The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hii Benki imejaa wezi kama mtandao wa Vodacom.Juzi nilitoa kiasi flan salio likabaki vzuri tuu, Jana nmeenda kutoa tena nakuta kiasi Cha elf 20 hakipo, Sasa najiuliza iyo elf 20 imepotelea wap? Ni moja kati ya bank ya ajabu Sana na wanakata pesa bila sababu yoyote nasubiri apa wakanipe maelezo vizuri kabla sijaama iyo bank
Mimi toka imepotea sija renew nimekuta kutolea pesa dirishani ni nafuu kuliko kwenye ATM.Kadi yangu ya CRDB ilipotea, eti kupata nyingine sh 23800 niliwahama siku hiyo hiyo
CRDB hawako open kwenye gharama za huduma zao.
nibora na salama hela zako kubaki nazo nyumbani. tafuta chobingo moja nzuri zitupie huko.Stori za makato utaziskia kwa akina Usokwe na wenzake tuNdugu wasomaji,
Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote. Najiuliza, hivi ndio kusema kuweka fedha bank ni utajiti?
Makato yao yanaumiza sana na hayana uhalali wa aina yoyote, haisadi sekta ya bank kukua, mitaji kukua, kukopesha nk.
Nadhani ni wakati wa BoT kuangalia hizi sera za mabank pamoja na huduma zao.
Kwahivyo naona ni bora kutafuta mbadala. Nachoomba ushauri ni bank gani ambayo inatoa online services, mastercard, visa, account activities etc.
Maana kwakweli CRDB wamenishinda. Kupata card, online access ilikuwa ngumu kama kitu gani. Toka Kimei ameondoka naona imekuwa bank ya hovyo sana.
Sina hamu nao kabisa, najiwekea zangu hela EquityHalafu utawasikia mwisho wa mwaka wanatangaza faida ya mabilioni!! Kumbe wizi mtupu!! Ni manyang'anyi yanayovaa tai na suti.
equit wana.afadhaliAiseee nimehamisha NMB hela zangu nao Ni wezi Kama wezi wengine...CRDB sirudi Tena ...
Equaty bank ni nzuri changamoto kwa mikoa mingi Wana tawi moja tuu makao makuu ya mkoa na baadhi ya mikoa hamna kabisa tawi ata mawakala hamna pia Ila Nina account yao na wapo vizuri Sana.Binafsi absa/barclays na equity
Kirefu cha FNB,,?, Je hadi huku nyalikungu wapo?, Maana wamenivutia sanaUmezungumzia mambo mawili.
- Makato
- Uharaka wa kuhudumiwa /Online Service
Nakushauri fungua account yako na benki ya FNB, kama benki mbadala
- Account type chagua ile yenye makato fixed kwa mwezi, ni kiasi kidogo, then chochote utakachofanya kwenye account yako hakuna makato.
- Online Banking wako vizuri, waweza login kwenye account yako kwa simu au PC na kufanya miamala wakati wowote..
Yaani hapo wanakudai, ukiqeka hela tu, wanakata chaoDah actual bal 0.00 Available Balance -18,000 NMB kiboko
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
First National Bank.Kirefu cha FNB,,?, Je hadi huku nyalikungu wapo?, Maana wamenivutia sana
First National Bank.
Makaburu hao.
Bongo pia wametia maguu..Walikwishafika TZ? Niliwahi kuwaona Botswana, Namibia na RSA kwenyewe.
Equity wanasaidia mtu kuwa na nidhamu ya fedha, ATM zao ni za kuhesabu, branch pia, ukienda kwa wakala wengi hawana float.....so ukitaka hela ni lazima uende branch though wanatakiwa waboreshe huduma, waongeze ATM, kuhusu wakala sielewi kwanini wakala wengi wa Equity ukienda wanakwambia hawana floatEquaty bank ni nzuri changamoto kwa mikoa mingi Wana tawi moja tuu makao makuu ya mkoa na baadhi ya mikoa hamna kabisa tawi ata mawakala hamna pia Ila Nina account yao na wapo vizuri Sana.
Mkuu si wana visacard na MasterCard na mobile mobile moneyHao sijawafuatilia ila nao naskia wako poa
Sifa moja wapo ya kuwa marketing officer lazima uwe tapeli wa maneno uaingize watu kingi[emoji1787]Wahuni nina card yao mpya haijawahi lamba ata ATM niliwakataa toka day 1 yule marketing officer wao alituingiza cha kike[emoji28]
Hii ina maana gani
Wapuuzi sana, huduma mbovu kabisaNiliwahama crdb mwaka 2012, card yangu ilimezwa atm ya udsm, nikaenda idai, wakaniambia kwakuwa nilifungua acc mcity, basi nipeleke complaint yangu huko.
Nikafunga acc saa ileile nikasepa.