nyumba zipeane space ya kutosha kiasi kwamba wasishee baadhi ya vitu na hivyo vijumba Saba viwe vinajitosheleza kila kitu ndani yaani choo vyumba viwili na sebule. Wagawie kila mtu chake na ustaarabu wake hala wewe unachukua hicho Cha Saba na usioneshe upendeleo kwa yoyote Kati yao Wala watoto ....vyakula Kama mchele nunua nunua kwa viroba Kama debe moja kila mtu debe, Kama mafuta galon la Lita tano Basi wote hivyo hivyo hapo utawafaidi na kufanya wachungane
Asante
 
Hukujiandaa kuwa karibu nao.

Hutaweza kuwa karibu nao.

Kama hukuwahi kuwa mwajikaji kwa hao wote, ni vigumu kumpata hata mmoja.

Kwa kifupi HAIWEZEKANI.
 
Back
Top Bottom