BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Hao wasomi utalia,Kwa mwanzoni, nitaanza na vijana wawili wenye certificate; mmoja kilimo, mwingine mauzo; hawa kazi yao ni kuzunguka kwenye masoko na shambani. Kwa kila shamba kijijini, nitatafuta mzee mtu mzima moja ambaye atakuwa anaripoti kwangu kimawasiliano.
HahaaaKILIMO CHA KWENYE MAKARATASI NA WHATSAPP KINALIPA SANA, INGIA KWENYE FIELD MWENYEWE UONE KAZI ILIPO
MAMBO YA UKO MJINI SHAMBA KIJIJINI UMEMUACHIA MTU MWINGINE KWA UAMINIFU UPI?
Mtu sahihi Watanzania? Labda Ulete watu kutoka IndiaNi kweli mkuu,nitajikita kwenye kupata mtu sahihi; nitaanza na wenye cheti kwanza
Nitachukua waliomaliza kidato cha nne, wakasomea cheti cha kilimo,kwa mwezi wataanza laki na nusu, na project inatakiwa iwe imekomaa ndani ya miezi 4Hao wasomi utalia,
Bado utapigwa tu, achana na Watanzania wewe hizo kuna watu wamejaribu na wakalia,TZ hiyo haiwez fanya kazi, Uaminifu zero,
Si unaona Mzee Pinda anaingia front mwenyewe
Tafuta kijana aliyemaliza Kilimo SUA, mtengeneze kampuni ya kilimo, mgawane shea wewe 70% yeye 30%,
70% yako ikiwa initial investment za kununua mashamba, vifaa vya kilimo, gharama za kulima plus mshahara kwa huyo kijana (lets say 300,000Tsh per month)
Hapo kijana atajituma kama mfanyakazi na kama mwenye kampuni, then in 3-5years ndo muanze gawana faida.
At least it can work ila initial cost itakuwa juu, ukishindwa hii ingia front mwenyewe
Hata Mbia bado atakuzunguka tuNakubaliana na wazo lako, kupata mtu atakayejituma bila kuwa mbia ni changamoto
Nitaanza na ekari 10 kwanza, kwa kilimo cha kiazi mviringo; nitatafuta binti aliyesomea certificate ya kilimo kwa ajili ya kutembelea mashambani na kusimamia. Nitatumia muda mwingi kupata mtu sahihiTry to scale down your project blood! nasema hivi kwa maana imekuwa ngumu sana kupata one to one relationship kati ya plan and result
Mipangalio yako ni mizuri lakini kwa kuitazama kwa haraka hii inaonekana ni massive project ambayo itabidi iwe handled professionally and not primitively.
Kama uta scale down project yako, kwanza utakuwa na uwezo wa kuretreat pale mambo yakienda kinyume na matarajio.Pili, utakuwa na urahisi wa kurudi nyuma na kuredifine your project.
Mwisho kabisa, kila kitu kinawezekana but you need to be patient. Otherwise,all the best
Kwa ekari kumi ni kiwango kizuri na zao ulilochagua nadhani linaweza kuwa halina changamoto nyingi(japo sina ujuzi mkubwa katika kilimo)Nitaanza na ekari 10 kwanza, kwa kilimo cha kiazi mviringo; nitatafuta binti aliyesomea certificate ya kilimo kwa ajili ya kutembelea mashambani na kusimamia. Nitatumia muda mwingi kupata mtu sahihi
Nipatie plan yako niweze kufanikisha kwa asilimia 100Probability ya kufaulu katika project hii bila kufanya mabadiliko yeyote ya plan nakupa 27%
Kuchimba kisima kirefu, itafuata baada ya kuona mafanikio katika majaribio ya ekari chache za mwanzoSijui uwezo wako lakini..tambua kuchimba kisima kirefu sehemu nyingi Ni zaidi ya milioni 8..
Kuna kufunga sola za nguvu au generator na pump za maana kuvuta maji..
Kuna mdau kasema Ni project ya milioni 50 inawezekana kabisa..
Mimi naona utafanikiwa kama utafanikiwa kutatua chngamoto ya usimamizi..
Kila kitu kinawezekana mkuu kikubwa ni kutokata tamaa, mafanikio ya kweli yanapitiaga up down yote ni kujifunza zaidi, kikubwa kabda ya kuanza kuinvest ,nenda kafanye kuishi kwenye hizo project, tafuta connection ya watu wanaofanya hizo project, utajifunza kitu.Kauli mbiu ni kufanya uzalishaji vijijini, na kuleta mauzo mjini. Kwa yeyote atakayependa wazo langu, anaruhusiwa kulitekeleza; elimu haina mwisho.
Nitaanza hivi:-
- Nitafungua kampuni yenye jina 'Equation x agricultural adventure'
- Nitatafuta binti wa kazi mpambanaji kweli kweli mwenye cheti cha kilimo
- Nitampiga semina ya wiki moja, ili aweze kuelewa ndoto zangu
- Nitampa safari ya kutembelea vijiji 10 vyenye ardhi ya rutuba katika mikoa 2, kwa kuanzia.
- Nitaingia mkataba wa miaka 2 au 5 kwa kukodi mashamba kwa kila kijiji nitakapofanikisha
- Itakuwa vizuri kama nitapata kuanzia ekari 5 kwa shamba
- Sehemu ambayo mkataba utaanzia miaka 5, nitapambana nichimbe kisima ili kilimo cha umwagiliaji kiwe rahisi.
- Wafanyakazi wa shambani watakuwa wanakijiji, pamoja na mtaalamu mmoja atakayekuwa anawazungukia.
- Nitalima zao la muda mfupi ambalo tayari soko lake nimeshaliona.
- Mi nitakuwa napambana mjini pamoja na kujibana, huku fedha zangu zikiwa zinaenda kijijini kwenye kilimo
- Baada ya mavuno, mazao yataletwa mjini kwa mauzo; nitatafuta kijana wa cheti cha mauzo.
- Mafanikio yakiwa vizuri, nitaongeza wigo kwa kuongeza mikoa mingine.
- Naimani, huu mradi utanilipa
Nawakaribisha kwa mawazo.
NB: Kuhusu wafanyakazi, nitawatengenezea mpango kazi wa kila siku, na kila siku jioni lazima wafanye presentation; ambaye atakuwa hajafanya chochote, ataenguliwa.
Gharama zenu za uchimbaji zikoje mkuu?Kila kitu kinawezekana mkuu kikubwa ni kutokata tamaa, mafanikio ya kweli yanapitiaga up down yote ni kujifunza zaidi, kikubwa kabda ya kuanza kuinvest ,nenda kafanye kuishi kwenye hizo project, tafuta connection ya watu wanaofanya hizo project, utajifunza kitu.
Tenda za usambazaji wa maji usisite kututafuta tukupe ushauri wa kitaalamu.
Gharama za uchimbaji inategemea na location utakayofanyia project mkuu, Ila kadri unavyooenda mbali na DSM ndivyo unaongeza gharama za uchimbaji, sasa kama ili kupunguza cost ,anza project yako mkoa wa Pwani na kingine na kwamba mahitaji yako pia yataathiri bei ya uchimbaji, mfano kuna jamaa mmoja kachukua ekari 300 , anayaanda sasa kwa kilimo, kwa ekari hizi ili apate maji ya kutosha amechimba kisima cha kipenyo cha inchi 8 na amechimba mita 200, kisima pekee yake ametumi milioni 45 complete,,Gharama zenu za uchimbaji zikoje mkuu?
Katika hizo mita 200, maji yanakuwa yanapanda yenyewe au mpaka yavutwe na pumpGharama za uchimbaji inategemea na location utakayofanyia project mkuu, Ila kadri unavyooenda mbali na DSM ndivyo unaongeza gharama za uchimbaji, sasa kama ili kupunguza cost ,anza project yako mkoa wa Pwani na kingine na kwamba mahitaji yako pia yataathiri bei ya uchimbaji, mfano kuna jamaa mmoja kachukua ekari 300 , anayaanda sasa kwa kilimo, kwa ekari hizi ili apate maji ya kutosha amechimba kisima cha kipenyo cha inchi 8 na amechimba mita 200, kisima pekee yake ametumi milioni 45 complete,,
But standard kisima ni inchi 5 ambapo bei yetu kwa kila mita moja ni 90k kwa maeneo ya pwani.
Baada ya kuchimba kisima inatakiwa kuweka miundo mbinu ya kusambaza maji kwa kuweka reservoir point baada ya kila ekari kadhaa ili maji yaweze kumwagilia eneo kubwa la shamba lako, hapa lazima utandaze bomba za kutosha na tank tower.
Karibu.
Imefungwa pump ya horse power 5.5 ,Katika hizo mita 200, maji yanakuwa yanapanda yenyewe au mpaka yavutwe na pump
Backward integration. Well saidSijasema inashindikana lakini kuna unknowns za kutosha...
Upate wafanyakazi wachapakazi wenye experience na ujuzi na bado uwalipe na wewe kubaki na faida
Unalima hence yield ya mazao nayo ni unknown
Kuna investment utafanya ya kununua au kukodi vitendea kazi haujajua lini uta-break even na if uta-break even
Soko, hauna wala haujapata soko la uhakika kwahio hujui hicho utakachouza kama kitapata faida baada ya kuondoa matumizi..., hata kama kinalipa leo haujui kesho kama kitalipa
Ushauri anzia kwenye soko alafu rudi kwenye production.., hicho unachotaka kuuza kwanza nunua na uza kama middle men na unavyopata soko zaidi anza production mwenyewe....