Ninahitaji mwenyeji USA jimbo lolote ila Texas ni much preferable

Kwenye huu uzi wako nimeona matambo ni mengi zaidi kuliko ulichohitaji kukiwakilisha
Nashukuru mkuu kwa mchango wako binafsi sijaona tambo yoyote hapo vyote ni vya kawaida sana tu, labda kitu gani kimekushangaza hapo mkuu au ndio uswahili tu. Trust me wapo walioelewa na wamenishauri mazuri sana.
 
Naenda utube mtafute Dnyota .atakusaidia ila uwe na hela
 
Unatafuta mwenyeji au unatafuta mtu wa kumdananda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jipange asee kaza kama unavyosema us sio pabkutafta mwenyeji mambo yanajieleze.

Ukifika usisahau kutafta fukwe za uchi ukaoshe macho maana unaweza enda na kurudi hujachakata mbususu
 
Mafanikio ni watu kaka hakuna mafanikio ya kukomaa kivyako ni lazima ushikwe mkono iwe na mtu unaemfahamu au usie mfahamu ili uvuke step flani ya maisha chukua hiyo. Kaka mimi siendi kutafuta mbususu sina ushamba wa mbususu bwana nimeona za kila rangi bwana inatosha.
 
Mkuu hongera sana,dream zako na zangu siko sawa kbsaaa...kilichonikwamisha ni baada tu kumpa mimba binti wa watu,kwa hyo imebidi nilee kidogo then harakati zianze tena.[emoji120]
 
Kuliko kutembeza bahasha bongo miaka 5 ni bora uvuke boda ukaanze hata kwa kubeba box.
 
Mtafute brother EBM anapatikana sana kwenye mitandao ya kijamii huyu atakua mwelekeo na rangi halisi za USA
 
Kikubwa kama hela ipo, nenda kupitia training au mtalii. Kisha tafuta mwanasheria anyooshe maelezo. Maana usa bila makaratasi sio poa
 
Kinachokera Marekani yani wale mademu wakali tunaowachakata kwa sound tu Bongo Marekani huwezi kuwagusa utaishia kula kwa macho tu na kuchakata mitunyetunye tu.

By the way maisha yako Bongo kama tayari una capital.
 
Kikubwa kama hela ipo, nenda kupitia training au mtalii. Kisha tafuta mwanasheria anyooshe maelezo. Maana usa bila makaratasi sio poa
Kuna mchongo nimeshapata mkuu hopefully mwaka huu nitatia timu mungu akijaalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…