antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Kwa nini binti?Nitatafuta binti wa kazi mpambanaji kweli kweli mwenye cheti cha kilimo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini binti?Nitatafuta binti wa kazi mpambanaji kweli kweli mwenye cheti cha kilimo
Naamini hawatakuwa wabadhirifu kama wanaumeKwa nini binti?
Inawezekana kama tukithubutu kufanya; tukipeana hofu kabla ya kuingia field ni sawa na kuukumbatia umasikiniGreat contents so far,
Was thinking the same thing.
Mfano eka moja ukapanda mahindi 5,000 mabichi ukauza moja 300 Una 5000x300= 1,500,000 Kwa kilimo cha umwagiliaji cha solar ambavho hakina running cost technically.
Ukilima mara 2 au 3 kwa mwaka una 4.5m
Imagine everything scales proportionally expect positive response
Shamba lipo mkoa gani,na wanakodisha kwa kiasi gani? Na je lina miundo mbinu ya umwagiliaji?Interesting, hii project kama ilitaka kufanana na ya kwangu hv mpaka natamani tufanye patnership. Mi nimesoma kilimo ngazi ya cheti, na ninauzoef wa masuala ya pembejeo kidogo (nlikua dukani kuuza pembejeo for almost 5yrs) ardhi ninayo, na uwezekano wa kupata ya kukodi upo (kwa kijiji nilichopo) tatizo hela hapo ndo nlipokwamia....
AiseeGreat contents so far,
Was thinking the same thing.
Mfano eka moja ukapanda mahindi 5,000 mabichi ukauza moja 300 Una 5000x300= 1,500,000 Kwa kilimo cha umwagiliaji cha solar ambavho hakina running cost technically.
Ukilima mara 2 au 3 kwa mwaka una 4.5m
Imagine everything scales proportionally expect positive response
Minimeishia lasabaToo many unknowns..., sio kwamba haiwezekani but its not easy it needs dedication as there are ups and downs not plain sailing..., kwahio kama upo dedicated na unapenda unachofanya utachukua the rough with the smooth.... Kama una-enjoy the ride hata destination ikichelewe au usipofika bado unakuwa na furaha...
What has that got to do with anything ?Minimeishia lasaba
What has that got to do with anything ?Minimeishia lasaba