Mwislam by choice
JF-Expert Member
- Sep 23, 2017
- 361
- 471
Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Nyapu ya kununua haileti furaha zaidi ya majuto.Hapo furaha nunua nyapu tu
Tuwekee hapa mkuu hata jinaNjoo inbox nope namba yako nikupe kitabu Fulani ivi ili ujisome mkuu Ila kipo kwa english
Pole sana mkuu.Ila unapaswa kujua kwamba material possessions au earthly possessions sio chanzo cha furaha.Furaha ya kweli inatokana na kujua kwamba you are right with God.Utahangaika weee.....,lakini as long as you are not right with God,you will never know true peace.Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Kunywa bia wewe shida zote za dunia zitakimbiaWakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Utakuwa lipumbavuuuu!Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
Labda ni yeye na aliandika bunju Ili kutokutoa exactly location ya nyumbaniMkuu hiyo nyumba ipo Tegeta na si Bunju B kama unavyodai. Pia ni ya kupangishwa, hukaliwa na wapangaji. Picha yake umeitoa mtandaoni, ikitangazwa kutafuta wapangaji.
View attachment 2084459
You want to Bamba!
hongera kwa kujenga,ila hii nyumba nyumba sio mali yako.Wakuu Nimejenga nyumba ya ghorofa 1 Bunju B kuanzia 2017 Ila sifurahii kukaa kwangu. Tatizo Ni nn?
View attachment 2083778
naunga mguu hojaHapo furaha nunua nyapu tu
Mwenyewe nimeshamtumia inbox tayari mkuu. Ujue wabongo kujisomea vitabu ni tizi Ila kucheki mond ama kimasihara mbususu kula ni fasta we're highly our mind gravitate towards those shitTuwekee hapa mkuu hata jina
Kabisa!Thread imezaa matunda [emoji23][emoji23][emoji23]