Ninaamini bila shaka historia ya nchi imeharibiwa makusudi kisiasa, sehemu kubwa ni uongo

Ninaamini bila shaka historia ya nchi imeharibiwa makusudi kisiasa, sehemu kubwa ni uongo

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Ni kweli... Jinsi tulivyofundishwa shuleni namna ambavyo WAKOLONI WAZUNGU HASA WAINGEREZA WALIKUWA NI WATU MAKATILI, WANYANYASAJI, WABAGUZI WASIOJALI...

nikajiuliza maswali... Ukiangalia viongozi wengi waliokuwa rika la MWALIM NYERERE na wenzake na wazee wengine... Wanatueleza historia za maisha yao kielimu mpaka kisiasa wakati wa ukoloni...

Angalia historia ya mwalim nyerere mathalan, alisoma mpaka shule mbalimbali hapa nchi zilizojengwa na hao hao wazungu... Na katika shule hizo hakuwa nyerere pekee yake(kwamba eti walikuwa wanabagua watoto wa machifu)... Shule zilisheheni watoto wa kiafrika wengi tu. Waliofaulu walipelekwa kufanya kazi serikalini(ya kikoloni) idara mbalimbali. Wengine waliofaulu vizuri zaidi.

Walipandishwa ndege za hao hao wakoloni bure na kusomeshwa bure... Mfano mwalim nyerere alienda KAMPALA(nayo ilikuwa chini ya wakoloni) na mpaka kaenda EDINBURGH (Huko huko kwa wakoloni)... Amerudi akapewa kazi na serikali hiyo hiyo ya kikoloni mpaka akawa WAZIRI MKUU.

Mpaka hapo hakuna mahali nimeona WAKOLONI WALIMTESA NA KUMNYANYASA... kama tunavyoaminishwa kwenye historia MFU.

Nilijaribu kufanya utafiti kila nikipata nafasi ya kukaa na mzee ambae aliishi zama za ukoloni aniambie je walipata adha gani kutoka kwa wakoloni... Hakuna mzee hata mmoja aliniambia waliteswa na wakoloni... Na huduma za kijamii walipata kama kawaida japo zilikuwa chache kutokana na nchi ilikuwa bado iko nyuma...

Nikiangalia historia za walim wangu wa dini wakisimulia jinsi walivyosafiri kutoka sehemu mbalimbali nchini kuelekea ZANZIBAR, TANGA, MOMBASA NA LAMU... BILA BUGHUDHA NA TABU...

UBAYA WA WAKOLONI TUNAOFUNDISHWA KWENYE HISTORIA YA UONGO NI UPI?

Ukiangalia shule nyingi kongwe hapa nchini zilijengwa na wakoloni... Na nyingine bado zipo kwenye ubora wa majengo yaleyale yaliyojengwa na wakoloni... Ila hili serikali la waafrika wenzetu linafanya kazi ya kupiga rangi tu...

Barabara nyingi kuu zilichongwa na wakoloni...

Reli nayo ya kati... Vivyo hivyo...

Hospital mfano MUHIMBILI... Ni wakoloni hao...

Sehemu kubwa ya nchi yetu imeasisiwa na wakoloni kwa ubora mkubwa sana..

Sasa najiuliza ule uhuru tuliokuwa tunautafuta mpaka leo unamsaidiaje MTANZANIA... yaani kuna tofauti gani kimaisha kati ya zama za MKOLONI na KUJITAWALA WENYEWE.

NISHAELEWA UHURU TULIOTAFUTA NI KWA AJILI YA WATANZANIA WENZETU AMBAO WALIKUWA NA TAMAA YA MADARAKA... UHURU WA KISIASA NA KIUONGOZI...

Naamini kama tungekuwa chini ya mkoloni hii nchi mpaka leo ingekuwa mbali sana...

Naamini hata hawa CHADEMA, ACT CUF wanaojifanya wanatafuta ukombozi wetu... Ni uongo... UKOMBOZI WA MATUMBO YAO TU KAMA ILIVYO CCM inavyopigania tonge lake lisipokwe mdomoni...

NATAMANI HATA WAKOLONI WARUDI... KULIKO NCHI KUWA CHINI YETU WENYEWE... HATUWEZI KUJIONGOZA...
 
Unapozungumzia wakoloni fahamu kuwa kuna wakoloni na wakoloni. Wote hawapo sawa. Mwarabu na Mjerumani walikuwa katili zaidi.
Mwingereza hakuwa mkoloni kwa sababu Tanganyika haikuwa na faida ya moja kwa moja kwake. Na alijitajidi sana kuwasomesha Watanganyika wajitambue awape nchi yao. Aliwapa hadi scholarships, passports na nauli za kusafiri kuiona dunia.
Hakupiga! Hakutesa! Hakuua! Watu si wakalemaa akili hadi wakapewa "Uhuru" mezani.
Unaambiwa huo "Uhuru" ulikuwa utolewe tarehe 19 au zaidi kuelekea 25 Disemba mwaka ule. Waingereza wakaona itawavurugia mipango ya likizo za Christmas na Mwaka mpya.
Ghafla bin vuu... Tarehe 9.12.1961 ikatangazwa Tanganyika ipewe "Uhuru" wake. Yaani kilaini lakini tu hivyo.
Nchi zilizopambana kupata Uhuru wa kweli hazina ujinga ujinga na ulemavu wa akili.

"Wakoloni" wabaya zaidi ni hawa wa ccm.
Wamepotosha kila kitu na kumfanya mtanganyika apoteze utu na uwezo wa akili yake!
 
Me nadhani wakoloni wabaya ni waarabu wao walikuwa wanabebesha watumwa meno ya ndovu kitoka liwale mpaka kilwa sio mchezo ila waingireza walikuwa fair sana inavoonekana
Umeshapombeka tayari ama Kweli Pombe SI chai
 
Waarabu ndio walikuwa funga kazi ile mijitu inaroho mbaya bora kobra
 
Unapozungumzia wakoloni fahamu kuwa kuna wakoloni na wakoloni. Wote hawapo sawa. Mwarabu na Mjerumani walikuwa katili zaidi.
Mwingereza hakuwa mkoloni kwa sababu Tanganyika haikuwa na faida ya moja kwa moja kwake. Na alijitajidi sana kuwasomesha Watanganyika wajitambue awape nchi yao. Aliwapa hadi scholarships, passports na nauli za kusafiri kuiona dunia.
Hakupiga! Hakutesa! Hakuua! Watu si wakalemaa akili hadi wakapewa "Uhuru" mezani.
Unaambiwa huo "Uhuru" ulikuwa utolewe tarehe 19 au zaidi kuelekea 25 Disemba mwaka ule. Waingereza wakaona itawavurugia mipango ya likizo za Christmas na Mwaka mpya.
Ghafla bin vuu... Tarehe 9.12.1961 ikatangazwa Tanganyika ipewe "Uhuru" wake. Yaani kilaini lakini tu hivyo.
Nchi zilizopambana kupata Uhuru wa kweli hazina ujinga ujinga na ulemavu wa akili.

"Wakoloni" wabaya zaidi ni hawa wa ccm.
Wamepotosha kila kitu na kumfanya mtanganyika apoteze utu na uwezo wa akili yake!
Mwarabu alifanya ukoloni wapi alikotesa watu!?
 
..sijawahi kusikia Mwalimu Nyerere kapigwa na Polisi wa Mkoloni.

..lakini nakumbuka Prof.Lipumba alivunjwa mkono na kuibiwa saa na Polisi wa Ccm.
Nyerere aliwekwa na haohao weupe,mwenyewe alitaka kuwa kiongozi wa kidini,askofu akamkataza,special branch(usalama ya mkoloni) ikampenyeza TAA kupitia mwapachu,aliwafaa kumwachia koloni waendelee kuvuna kwa Bei rahisi
 
Ni kweli... Jinsi tulivyofundishwa shuleni namna ambavyo WAKOLONI WAZUNGU HASA WAINGEREZA WALIKUWA NI WATU MAKATILI, WANYANYASAJI, WABAGUZI WASIOJALI...

nikajiuliza maswali... Ukiangalia viongozi wengi waliokuwa rika la MWALIM NYERERE na wenzake na wazee wengine... Wanatueleza historia za maisha yao kielimu mpaka kisiasa wakati wa ukoloni...

Angalia historia ya mwalim nyerere mathalan, alisoma mpaka shule mbalimbali hapa nchi zilizojengwa na hao hao wazungu... Na katika shule hizo hakuwa nyerere pekee yake(kwamba eti walikuwa wanabagua watoto wa machifu)... Shule zilisheheni watoto wa kiafrika wengi tu. Waliofaulu walipelekwa kufanya kazi serikalini(ya kikoloni) idara mbalimbali. Wengine waliofaulu vizuri zaidi.

Walipandishwa ndege za hao hao wakoloni bure na kusomeshwa bure... Mfano mwalim nyerere alienda KAMPALA(nayo ilikuwa chini ya wakoloni) na mpaka kaenda EDINBURGH (Huko huko kwa wakoloni)... Amerudi akapewa kazi na serikali hiyo hiyo ya kikoloni mpaka akawa WAZIRI MKUU.

Mpaka hapo hakuna mahali nimeona WAKOLONI WALIMTESA NA KUMNYANYASA... kama tunavyoaminishwa kwenye historia MFU.

Nilijaribu kufanya utafiti kila nikipata nafasi ya kukaa na mzee ambae aliishi zama za ukoloni aniambie je walipata adha gani kutoka kwa wakoloni... Hakuna mzee hata mmoja aliniambia waliteswa na wakoloni... Na huduma za kijamii walipata kama kawaida japo zilikuwa chache kutokana na nchi ilikuwa bado iko nyuma...

Nikiangalia historia za walim wangu wa dini wakisimulia jinsi walivyosafiri kutoka sehemu mbalimbali nchini kuelekea ZANZIBAR, TANGA, MOMBASA NA LAMU... BILA BUGHUDHA NA TABU...

UBAYA WA WAKOLONI TUNAOFUNDISHWA KWENYE HISTORIA YA UONGO NI UPI?

Ukiangalia shule nyingi kongwe hapa nchini zilijengwa na wakoloni... Na nyingine bado zipo kwenye ubora wa majengo yaleyale yaliyojengwa na wakoloni... Ila hili serikali la waafrika wenzetu linafanya kazi ya kupiga rangi tu...

Barabara nyingi kuu zilichongwa na wakoloni...

Reli nayo ya kati... Vivyo hivyo...

Hospital mfano MUHIMBILI... Ni wakoloni hao...

Sehemu kubwa ya nchi yetu imeasisiwa na wakoloni kwa ubora mkubwa sana..

Sasa najiuliza ule uhuru tuliokuwa tunautafuta mpaka leo unamsaidiaje MTANZANIA... yaani kuna tofauti gani kimaisha kati ya zama za MKOLONI na KUJITAWALA WENYEWE.

NISHAELEWA UHURU TULIOTAFUTA NI KWA AJILI YA WATANZANIA WENZETU AMBAO WALIKUWA NA TAMAA YA MADARAKA... UHURU WA KISIASA NA KIUONGOZI...

Naamini kama tungekuwa chini ya mkoloni hii nchi mpaka leo ingekuwa mbali sana...

Naamini hata hawa CHADEMA, ACT CUF wanaojifanya wanatafuta ukombozi wetu... Ni uongo... UKOMBOZI WA MATUMBO YAO TU KAMA ILIVYO CCM inavyopigania tonge lake lisipokwe mdomoni...

NATAMANI HATA WAKOLONI WARUDI... KULIKO NCHI KUWA CHINI YETU WENYEWE... HATUWEZI KUJIONGOZA...
Umenena kweli kabisa !! Ni madaraka tu ndicho kilichokuwa kikigombewa !! Na hiyo mpaka sasa ipo baina ya wanaotawala na WA kutoka upinzani !!
 
Mzungu hajawahi kuweza kumkandamiza mtu direct Hana roho hiyo Ila waarabu walitufanyia unyama sana mzungu alikuwa anadili na mishe zake mashamba ya katani mareli. hata swala la watumwa waarabu ndo walikuwa wanauza
 
Ni kweli... Jinsi tulivyofundishwa shuleni namna ambavyo WAKOLONI WAZUNGU HASA WAINGEREZA WALIKUWA NI WATU MAKATILI, WANYANYASAJI, WABAGUZI WASIOJALI...

nikajiuliza maswali... Ukiangalia viongozi wengi waliokuwa rika la MWALIM NYERERE na wenzake na wazee wengine... Wanatueleza historia za maisha yao kielimu mpaka kisiasa wakati wa ukoloni...

Angalia historia ya mwalim nyerere mathalan, alisoma mpaka shule mbalimbali hapa nchi zilizojengwa na hao hao wazungu... Na katika shule hizo hakuwa nyerere pekee yake(kwamba eti walikuwa wanabagua watoto wa machifu)... Shule zilisheheni watoto wa kiafrika wengi tu. Waliofaulu walipelekwa kufanya kazi serikalini(ya kikoloni) idara mbalimbali. Wengine waliofaulu vizuri zaidi.

Walipandishwa ndege za hao hao wakoloni bure na kusomeshwa bure... Mfano mwalim nyerere alienda KAMPALA(nayo ilikuwa chini ya wakoloni) na mpaka kaenda EDINBURGH (Huko huko kwa wakoloni)... Amerudi akapewa kazi na serikali hiyo hiyo ya kikoloni mpaka akawa WAZIRI MKUU.

Mpaka hapo hakuna mahali nimeona WAKOLONI WALIMTESA NA KUMNYANYASA... kama tunavyoaminishwa kwenye historia MFU.

Nilijaribu kufanya utafiti kila nikipata nafasi ya kukaa na mzee ambae aliishi zama za ukoloni aniambie je walipata adha gani kutoka kwa wakoloni... Hakuna mzee hata mmoja aliniambia waliteswa na wakoloni... Na huduma za kijamii walipata kama kawaida japo zilikuwa chache kutokana na nchi ilikuwa bado iko nyuma...

Nikiangalia historia za walim wangu wa dini wakisimulia jinsi walivyosafiri kutoka sehemu mbalimbali nchini kuelekea ZANZIBAR, TANGA, MOMBASA NA LAMU... BILA BUGHUDHA NA TABU...

UBAYA WA WAKOLONI TUNAOFUNDISHWA KWENYE HISTORIA YA UONGO NI UPI?

Ukiangalia shule nyingi kongwe hapa nchini zilijengwa na wakoloni... Na nyingine bado zipo kwenye ubora wa majengo yaleyale yaliyojengwa na wakoloni... Ila hili serikali la waafrika wenzetu linafanya kazi ya kupiga rangi tu...

Barabara nyingi kuu zilichongwa na wakoloni...

Reli nayo ya kati... Vivyo hivyo...

Hospital mfano MUHIMBILI... Ni wakoloni hao...

Sehemu kubwa ya nchi yetu imeasisiwa na wakoloni kwa ubora mkubwa sana..

Sasa najiuliza ule uhuru tuliokuwa tunautafuta mpaka leo unamsaidiaje MTANZANIA... yaani kuna tofauti gani kimaisha kati ya zama za MKOLONI na KUJITAWALA WENYEWE.

NISHAELEWA UHURU TULIOTAFUTA NI KWA AJILI YA WATANZANIA WENZETU AMBAO WALIKUWA NA TAMAA YA MADARAKA... UHURU WA KISIASA NA KIUONGOZI...

Naamini kama tungekuwa chini ya mkoloni hii nchi mpaka leo ingekuwa mbali sana...

Naamini hata hawa CHADEMA, ACT CUF wanaojifanya wanatafuta ukombozi wetu... Ni uongo... UKOMBOZI WA MATUMBO YAO TU KAMA ILIVYO CCM inavyopigania tonge lake lisipokwe mdomoni...

NATAMANI HATA WAKOLONI WARUDI... KULIKO NCHI KUWA CHINI YETU WENYEWE... HATUWEZI KUJIONGOZA...
Ni jambo lililo wazi pasi na shaka kabisa mm nilishashuhudia ramani ya baadhi ya mikoa zikiwa zimetengenezwa mwaka 1895 and i wonder how mwaka 1895 teyar miji yetu ilikuwa imesha pimwa na ramani zimeweka safi kabisa kwa kuzingatia kanuni zote za kitaalam.. wazungu ni watu wengine wale watu tuwaache tu.

Hili swala nilinitafakarisha sana nikajiona kabisa sisi waafrica hatufai hata kurumangia.
 
Ninavyoona mimi ni kwamba...
Walikwepo watu kutoka Asia (hususani waarabu) ambao walijikita kwa nyanja zote afrika na watu waliishi nao vizuri tu bila bugdha

Tatizo likaja pale watu weupe (wazungu kutoka ulaya) walipokuja kutaka kumuondoa huyu mwarabu na kubadili kila kitu kiwe kwa mtindo wa ulaya

Hapo ndipo waafrika wakaanza kupata tabu (hasa wale ambao walionekana kutokuwa tayari kupokea mfumo wa ulaya)

Hapo ikazaliwa vuta nikuvute sasa kat ya muasia na muulaya ambapo hiyo ngoma ni mpaka leo inaendelea

Hayo mengine ni danganya toto tu!

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli... Jinsi tulivyofundishwa shuleni namna ambavyo WAKOLONI WAZUNGU HASA WAINGEREZA WALIKUWA NI WATU MAKATILI, WANYANYASAJI, WABAGUZI WASIOJALI...

nikajiuliza maswali... Ukiangalia viongozi wengi waliokuwa rika la MWALIM NYERERE na wenzake na wazee wengine... Wanatueleza historia za maisha yao kielimu mpaka kisiasa wakati wa ukoloni...

Angalia historia ya mwalim nyerere mathalan, alisoma mpaka shule mbalimbali hapa nchi zilizojengwa na hao hao wazungu... Na katika shule hizo hakuwa nyerere pekee yake(kwamba eti walikuwa wanabagua watoto wa machifu)... Shule zilisheheni watoto wa kiafrika wengi tu. Waliofaulu walipelekwa kufanya kazi serikalini(ya kikoloni) idara mbalimbali. Wengine waliofaulu vizuri zaidi.

Walipandishwa ndege za hao hao wakoloni bure na kusomeshwa bure... Mfano mwalim nyerere alienda KAMPALA(nayo ilikuwa chini ya wakoloni) na mpaka kaenda EDINBURGH (Huko huko kwa wakoloni)... Amerudi akapewa kazi na serikali hiyo hiyo ya kikoloni mpaka akawa WAZIRI MKUU.

Mpaka hapo hakuna mahali nimeona WAKOLONI WALIMTESA NA KUMNYANYASA... kama tunavyoaminishwa kwenye historia MFU.

Nilijaribu kufanya utafiti kila nikipata nafasi ya kukaa na mzee ambae aliishi zama za ukoloni aniambie je walipata adha gani kutoka kwa wakoloni... Hakuna mzee hata mmoja aliniambia waliteswa na wakoloni... Na huduma za kijamii walipata kama kawaida japo zilikuwa chache kutokana na nchi ilikuwa bado iko nyuma...

Nikiangalia historia za walim wangu wa dini wakisimulia jinsi walivyosafiri kutoka sehemu mbalimbali nchini kuelekea ZANZIBAR, TANGA, MOMBASA NA LAMU... BILA BUGHUDHA NA TABU...

UBAYA WA WAKOLONI TUNAOFUNDISHWA KWENYE HISTORIA YA UONGO NI UPI?

Ukiangalia shule nyingi kongwe hapa nchini zilijengwa na wakoloni... Na nyingine bado zipo kwenye ubora wa majengo yaleyale yaliyojengwa na wakoloni... Ila hili serikali la waafrika wenzetu linafanya kazi ya kupiga rangi tu...

Barabara nyingi kuu zilichongwa na wakoloni...

Reli nayo ya kati... Vivyo hivyo...

Hospital mfano MUHIMBILI... Ni wakoloni hao...

Sehemu kubwa ya nchi yetu imeasisiwa na wakoloni kwa ubora mkubwa sana..

Sasa najiuliza ule uhuru tuliokuwa tunautafuta mpaka leo unamsaidiaje MTANZANIA... yaani kuna tofauti gani kimaisha kati ya zama za MKOLONI na KUJITAWALA WENYEWE.

NISHAELEWA UHURU TULIOTAFUTA NI KWA AJILI YA WATANZANIA WENZETU AMBAO WALIKUWA NA TAMAA YA MADARAKA... UHURU WA KISIASA NA KIUONGOZI...

Naamini kama tungekuwa chini ya mkoloni hii nchi mpaka leo ingekuwa mbali sana...

Naamini hata hawa CHADEMA, ACT CUF wanaojifanya wanatafuta ukombozi wetu... Ni uongo... UKOMBOZI WA MATUMBO YAO TU KAMA ILIVYO CCM inavyopigania tonge lake lisipokwe mdomoni...

NATAMANI HATA WAKOLONI WARUDI... KULIKO NCHI KUWA CHINI YETU WENYEWE... HATUWEZI KUJIONGOZA...
Hupo sawa kwani hao wakoloni hasa wazungu mpaka Leo wanaishi na ndugu zetu waafrika vizuri sana.Mfano Ufaransa ,Ubelgiji na hata Uingereza timu zao za Taifa za kandanda zimejaa watu weusi tupu.Hawa jamaa Wana upendo wa Hali ya juu.Angalia nchi Kama marekani au Italia mpaka weusi wanakuwa Marais au mawaziri.Kuna mataifa mengine hauwezi kuona watu weusi.Mfano:Japan,Korea.Tukubali wazungu walikuwa hawana ukatili kabisa.Nasikia hata Tanzania watu walikuwa wanasepa sana UK na USA mpaka Mwaka 1994 Mwalimu Nyerere aliwaomba waweke visa kwa kuwa wengi hasa wapemba walikuwa wanajazana UK wanadai ni wakimbizi.
 
Ni kweli... Jinsi tulivyofundishwa shuleni namna ambavyo WAKOLONI WAZUNGU HASA WAINGEREZA WALIKUWA NI WATU MAKATILI, WANYANYASAJI, WABAGUZI WASIOJALI...

nikajiuliza maswali... Ukiangalia viongozi wengi waliokuwa rika la MWALIM NYERERE na wenzake na wazee wengine... Wanatueleza historia za maisha yao kielimu mpaka kisiasa wakati wa ukoloni...

Angalia historia ya mwalim nyerere mathalan, alisoma mpaka shule mbalimbali hapa nchi zilizojengwa na hao hao wazungu... Na katika shule hizo hakuwa nyerere pekee yake(kwamba eti walikuwa wanabagua watoto wa machifu)... Shule zilisheheni watoto wa kiafrika wengi tu. Waliofaulu walipelekwa kufanya kazi serikalini(ya kikoloni) idara mbalimbali. Wengine waliofaulu vizuri zaidi.

Walipandishwa ndege za hao hao wakoloni bure na kusomeshwa bure... Mfano mwalim nyerere alienda KAMPALA(nayo ilikuwa chini ya wakoloni) na mpaka kaenda EDINBURGH (Huko huko kwa wakoloni)... Amerudi akapewa kazi na serikali hiyo hiyo ya kikoloni mpaka akawa WAZIRI MKUU.

Mpaka hapo hakuna mahali nimeona WAKOLONI WALIMTESA NA KUMNYANYASA... kama tunavyoaminishwa kwenye historia MFU.

Nilijaribu kufanya utafiti kila nikipata nafasi ya kukaa na mzee ambae aliishi zama za ukoloni aniambie je walipata adha gani kutoka kwa wakoloni... Hakuna mzee hata mmoja aliniambia waliteswa na wakoloni... Na huduma za kijamii walipata kama kawaida japo zilikuwa chache kutokana na nchi ilikuwa bado iko nyuma...

Nikiangalia historia za walim wangu wa dini wakisimulia jinsi walivyosafiri kutoka sehemu mbalimbali nchini kuelekea ZANZIBAR, TANGA, MOMBASA NA LAMU... BILA BUGHUDHA NA TABU...

UBAYA WA WAKOLONI TUNAOFUNDISHWA KWENYE HISTORIA YA UONGO NI UPI?

Ukiangalia shule nyingi kongwe hapa nchini zilijengwa na wakoloni... Na nyingine bado zipo kwenye ubora wa majengo yaleyale yaliyojengwa na wakoloni... Ila hili serikali la waafrika wenzetu linafanya kazi ya kupiga rangi tu...

Barabara nyingi kuu zilichongwa na wakoloni...

Reli nayo ya kati... Vivyo hivyo...

Hospital mfano MUHIMBILI... Ni wakoloni hao...

Sehemu kubwa ya nchi yetu imeasisiwa na wakoloni kwa ubora mkubwa sana..

Sasa najiuliza ule uhuru tuliokuwa tunautafuta mpaka leo unamsaidiaje MTANZANIA... yaani kuna tofauti gani kimaisha kati ya zama za MKOLONI na KUJITAWALA WENYEWE.

NISHAELEWA UHURU TULIOTAFUTA NI KWA AJILI YA WATANZANIA WENZETU AMBAO WALIKUWA NA TAMAA YA MADARAKA... UHURU WA KISIASA NA KIUONGOZI...

Naamini kama tungekuwa chini ya mkoloni hii nchi mpaka leo ingekuwa mbali sana...

Naamini hata hawa CHADEMA, ACT CUF wanaojifanya wanatafuta ukombozi wetu... Ni uongo... UKOMBOZI WA MATUMBO YAO TU KAMA ILIVYO CCM inavyopigania tonge lake lisipokwe mdomoni...

NATAMANI HATA WAKOLONI WARUDI... KULIKO NCHI KUWA CHINI YETU WENYEWE... HATUWEZI KUJIONGOZA...
Ulianza vizuri sana kwa ufafanuzi halali na wenye hekima lakini mwishoni umekosea sana ndugu mtoa mada,pamoja na hao Vyama vya upinzani kutaka madaraka lakini kuna unafuu wa kuchunguzana,kujilinda na kujisahihisha.Mbona Wazungu hao unaowatamani waje wakutawale wana vyama vingi vya siasa na wanavinynyekea kweli kweli,lakini sisi hatuvitaki hasa viongozi walio madarakani hawapendi kabisa shida ni nini?
Wazungu wangekuwa na uroho kama huu tulio nao sisi mpaka sasa wangeendelea kutawala.Lakini kwa vile wanatambua thamani ya viumbe mbali mbali wa Mungu ndiyo maana walituachia nchi yetu bila fujo.Uroho na dharau ya Watawala vinarudisha nyuma Uhuru wa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom