Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Tatizo wewe na kichwa chako kama tikitimaji unajifanya unajua sana!
Hilo tukio watu wanalihusisha na Mungu kwa sababu ya tukio la dhihaka juu ya Mungu the Creator of the Universe katika tuzo the Golden Globe!
Na lilitokea baada ya siku chache tu ya tukio hilo na si vinginevyo!
Sema wewe ndo ndo unawaona wote wanaohusisha tukio hilo na moto huu ni wajinga na hawajitambui na kuwaona waafrika hawana akili!
Jaribu kufatilia vyombo vya habari hata USA wenyewe wanakili kuwa moto ni kawaida huko Califonia ila huu sio wa kawaida na wanahisi ni Mungu kuchukizwa na matendo maovu na tukio hilo ya majuzi!
Kwa hiyo wanaohisi hivo sio Watanzania tu ni watu wengi duniani na USA kwenyewe, kwa hiyo usipende kuwaaminisha wenzako unachojua wewe!
 
Internet na simu umegundua wewe? una matatizo ya akili wewe si bure
 
Unataka uthibitisho wa aina gani kwa kitu ambacho hakipo?
 
Kwa hiyo huyo Mungu anaendeshwa kwa mihemko ya kihisia?

Huyo Mungu ana endeshwa kwa emotions na feelings kama binadamu!!

Akidhihakiwa anakasirika na kufura mihasira na kulipiza kisasi kwa viumbe wake mwenyewe!!

Halafu akitukuzwa na kusifiwa anavimba na kujaa misifa!!

Hivi huyo Mungu anajielewa kweli?
 
Vichache ninavyo jua kuliko vingi nisivyo vijua, Moja wapi ya vichache Nina vyojua ni la uwepo wa Mungu.

Nina vingi sana nimefanya katika hii Dunia.

Hizi nukta za tatu za mwisho zinaonyesha mada imekushinda na Mimi sishughuliki nazo.
Vingi vipi hivyo ulivyofanya kwenye hii Dunia?
 
Mungu angekua anaoperate hivyo hakuna mtu angekua hai,
Maana at some point kila mtu ameshawahi kukufuru lakini Mungu hatuchomi.
Watanzania wana chuki zao binafsi dhidi ya taifa la Marekani.

Ndio maana wengi wanapenda kuiponda Marekani.

Kumbe na wenyewe ni wadhambi wakubwa huko sirini.

Halafu yakija hapa JF yananifanya watakatifu.
 
Bro mtu mwenye akili kubwa kwanza hatukani ana jenga hoja sio matusi, kitu pekee bible imesaidia ni kuleta matumaini (hope) ndio hiyo aman mnayosema

Matumaini (hope) ndio yanayowajengea imani, mnakuwa na uhakika na mambo mnayotarajia, hiki ndicho pekee bible imewasaidia
Jenga hoja bro sio unatukana tu

Na hujajibu hoja zangu bado vipi kuhusu usikika wa mwanamke kwenye bible, suala la utofauti (races) hujajibu pia wewe umekimbilia kutukana matusi tu, nikikuambia kuwa kwenye hii dunia kuna watu bado hawajafikiwa na hivi vitabu vyenu vya dini (Bible & Quran) na bado watu wanaishi utaamini au utakuja kutukana tena mtu wa dini?

Na inazidi kutoa mashaka kwa watu wenye akili kubwa kama wewe mwenye dini unatukana kiasi hiki

Lkn siwezi kishangaa maana vitabu vyenu vimewafunga kufikiri kila kitu mnaambiwa mwachie Mungu
 
Na mm sijasema nataka kuondoa gap eti kila mtu aishi kivyake bali sasa hivi ndio kila mtu anaishi kivyake by captalism mwanzo Mungu wa asili alitaka tuishi pamoja na dunia alianza na ujamaa haya maisha magumu unayoyaona mtaani yameleta na mabepari (babilon's) wamekwapua kila kitu wamemiliki wao

Before ubebari dhahabu zote zingekuwa zetu wote, kila kitu unachokiona kingekuwa chetu sote, kuna koo au familia leo hii hawana kitu na kupata ni bahati, hawana ardhi wala chochote nenda Kenya tu pale sehemu ambapo ubebari ulijijenga mapema uone gap lililopo kimaisha
Sio unakurupuka kutukana tu fanya tafiti mtu wa dini na upunguze makasiliko (kutukana)
 


Nimepata furaha kuu. Mungu ni mfalme mkuu Mbinguni na duniani .
Mungu ni yeye yule aliyetajwa ndani ya biblia kwa miaka mingi na hajawahi kukaa kimya panapotokea uasi wa kiujumla . Yaani madhambi yakiwa ni ya kupanga kwa dhahaka na kuwadhihaki watu wema kamwe hayavumiliki tena.

Trump alikuja kama nabii kwao .Aliwatahadharisha sana kuhusu maadili na kurejea kwa Mungu . Lakini hawakujali walichukulia kiwa ni siasa .

Kuana chama kimoja kule kijijini Calfonia kiliwahi kusema kuwa Sisi ushindi kwenye uchaguzi sio Mungu akipanda bali ni lazima . Walisema kuwa Mungu apende asipende tutashinda. 🀣🀣🀣🀣🀣🀣.
Nina imani kuwa kile Chama nacho kinaungua moto taratibu ndio maana hata uchaguzi wao hauna mtu anayefuatilia pamoja na kuwa na dola ,pesa na vyombo vyote vya habari. Huko mitaani hakuna shamrashamra za kumpata yule mshindi wao kutoka kule amazoni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
 
Ili ukidiriki kimoja wapo aweze kuunguza na kuangamiza mji mzima no matter kuna werevu au wajinga?

No wonder watu wenye fikra kama zako ni rahisi kuwaambia waende kuua watu in the name of God.... Ila mtu kama mimi siwezi kufanya baya lolote au kushangilia baya lolote no matter ninaambiwa limetoka kwa nani; Baya ni baya hata kama unaamini limetoka kwa Mungu au vinginevyo...

 
Mimi ni Bwana Mungu wako ni Mungu mwenyrme wivu.. Nawapatiliza wana maovu ya baba zao.. Wa kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukizao ...
Ndio kalipiza kwa kuchoma nyumba?! Baada ya kikundi cha watu kupiga kura?
 
 

Attachments

  • IMG-20250114-WA0040.jpg
    56.5 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…