Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Usiwe kama Mange kimambi please😂😂😂😂😂Acha tuwe makaburini ila hakuan Cha bure hapa " there is no free idea in USA " sitoi Hili wazo Hadi mtoe hela shinzi Sana mnapedna kuaftili umbea tu ila kununua wazo hamtaki hta kule Twitter nimeliuza Hili wazo hkn Cha bure
Wewe huoni ni Biashara kichaa? Yeye Biashara yake ni kuuza wazo la Biashara. Imagine unatoa laki 2 alafu anakwambia fungua pharmacy Kahama kuna hela,utamfanya nini?Hiv kwasababu gani watu wengi hupenda kuwakashifu watu straigjt namna hii mkuu?
Sina uhakika na anachokizungumzia dr namugari lakin why all of a sudden call someone tapel?
Hapa unazipanga lazime arudishe pesa hata kwa kipigo 😂Wewe huoni ni Biashara kichaa? Yeye Biashara yake ni kuuza wazo la Biashara. Imagine unatoa laki 2 alafu anakwambia fungua pharmacy Kahama kuna hela,utamfanya nini?
Kweli mawazo sahihi ya biashara sio rahisi kuyapatapata😅Kwanin naliuza ! Nauza kwa sababu nimetumia pesa zangu kufatilia na kupoteza muda mrefu nikifatilia na Sasa Ni biashra nzuri San na in pesa nzuri
Haihitaji efd mashine wala tra kukufatilia Zaid sna Ni leseni yako tu itakuweka salama na mtaji wa angalau milion 3 na ukiwaa Zaid utapiga Zaid pesa
Biashara inafanywa na watu wasionna elimu kubwa San japo na nimechunguza nikabaini kahama na tabora utapiga peza za maana
Kama mtu Yuko interested aje dm tuyajenga
Kuna mwalimu mmoja nimempa hiyo dili Hadi leo ananishukuru Hadi anatamani kuacha Kaz ajikite Zaid kwenye biashara hyo
Niwaonye tu wazo la biashara hamuwezi kulipata humu kiarahisi rahisi na wafanya biashra wengi Ni wasiri sna usitegemee atakule gesha dili kiarahisirahisi
Asipoipenda hiyo dili itakuwaje?Nitampa hyo dili huyo mmoja
Umeokoka lini?Hiv kwasababu gani watu wengi hupenda kuwakashifu watu straigjt namna hii mkuu?
Sina uhakika na anachokizungumzia dr namugari lakin why all of a sudden call someone tapel?
Nimesema tangu mwanzo kwenye comment huu ni utapeli huwezi kumuuzia mtu wazo la biashara bongo hii ila unaweza kutoa wazo Bure akiamza biashara na akafanikiwa ndo unaweza kuomba kupewa Asante.Wewe huoni ni Biashara kichaa? Yeye Biashara yake ni kuuza wazo la Biashara. Imagine unatoa laki 2 alafu anakwambia fungua pharmacy Kahama kuna hela,utamfanya nini?
,😂😂😂🤣Mimi nauza wazo la jinsi ya kupata wazo la muuza wazo bila kumlipa chochote.
Huo ujinga sifanyi lbda unipe milion 10 niliaachieMi natoa laki mbili liandike hapa kwa ajili ya wadau binafsi sitaki kujua idea yako sema nataka kufanya kama kurejesha kwa watu.
Sharti Ni udiposit pesa ndio nianze kukupa maelekezo Tena nitytaongea kwa dakika 15 tuNipe namba kwa mawasiliano
Huo ujinga sifanyi lbda unipe milion 10 niliaachieMi natoa laki mbili liandike hapa kwa ajili ya wadau binafsi sitaki kujua idea yako sema nataka kufanya kama kurejesha kwa watu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtaji wa hardware umeisha?
Laki 200 ya India?Wazo naliuza kwa laki 200 na
Laki 200lakin why all of a sudden call someone tapel?
Huo ujinga sifanyi katu yaani nikupe idea yangu nilitumia muda kuresearch alfu nikupe kirahisi never on the Earth nimetoa pesa nikapata pesa hakn aaliyenipa bure nimelinunua na .mm nauza kama hutaji basi nenda kauuze chipsi zege walio serious wakipita hatua kubwaNimesema tangu mwanzo kwenye comment huu ni utapeli huwezi kumuuzia mtu wazo la biashara bongo hii ila unaweza kutoa wazo Bure akiamza biashara na akafanikiwa ndo unaweza kuomba kupewa Asante.
Nitakuchagulia maeneo ya kufaya ili angalau Hadi mwak huu unaisha umepiga pesa za kutosha na kama utataka unaweza kuongeza dhamani hizo item na kuuza kimoja Hadi 380 Hadi laki tano ninwewe mwenyewe uatavyo taka uendeshe biashRaIo Biashara unafanya mkoa wowote au Ni mikoa specific
UJue hata saa mbovu huwa inaongea ukwel mara 2 katika sikuUmeokoka lini?
HongeraUJue hata saa mbovu huwa inaongea ukwel mara 2 katika siku