Nina wazo la kufanya hii 'project' kwa mwaka 2022

Nina wazo la kufanya hii 'project' kwa mwaka 2022

Kwa uzoefu wenu, ni mita ngapi zinafaa kupata maji mengi kwa ajili ya umwagiliaji
Kabda ya kuchimba tunafanyaga underground water survey , itaonyesha depth ya maji, ila kwa experiance kwa pwani ya morogoro road inaanzia mita 100 hadi 160 , kwa pwani ya kilwa road kwenda kusini water table inaanzia mita 70 nakuendelea.
 
Kabda ya kuchimba tunafanyaga underground water survey , itaonyesha depth ya maji, ila kwa experiance kwa pwani ya morogoro road inaanzia mita 100 hadi 160 , kwa pwani ya kilwa road kwenda kusini water table inaanzia mita 70 nakuendelea.
Nimekupata mkuu
 
Inawezekana mkuu, kuna rafiki yangu nimekutana naye anafanya hii kazi; anawekeza m3 anapata hata zaidi ya mara 2. Jifunze kuwa karibu na waliofanikiwa, upate ujuzi. Ukiwa na marafiki wengi walioajiriwa hawatakusaidia kitu, zaidi za kukuambia kila kitu hakiwezekani, ndio maana wanazeeka kwenye kuajiriwa.
Kwani kuzeeka kwenye ajira ni dhambi,nilipoona uzi wako nilidhani unajitambua kumbe sivyo-katikabhii dunia lazima kuwe na mgawanyo wa majukumu kila MTU akijiajiri unadhani wewe na hizo projects zako utafanikiwaje???

Wakati wewe unajiajiri kumbuka kuna waajira lukuki wanafanya mambo au vitu Vinci kwa manufaa yako na jamii yako.Kuna watu wanafundisha ndugu zako,kuna watu wnatibu ndugu zako,kuna waajiriwa wankulinda huku wewe ukiwa umelalal na hiyo miradi yako,kuna watu wanafikiria namna ya kujenga barabara utakazo pitisha mazao ya hiyo miradi yako,kuna watu wanatengeneza Sera we na ndugu zako mpate dawa,umeme &maji,kuna watu wanakaa na kutengeneza sheria mbalimbali zenye manufaa kwako na ndugu zako.
 
Kwani kuzeeka kwenye ajira ni dhambi,nilipoona uzi wako nilidhani unajitambua kumbe sivyo-katikabhii dunia lazima kuwe na mgawanyo wa majukumu kila MTU akijiajiri unadhani wewe na hizo projects zako utafanikiwaje???

Wakati wewe unajiajiri kumbuka kuna waajira lukuki wanafanya mambo au vitu Vinci kwa manufaa yako na jamii yako.Kuna watu wanafundisha ndugu zako,kuna watu wnatibu ndugu zako,kuna waajiriwa wankulinda huku wewe ukiwa umelalal na hiyo miradi yako,kuna watu wanafikiria namna ya kujenga barabara utakazo pitisha mazao ya hiyo miradi yako,kuna watu wanatengeneza Sera we na ndugu zako mpate dawa,umeme &maji,kuna watu wanakaa na kutengeneza sheria mbalimbali zenye manufaa kwako na ndugu zako.
Nakubaliana na hoja yako; entrepreneurs vs employees
 
Kwa mwanzoni, nitaanza na vijana wawili wenye certificate; mmoja kilimo, mwingine mauzo; hawa kazi yao ni kuzunguka kwenye masoko na shambani. Kwa kila shamba kijijini, nitatafuta mzee mtu mzima moja ambaye atakuwa anaripoti kwangu kimawasiliano.
Ili hao vijana wako na mdada wawe comited wape share hata ya nguvu kazi tu wajisikie nao ni wamiliki.
Hii mbinu inatumiwa ba HUAWEI company, kila mfanyakazi mwenye tija alipewa hisa zake na kuwa mmiliki, nafikiri watanzania tukiiga hii mbinu tutapunguza changamoto ya uvivu na uaminifu.
 
Ili hao vijana wako na mdada wawe comited wape share hata ya nguvu kazi tu wajisikie nao ni wamiliki.
Hii mbinu inatumiwa ba HUAWEI company, kila mfanyakazi mwenye tija alipewa hisa zake na kuwa mmiliki, nafikiri watanzania tukiiga hii mbinu tutapunguza changamoto ya uvivu na uaminifu.
Tatizo la wabongo ni roho ya kwanini tu hata umlipe Million 100 bado atataka akupige kwa sababu cha kwanza anajiuliza kwani we anakuingizia bei gani? Akipiga hesabu anakuingizia billion1 mfano atawaza kwanini we umpe 100 tu hapo ndipo hujuma zinaanza!

Tabia zetu weusi ni roho mbaya tu za kwanini na uzandiki!
 
Mm ushauri wangu usianze kwanza na kampuni Kama unataka Anza kidogo kwanza ili ukusanye kwanza taarifa za kilimo

Huhitaji kuanza sijui kua na ma mwana shamba sijui afisa masoko ingia kwanza mwenyewe ndio ujue mziki ukoje
 
Kilimo kwa Tanzania hii Lima ili upate chakula lakini ki biashara hadi sumri aliyeacha mabasi akajitosa mazima Bado tu kinamsumbua.

Mwaka jana nimejipinda nikawekeza million tatu (3m) nimetoa Laki tatu hapo sijahesabu gharama ya muda wangu. Ilifika mahala nikataka kuyaacha mazao yafie shambani lakini nikapambana ili shule ifike mwisho nipate ushuhuda
 
Ni kweli mkuu,nikipata nguvu kazi sahihi, kazi itafanyika mkuu
Utaanza kukwamishwa na wafanya kazi, Utawapata hao wasomi watasafirinkwenda vijijini nauri juu yako pesa ya kula njiani na wakiwa huko, guest house pa kulala,kumbuka wanajiita wasomi hawali mihogo Wala hawajui kujibana, hawataki kwenda porini. Wewe upo dar unaelekeza kwa simu na wao wapo pale center wanaelekeza vibarua shambani kwa simu. Unakuja kushtuka palizi halikufanyika vizuri, wamepanda kwa kutupa tupa ,dawa wameweka nusu ili wakupige Cha juu, nk watumishi kwa Tanzania Bado Sana wanatukwamisha
 
Kilimo kwa Tanzania hii Lima ili upate chakula lakini ki biashara hadi sumri aliyeacha mabasi akajitosa mazima Bado tu kinamsumbua.

Mwaka jana nimejipinda nikawekeza million tatu (3m) nimetoa Laki tatu hapo sijahesabu gharama ya muda wangu. Ilifika mahala nikataka kuyaacha mazao yafie shambani lakini nikapambana ili shule ifike mwisho nipate ushuhuda
Ulipitia changamoto zipi mkuu, ili tujifunze?
 
Great contents so far,

Was thinking the same thing.

Mfano eka moja ukapanda mahindi 5,000 mabichi ukauza moja 300 Una 5000x300= 1,500,000 Kwa kilimo cha umwagiliaji cha solar ambavho hakina running cost technically.

Ukilima mara 2 au 3 kwa mwaka una 4.5m

Imagine everything scales proportionally expect positive response
 
Nchi za Jirani na Wananuzi wakubwa hawanunui kwako sababu tu una mzigo / mali bali pia long term relationship kwamba wewe unaaminika, unaweza uka-deliver na mzigo wako sio wa kubabaisha (ndio maana madalali hawaishi wala hawataisha) people like dealing with people they know....

Kwahio kwanza anza kwa ku-cultivate soko kabla ya production..., Unaweza ukaanza kutafuta market wakati hauna shamba..., mwaka huu tu Mwanzoni kuna wakulima walikosa soko la mahindi na mchele ulikuwa haujapanda kwa miaka mitatu mfululizo ungeweza kutafuta mali na kuuza kwa hilo soko lako la nje
Nimejifunza kitu ... do you mean kama ndo unaaza kupromoti mtandaoni peketake haitishi ..lazma uwe unafahamika na kuaminika cyo
 
Nimejifunza kitu ... do you mean kama ndo unaaza kupromoti mtandaoni peketake haitishi ..lazma uwe unafahamika na kuaminika cyo
Hata safari ndefu huanza kwa hatua moja..., mafanikio utakayopata mwaka huu yatakuwa hafifu kulingana na utakayokuwa umepata mwaka kesho ikiwa kila kitu kitaenda sawa..., Ukiuzia watu mwaka huu bidhaa na zikawa nzuri mwaka kesho watachukua zaidi na kuambiana fulani mzigo ni mzuri (unajenga jina na mahusiano)

Tofauti na wewe kutangaza tu online, bila watu kukufahamu..., ofcourse unaweza kupata wateja wa mzigo kidogo kidogo kutoka hapa na pale ila usitegemee kampuni kubwa ikachukua mzigo mkubwa sana sana utafika kwao kutumia agents wao..., kwahio experience pia ina nafasi katika haya mambo (ukizingatia na deals nyingine sio za cash bali kukopana na kupeaka cheki) kwahio mahusiano ni muhimu sana (na mahusiano hayo yatakuja baada ya muda)
 
Interesting, hii project kama ilitaka kufanana na ya kwangu hv mpaka natamani tufanye patnership. Mi nimesoma kilimo ngazi ya cheti, na ninauzoef wa masuala ya pembejeo kidogo (nlikua dukani kuuza pembejeo for almost 5yrs) ardhi ninayo, na uwezekano wa kupata ya kukodi upo (kwa kijiji nilichopo) tatizo hela hapo ndo nlipokwamia....
 
Kauli mbiu ni kufanya uzalishaji vijijini, na kuleta mauzo mjini. Kwa yeyote atakayependa wazo langu, anaruhusiwa kulitekeleza; elimu haina mwisho.
Nitaanza hivi:-
  • Nitafungua kampuni yenye jina 'Equation x agricultural adventure'
  • Nitatafuta binti wa kazi mpambanaji kweli kweli mwenye cheti cha kilimo
  • Nitampiga semina ya wiki moja, ili aweze kuelewa ndoto zangu
  • Nitampa safari ya kutembelea vijiji 10 vyenye ardhi ya rutuba katika mikoa 2, kwa kuanzia.
  • Nitaingia mkataba wa miaka 2 au 5 kwa kukodi mashamba kwa kila kijiji nitakapofanikisha
  • Itakuwa vizuri kama nitapata kuanzia ekari 5 kwa shamba
  • Sehemu ambayo mkataba utaanzia miaka 5, nitapambana nichimbe kisima ili kilimo cha umwagiliaji kiwe rahisi.
  • Wafanyakazi wa shambani watakuwa wanakijiji, pamoja na mtaalamu mmoja atakayekuwa anawazungukia.
  • Nitalima zao la muda mfupi ambalo tayari soko lake nimeshaliona.
  • Mi nitakuwa napambana mjini pamoja na kujibana, huku fedha zangu zikiwa zinaenda kijijini kwenye kilimo
  • Baada ya mavuno, mazao yataletwa mjini kwa mauzo; nitatafuta kijana wa cheti cha mauzo.
  • Mafanikio yakiwa vizuri, nitaongeza wigo kwa kuongeza mikoa mingine.
  • Naimani, huu mradi utanilipa

Nawakaribisha kwa mawazo.

NB: Kuhusu wafanyakazi, nitawatengenezea mpango kazi wa kila siku, na kila siku jioni lazima wafanye presentation; ambaye atakuwa hajafanya chochote, ataenguliwa.
Amka kumekucha ila kama ndoto haitotimia usisite kurudi kulala Ili uote upya
 
Back
Top Bottom