Ninaamini bila shaka historia ya nchi imeharibiwa makusudi kisiasa, sehemu kubwa ni uongo

Ninaamini bila shaka historia ya nchi imeharibiwa makusudi kisiasa, sehemu kubwa ni uongo

Ni kweli... Jinsi tulivyofundishwa shuleni namna ambavyo WAKOLONI WAZUNGU HASA WAINGEREZA WALIKUWA NI WATU MAKATILI, WANYANYASAJI, WABAGUZI WASIOJALI...

nikajiuliza maswali... Ukiangalia viongozi wengi waliokuwa rika la MWALIM NYERERE na wenzake na wazee wengine... Wanatueleza historia za maisha yao kielimu mpaka kisiasa wakati wa ukoloni...

Angalia historia ya mwalim nyerere mathalan, alisoma mpaka shule mbalimbali hapa nchi zilizojengwa na hao hao wazungu... Na katika shule hizo hakuwa nyerere pekee yake(kwamba eti walikuwa wanabagua watoto wa machifu)... Shule zilisheheni watoto wa kiafrika wengi tu. Waliofaulu walipelekwa kufanya kazi serikalini(ya kikoloni) idara mbalimbali. Wengine waliofaulu vizuri zaidi.

Walipandishwa ndege za hao hao wakoloni bure na kusomeshwa bure... Mfano mwalim nyerere alienda KAMPALA(nayo ilikuwa chini ya wakoloni) na mpaka kaenda EDINBURGH (Huko huko kwa wakoloni)... Amerudi akapewa kazi na serikali hiyo hiyo ya kikoloni mpaka akawa WAZIRI MKUU.

Mpaka hapo hakuna mahali nimeona WAKOLONI WALIMTESA NA KUMNYANYASA... kama tunavyoaminishwa kwenye historia MFU.

Nilijaribu kufanya utafiti kila nikipata nafasi ya kukaa na mzee ambae aliishi zama za ukoloni aniambie je walipata adha gani kutoka kwa wakoloni... Hakuna mzee hata mmoja aliniambia waliteswa na wakoloni... Na huduma za kijamii walipata kama kawaida japo zilikuwa chache kutokana na nchi ilikuwa bado iko nyuma...

Nikiangalia historia za walim wangu wa dini wakisimulia jinsi walivyosafiri kutoka sehemu mbalimbali nchini kuelekea ZANZIBAR, TANGA, MOMBASA NA LAMU... BILA BUGHUDHA NA TABU...

UBAYA WA WAKOLONI TUNAOFUNDISHWA KWENYE HISTORIA YA UONGO NI UPI?

Ukiangalia shule nyingi kongwe hapa nchini zilijengwa na wakoloni... Na nyingine bado zipo kwenye ubora wa majengo yaleyale yaliyojengwa na wakoloni... Ila hili serikali la waafrika wenzetu linafanya kazi ya kupiga rangi tu...

Barabara nyingi kuu zilichongwa na wakoloni...

Reli nayo ya kati... Vivyo hivyo...

Hospital mfano MUHIMBILI... Ni wakoloni hao...

Sehemu kubwa ya nchi yetu imeasisiwa na wakoloni kwa ubora mkubwa sana..

Sasa najiuliza ule uhuru tuliokuwa tunautafuta mpaka leo unamsaidiaje MTANZANIA... yaani kuna tofauti gani kimaisha kati ya zama za MKOLONI na KUJITAWALA WENYEWE.

NISHAELEWA UHURU TULIOTAFUTA NI KWA AJILI YA WATANZANIA WENZETU AMBAO WALIKUWA NA TAMAA YA MADARAKA... UHURU WA KISIASA NA KIUONGOZI...

Naamini kama tungekuwa chini ya mkoloni hii nchi mpaka leo ingekuwa mbali sana...

Naamini hata hawa CHADEMA, ACT CUF wanaojifanya wanatafuta ukombozi wetu... Ni uongo... UKOMBOZI WA MATUMBO YAO TU KAMA ILIVYO CCM inavyopigania tonge lake lisipokwe mdomoni...

NATAMANI HATA WAKOLONI WARUDI... KULIKO NCHI KUWA CHINI YETU WENYEWE... HATUWEZI KUJIONGOZA...
Mwambie kwa busara kabisa huyo mzee wako akusaidie; 1. Wakati tunapata uhuru tulikuwa na madaktari bingwa wangapi. 2. Vyuo vikuu vingapi na lile jengo la Jitegemee Lumumba lilikuwa nini. 3. Barabara za lami ngapi na kwenda kwao mkoa wowote alitumia siku ngapi. 4. Shule za msingi ngapi. 5. Mahakama zilikuaje.

6. Wewe mswahili kama uliweza kusafiri kwa ndege bila udhamini wa mhindi au mzungu (maana mswahili mshamba wewe ungetapika au kuruka). Mambo ni mengi lakini maana kubwa ya uhuru ni kwamba tunajitawala, hatuongozwi kutoka 10 downing street au chini ya usimamizi wa Duke of Edingburgh#Acha fikra za mabaharia arosto wa nchikavu.🙏🙏🙏
 
Wakoloni wote huwa sio watu wazuri ila wakoloni weusi ndio walioiharibu zaidi Africa.
 
Hupo sawa kwani hao wakoloni hasa wazungu mpaka Leo wanaishi na ndugu zetu waafrika vizuri sana.Mfano Ufaransa
Waulize wa- Algeria n.k.
,Ubelgiji
Bila Congo kunyonywa kungekuwa hakuna Belgium nzuri kama ya leo..., kifo cha kina Patrice Lumumba kina mkono wa hao
na hata Uingereza
Hao walioko Australia sasa hivi ni waingereza ambao walipelekwa kule kama waharifu matokeo yako wakawakandamiza Aborigines; the rest is history
timu zao za Taifa za kandanda zimejaa watu weusi tupu.Hawa jamaa Wana upendo wa Hali ya juu.
that is now hao weusi ni waingereza n.k. kama vile wahindi wa huku na waarabu wa huku ni watanzania pure..., nadhani ifike wakati tufahamu utamaduni ndio unakufanya wewe uwe wa wapi / aina gani na sio babu yako alitokea wapi wakati wewe huko hujawahi hata kufika
Angalia nchi Kama marekani au Italia mpaka weusi wanakuwa Marais au mawaziri.Kuna mataifa mengine hauwezi kuona watu
Hao marekani waliopo sasa wengi wavamizi wenye nchi red indians walifyekelewa mbali na kuangamizwa sasa hivi ni wa kutafuta in short waliopo wengi ni either waliletwa kutumikishwa au mababu zao walikuwa wanyanganyi walinyanganya ardhi ya wazawa...
weusi.Mfano:Japan,Korea.
cultural differences ila in short humans are not good people..., hususan resources zikiwa chache animal instinct kicks in and its survival of the fittest
usishangae when push comes to shove tukaanza kufukuzana kila mtu arudi kwao.... (sijui kwao ni wapi hapa chini ya jua, ambapo kila mtu ni kwao)
 
Ninavyoona mimi ni kwamba...
Walikwepo watu kutoka Asia (hususani waarabu) ambao walijikita kwa nyanja zote afrika na watu waliishi nao vizuri tu bila bugdha
Hukusoma waarabu ndio walikuwa na masoko makubwa ya utumwa hapa africa na hao wazungu ndio waliyaburn hayo masoko na kukomesha biaashara hiyo ya utumwa wa watu..?
 
Wikend hii wazee wa kazi lazma Mpige vitu vizito kupunguza depression
Sound
JPEG_20221216_183040_1223888330488127339.jpg
 
Kitu muhimu kwa binadamu ni haki ya kujiamlia mambo yake mwenyewe,ndio uhuru wa kweli.

Tokea tupate uhuru kutoka kwa Mwingereza, watawala wapya kwa kutojiamini au kwa kukosa uzoefu wa uongozi walijitubukiza katika usultani usiokuwa na mipaka, usiotaka kuhojiwa,kushauriwa au kuwajibika kwa watawaliwa.
Kuna nyakati tofauti waliopinga ukandamizaji,na uporaji wa mali za umma ,wamefungwa,au kuwekwa kizuizini,kunyanganywa urai,na wakati mwingine kupotea au kutokea vifo vyao vyenye utata.

Kosa kubwa kwa mkoloni Mwingereza ilikuwa kuachia madaraka yote ya utawala kwa kipindi kifupi,huku akijua hajawatayarisha Watanganyika kujiongoza wao kama taifa.
Sasa hivi haiwezekani kumrudisha mkoloni,hata mwenyewe hataki kwa kuwa mazingira ya leo ni tofauti kabisa na yale miaka ya 60.
Kinachohitajika kwa watawala wetu ni kujenga utawala unaozingatia utu wa mtu.
 
Ni kweli... Jinsi tulivyofundishwa shuleni namna ambavyo WAKOLONI WAZUNGU HASA WAINGEREZA WALIKUWA NI WATU MAKATILI, WANYANYASAJI, WABAGUZI WASIOJALI...

nikajiuliza maswali... Ukiangalia viongozi wengi waliokuwa rika la MWALIM NYERERE na wenzake na wazee wengine... Wanatueleza historia za maisha yao kielimu mpaka kisiasa wakati wa ukoloni...

Angalia historia ya mwalim nyerere mathalan, alisoma mpaka shule mbalimbali hapa nchi zilizojengwa na hao hao wazungu... Na katika shule hizo hakuwa nyerere pekee yake(kwamba eti walikuwa wanabagua watoto wa machifu)... Shule zilisheheni watoto wa kiafrika wengi tu. Waliofaulu walipelekwa kufanya kazi serikalini(ya kikoloni) idara mbalimbali. Wengine waliofaulu vizuri zaidi.

Walipandishwa ndege za hao hao wakoloni bure na kusomeshwa bure... Mfano mwalim nyerere alienda KAMPALA(nayo ilikuwa chini ya wakoloni) na mpaka kaenda EDINBURGH (Huko huko kwa wakoloni)... Amerudi akapewa kazi na serikali hiyo hiyo ya kikoloni mpaka akawa WAZIRI MKUU.

Mpaka hapo hakuna mahali nimeona WAKOLONI WALIMTESA NA KUMNYANYASA... kama tunavyoaminishwa kwenye historia MFU.

Nilijaribu kufanya utafiti kila nikipata nafasi ya kukaa na mzee ambae aliishi zama za ukoloni aniambie je walipata adha gani kutoka kwa wakoloni... Hakuna mzee hata mmoja aliniambia waliteswa na wakoloni... Na huduma za kijamii walipata kama kawaida japo zilikuwa chache kutokana na nchi ilikuwa bado iko nyuma...

Nikiangalia historia za walim wangu wa dini wakisimulia jinsi walivyosafiri kutoka sehemu mbalimbali nchini kuelekea ZANZIBAR, TANGA, MOMBASA NA LAMU... BILA BUGHUDHA NA TABU...

UBAYA WA WAKOLONI TUNAOFUNDISHWA KWENYE HISTORIA YA UONGO NI UPI?

Ukiangalia shule nyingi kongwe hapa nchini zilijengwa na wakoloni... Na nyingine bado zipo kwenye ubora wa majengo yaleyale yaliyojengwa na wakoloni... Ila hili serikali la waafrika wenzetu linafanya kazi ya kupiga rangi tu...

Barabara nyingi kuu zilichongwa na wakoloni...

Reli nayo ya kati... Vivyo hivyo...

Hospital mfano MUHIMBILI... Ni wakoloni hao...

Sehemu kubwa ya nchi yetu imeasisiwa na wakoloni kwa ubora mkubwa sana..

Sasa najiuliza ule uhuru tuliokuwa tunautafuta mpaka leo unamsaidiaje MTANZANIA... yaani kuna tofauti gani kimaisha kati ya zama za MKOLONI na KUJITAWALA WENYEWE.

NISHAELEWA UHURU TULIOTAFUTA NI KWA AJILI YA WATANZANIA WENZETU AMBAO WALIKUWA NA TAMAA YA MADARAKA... UHURU WA KISIASA NA KIUONGOZI...

Naamini kama tungekuwa chini ya mkoloni hii nchi mpaka leo ingekuwa mbali sana...

Naamini hata hawa CHADEMA, ACT CUF wanaojifanya wanatafuta ukombozi wetu... Ni uongo... UKOMBOZI WA MATUMBO YAO TU KAMA ILIVYO CCM inavyopigania tonge lake lisipokwe mdomoni...

NATAMANI HATA WAKOLONI WARUDI... KULIKO NCHI KUWA CHINI YETU WENYEWE... HATUWEZI KUJIONGOZA...
Ulichokiongea ndicho ninachokijua baada ya kuchimba sana! Na ndio ukweli wenyewe. Itoshe tu kusema wakoloni hawakuwa na baya lolote zaidi ya Propaganda za kipumbavu. Anayebisha aje na hoja hapa. Na akumbuke kuwa nimesoma na wala siringi.
 
Ni kweli... Jinsi tulivyofundishwa shuleni namna ambavyo WAKOLONI WAZUNGU HASA WAINGEREZA WALIKUWA NI WATU MAKATILI, WANYANYASAJI, WABAGUZI WASIOJALI...

nikajiuliza maswali... Ukiangalia viongozi wengi waliokuwa rika la MWALIM NYERERE na wenzake na wazee wengine... Wanatueleza historia za maisha yao kielimu mpaka kisiasa wakati wa ukoloni...

Angalia historia ya mwalim nyerere mathalan, alisoma mpaka shule mbalimbali hapa nchi zilizojengwa na hao hao wazungu... Na katika shule hizo hakuwa nyerere pekee yake(kwamba eti walikuwa wanabagua watoto wa machifu)... Shule zilisheheni watoto wa kiafrika wengi tu. Waliofaulu walipelekwa kufanya kazi serikalini(ya kikoloni) idara mbalimbali. Wengine waliofaulu vizuri zaidi.

Walipandishwa ndege za hao hao wakoloni bure na kusomeshwa bure... Mfano mwalim nyerere alienda KAMPALA(nayo ilikuwa chini ya wakoloni) na mpaka kaenda EDINBURGH (Huko huko kwa wakoloni)... Amerudi akapewa kazi na serikali hiyo hiyo ya kikoloni mpaka akawa WAZIRI MKUU.

Mpaka hapo hakuna mahali nimeona WAKOLONI WALIMTESA NA KUMNYANYASA... kama tunavyoaminishwa kwenye historia MFU.

Nilijaribu kufanya utafiti kila nikipata nafasi ya kukaa na mzee ambae aliishi zama za ukoloni aniambie je walipata adha gani kutoka kwa wakoloni... Hakuna mzee hata mmoja aliniambia waliteswa na wakoloni... Na huduma za kijamii walipata kama kawaida japo zilikuwa chache kutokana na nchi ilikuwa bado iko nyuma...

Nikiangalia historia za walim wangu wa dini wakisimulia jinsi walivyosafiri kutoka sehemu mbalimbali nchini kuelekea ZANZIBAR, TANGA, MOMBASA NA LAMU... BILA BUGHUDHA NA TABU...

UBAYA WA WAKOLONI TUNAOFUNDISHWA KWENYE HISTORIA YA UONGO NI UPI?

Ukiangalia shule nyingi kongwe hapa nchini zilijengwa na wakoloni... Na nyingine bado zipo kwenye ubora wa majengo yaleyale yaliyojengwa na wakoloni... Ila hili serikali la waafrika wenzetu linafanya kazi ya kupiga rangi tu...

Barabara nyingi kuu zilichongwa na wakoloni...

Reli nayo ya kati... Vivyo hivyo...

Hospital mfano MUHIMBILI... Ni wakoloni hao...

Sehemu kubwa ya nchi yetu imeasisiwa na wakoloni kwa ubora mkubwa sana..

Sasa najiuliza ule uhuru tuliokuwa tunautafuta mpaka leo unamsaidiaje MTANZANIA... yaani kuna tofauti gani kimaisha kati ya zama za MKOLONI na KUJITAWALA WENYEWE.

NISHAELEWA UHURU TULIOTAFUTA NI KWA AJILI YA WATANZANIA WENZETU AMBAO WALIKUWA NA TAMAA YA MADARAKA... UHURU WA KISIASA NA KIUONGOZI...

Naamini kama tungekuwa chini ya mkoloni hii nchi mpaka leo ingekuwa mbali sana...

Naamini hata hawa CHADEMA, ACT CUF wanaojifanya wanatafuta ukombozi wetu... Ni uongo... UKOMBOZI WA MATUMBO YAO TU KAMA ILIVYO CCM inavyopigania tonge lake lisipokwe mdomoni...

NATAMANI HATA WAKOLONI WARUDI... KULIKO NCHI KUWA CHINI YETU WENYEWE... HATUWEZI KUJIONGOZA...
Ukatili na ubaya wa mkoloni yeyote, ni kukufanya ukawa na akili na ujinga kama ulionao wewe sasa hivi! Hilo ndilo baya sana! Yaani wewe kuwa na mawazo na akili kwamba mkoloni ni mzuri na uendelee kutawaliwa! Hasa hasa ubaya ndo huo. Kutojua kwanini wakoloni walielimisha watu wachache tu, kutofahamu kwanini walijenga miundo mbinu fulani tu na mahala fulani! Ubaya wa ukoloni na mkoloni ni mkubwa kuweza kuutambua kwa akili yako wewe - ila ukianza na Kutojua ubaya huo wewe mwenyewe, ndipo ukoloni ulivyo mbaya!
 
Mwambie kwa busara kabisa huyo mzee wako akusaidie; 1. Wakati tunapata uhuru tulikuwa na madaktari bingwa wangapi. 2. Vyuo vikuu vingapi na lile jengo la Jitegemee Lumumba lilikuwa nini. 3. Barabara za lami ngapi na kwenda kwao mkoa wowote alitumia siku ngapi. 4. Shule za msingi ngapi. 5. Mahakama zilikuaje.

6. Wewe mswahili kama uliweza kusafiri kwa ndege bila udhamini wa mhindi au mzungu (maana mswahili mshamba wewe ungetapika au kuruka). Mambo ni mengi lakini maana kubwa ya uhuru ni kwamba tunajitawala, hatuongozwi kutoka 10 downing street au chini ya usimamizi wa Duke of Edingburgh#Acha fikra za mabaharia arosto wa nchikavu.🙏🙏🙏
HIZO NI POROJO TU...HAKUNA UKWELI WOWOTE...
 
Ulichokiongea ndicho ninachokijua baada ya kuchimba sana! Na ndio ukweli wenyewe. Itoshe tu kusema wakoloni hawakuwa na baya lolote zaidi ya Propaganda za kipumbavu. Anayebisha aje na hoja hapa. Na akumbuke kuwa nimesoma na wala siringi.
PROPAGANDA TU.
 
Ukatili na ubaya wa mkoloni yeyote, ni kukufanya ukawa na akili na ujinga kama ulionao wewe sasa hivi! Hilo ndilo baya sana! Yaani wewe kuwa na mawazo na akili kwamba mkoloni ni mzuri na uendelee kutawaliwa! Hasa hasa ubaya ndo huo. Kutojua kwanini wakoloni walielimisha watu wachache tu, kutofahamu kwanini walijenga miundo mbinu fulani tu na mahala fulani! Ubaya wa ukoloni na mkoloni ni mkubwa kuweza kuutambua kwa akili yako wewe - ila ukianza na Kutojua ubaya huo wewe mwenyewe, ndipo ukoloni ulivyo mbaya!
Hawakuelimishwa wachache...ila ufaulu ndio uliokuwa unapunguza watu...
Kuna watu walioishia darasa la 4 wengine hata la 8 hawakufika...

Vilevile...hii elimu mnaosomeshwa wengi ina viwango gani na faida gani?...au wengi wape.?
 
Back
Top Bottom