Kwa kipindi hiki adhabu ya Mungu wenu imekuwa kuchoma moto majengo tu ila watu wanapona? Sidhani kama mpaka sasa moto wenu umeleta vifo zaidi ya watu 50 tu
Ngoja niandike kitu hapa japo inawezekana isiwe kwa uandishi mzuri lkn natumaini nitaeleweka
Mungu huyu mnaemsifia hayupo, japo sijamaanisha hakuna Mungu kabisa, Mungu wa asili yupo ila sio huyu mnaemuongelea hapa
Bible imetumika kuuhadaa ulimwengu kuhusu Mungu, thats why kuna watu wa Elen G White wanasema kuna watu waliiteka bible kitambo wakaificha kwa lengo la kuubadili ukweli kuwa uongo
Nitatoa mifano kadhaa hapa:-
Kuhusu mwanamke, nionesheni sehem bible imemuandika vzr mwanake kwanza kabisa kwa mjibu wa bible inaeleza Mungu wenu hakuwa na mpango na mwanamke ila alipoona Adam anaboeka ndio akamfanya mwanamke na hii ilitokea mda baada ya adam kuwepo, lkn ukweli ni kwamba hakuna viumbe vina uwezo kama viumbe vyenye jinsia ya kike
Hii Dunia yenyewe tuliopo ni ya kike nendeni msome ikolojia maana ukweli wete upo huko (dunia n kiumbe na inasifa zote za kiwa kiumbe hai) japo kuna watu wanataka kututoa huko pia kuwa eti dunia ni flat na wala haizunguki lengo turudi kwa Mungu wenu huyu mwenye jinsia ya kiume (bwana) na hapa natamani siku watu wajue why bwana bwana zimekuwa nyingi na mwanamke anachukuliwa simple!? Sijasema chochote hapa msije sema nataka kumaanisha Mungu wa kweli ni mwanamke sisi Mungu wetu wa asili hatumweki kwenye jinsia yoyote kama huyu wenu (bwana)
Ubepari(captalism) Mungu wa asili hakutaka dunia iwe na matabaka dunia ilotakiwa iwe ya kutegemeana sio watu kadhaa watawale na wengine wawe watawaliwa thats why hata yeye utawala wake haupo hivyo, bible inaongelea sana ubepari kina mfalme Seleiman walikuwa na kila kitu wakati kuna kina Lazaro walikuwa apeche alolo, lkn jamaa zenu waliwafundisha shule kuhusu mifumo ya maisha kitabaka (ubepari au captalism) ni mfumo wa mwisho na umeanza hivi karibuni ikiwa wengi wenu baba za babu zenu wameshazaliwa, masuala ya kubadilishana bidhaa kwa bidhaa mpaka leo tunatumia fedha
Story za kina mfalme Seleiman kwenye bible ni agano la kale maana ake ni mda kitambo before Yesu na alipokuja kutokea Yesu mpaka sasa ni zaidi ya miaka 2000 hii inakaaje? Kwamba zamani hizo kulikuwa na captalism kweliiiiii?
Matabaka ya watu (races) Aliumbwa Adam kisha baada ya Adam kuwa mpweke Mungu wenu akamfanya Eva kutoka kwa Adam (basi tuseme wao walikuwa wazungu, sisi weusi tulipatikanaje, vp kuhusu wachina, wahindi, waarabu nk
Dini zilipatikanaje je, n mpango wa asili au kuna wahuni wachache walikaa kutaka kuipotosha dunia, vipi kuhusu vyama wa siri (secret sociaty) kina illuminat na wengine, wanaojitanabaisha kuiendesha dunia
Asili imejieleza kupitia ikolojia kila kitu kipo wazi kuna watu hawaamini kama elimu ni mfumo wa asili wanadai ni matrix, japo asili ndio chanzo cha kila kitu hakuna hata kimoja ambacho kimefanyika kisayansi hakipo kiasili
Na kwa taarifa tu sayansi ipo kwenye mambo matatu tu wanasayansi wote kikanuni wanaishu kwenye hii kitu (mawimbi, sumaku na mwanga) physics yote ipo hapo (waves, magnetic & light) hivi vyote vipo kiasili wanaosema dunia ni flat waje watuambie kupwa na kujaa kwa bahari kunatokeaje?
Bahati nzuri ni kwamba vitabu hivi havitakuwepo tena hapo baadae na asili inatuonesha maana kuna viumbe wametajwa kwenye bible vizazi vya karne ijayo hawataviona imeanza kitambo na ndio maana jamaa zenu waliichukua bible kwenda kuibadili kwa kisingizio kile cha Elen G White, ukiwa mkoani Lindi kuna sanam la mjusi mkubwa sisi hiki kizazi chetu hakijabahatika kuwaona, lkn kupotea kwa viumbe kunaendelea bado mfano huyu nyoka nawahakikishia karne mbili mbele hatakuwepo tena kwenye uso wa dunia mbaya zaidi mlisema ni mwelevu na hapo hapo asili akamnyima akili ya kujifunza kitu kipya hafundishiki yeye anakuja akiwa na akili ya moja kwa moja
Nipo naandaa makala hopelly kwa nguvu ya asili mda sio mrefu nitaanza kuisambaza
Iko hivi .
Kama kuna binadamu wenye akili na maarifa basi ni wazi kuwa kuna viumbe wengine wenye akili zaidi . Binadamu hawezi kuumba kisichokuwepo kabisa . Yaani aamke asubuhi asema pawe na nyumba halafu iwepo katika mpangilio mzuri na wa kisayansi. Hapana.
Ni lazima tukubali na tumsifu huyu aliyetoweka hapa duniani na kutupa nafsi zenye kujua jambo zuri na baya na pia kufurahia uzuri wa dunia . Huyo ni wazi kuwa sisi kwa ujinga wetu na udogo wetu na maarifa yetu madogo sana maana tumeumbwa tu hatuwezi kamwe kumjua kwa asilimia hata 5 ya muumba wa aya mavitu yote yanayoonekana na yasiyoonekana . Unajua hata roboti limetangenezwa na binadamu lakini halina uwezo wa kufikia mahali pa kusema kuwa linaljua binadamu na linamkosoa na kujipangia linavyotaka lenyewe . Ukiona hivyo basi Binadamu ataliharibu na litakua halina faida kwake .
Binadamu wa leo ni mtu mdogo sana anayehitaji uangalizi na ulinzi mkubwa ili aweze kukabiliana na mazingira yaliyopo . Huyu ni modern man . Bibilia ipo wazi kuwa aliwekwa kwenye Eno tofauti na eneo la leo . Ile bustani mpaka leo haijulikani ilipo. Lakini ni wazi kuwa hii duniani haikuwa kwa ajili yetu maana mazingira ya viumbe waliokuwepo ilikua ni tofauti.
Kuna upotoshaji kuwa biblia ilibadilishwa . Huo ni upotoshaji wa makusudi. Katika kitu wenzetu wazungu walichojaliwa ni kuwa na watu halisi wenye kusimama kwenye ukweli hata kufa . Bibilia ilikua haifai kabisa kwa watawala wa dunia karne zote mpaka leo.
Ni rahisi kuona nchi inatawaliwa kwa misingi ya Dini lakini sio kwa misingi ya bibilia . Hivyo juhudi kubwa ya watawala mpaka leo ni kuidhoofisha biblia. Uliopondoa Bibilia basi umeondoa utawala wa Mungu duniani . Yaani dunia itakua inatawaliwa au inajitawala bila kufuata kanuni za Mungu . Na kanuni za Mungu zipo wazi kwa viumbe vyote. I
Binadamu wanaimani tofauti kwa sababu ya kupotoka ndio maana Mungu alikua anawatuma manabii ili kurejea kwenye imani ya Mungu aliyeumba . Kuna dhana kuwa vitu vimetokea tu kama bahati nasibu kulingana na nguvu za asili .😂😂😂Sasa hizo nguvu za asili ni nani ? Wanaona aibu kusema huyo ndiye Mungu aliyeweka hizo nguvu za asili na huo ndio ukuu wake .
Kuna dhana kuwa Mwanamke kwa sababu amepewa akili ya ziada katika saikolojia ya malezi basi yeye ndiye anayepaswa kuabudiwa . Hiyo ni dhana potofu. Mungu ndiye aliyeumba hivyo na ameumba hivyo makusudi ili malengo yake yatimie .
Hakuna mwanasayansi anayetengeneza kitu bila malengo .
Hebu fikiri kuku anayetototo vifaranga 30 na anavilisha chakula na kuvilinda mpaka vinakuwa . Je ,mwanadamu anauwezo huo ? Hata bilionea na Genus Musk au Billget hana uwezo huo . Je,kuku ana akili kuliko binadamu ? 😂😂😂😂😂😂Zamani tulikua tunaambiwa kuwa kuku ndiye kiumbe pale nyumbani mwenye ubongo mdogo sana .
Lakini pia kuna kiumbe anaitwa nyuki . Anatengeneza asali kwa maarifa makubwa sana . Mpaka leo hajawahi kuingia kwenye biashara ya kuuza asili na kujipatia fedha na kisha kujenge himaya yake yenye majumba na magari ili amshibiti binadamu mharibifu. Kwa sababu ndivyo alivyoumbwa. Mwanamke na mwanaume ni watu wawili tofauti sana . Kamwe hawawezi kufanana kwa sababu hawakuumbwa wakiwa wanafanana kitabia na kihisia. Hivi maumivu anayopata mwanamke wakati wa kujifungua angekuwa mwanaume angejaribu hata kufanya tendo analojua litampatia mimba nyingine 😂😂😂😂?
Yaani tungejua tunafanana dunia ingeisha mapema sana . Ndio maana ya kuletwa Mwanamke tusiyeganana kitabia na kihisia . Mwanamke akapewa saikolojia na akili ya ziada katika kulea na kumfundisha mtoto tangu akiwa mchanga .
Mama amepewa akili ya kumtambua na kumlea mtoto ambaye ndiye , huyo atakuja kuwa mwanaume na mwanamke mwingine wa baadae.
Mwanaume anafananishwa na Mungu kwa sababu ya hulka zake ,tabia zake za kuwa mlezi na mlinzi wa familia . Mwanaume anajitolea saa nyingine bila sababu. Mfano mwanaume anaweza kumpenda sana mama mkwe ,baba mkwe , Mashuleni,watoto wa kufikia,marafiki wa mke wake lakini tabia na hulka hiyo wanawake hawana kabisa . Mwanaume anapenda kuheshimiwa tu na kuwa ndio watawala tabia ya Kimungu .
Lakini pia watu wanapotosha sana kuhusu Ukristo . Ukristo sio dini za matbiko na ibada . Ukristo ni ufalme wa Mungu duniani ndio maana ukristo unapata upinzani mkubwa sana toka kwa watawala na vyama vya siri kwa sababu ya kutaka kuitawala dunia. Watawala wa dunia kamwe hawangeuweza ukristo kama sio kutumia mabavu na hata kuua ili tu kutawala .
Himaya ya Kirumi ilihofia sana ukristo ndio maana ikaubeba na kuutumia kuhadaa ulimwengu lakini ni wazi kama ukristo katika ukweli wake bila kutumia vitusho ,mauji na nguvu dunia nzima ingemfuata Kristo Masihi na ukristo ndio ungetawala dunia nzima kwa haki bila kutumia upanga wala mapanga . Lakini kwa sababu ya tamaa za watu waovu ,ukristo unapigwa vita sana kwa sababu ni ufalme wa Mungu duniani . Wakristo kazi yao ni moja tu kuutangaza ufalme wa Mungu duniani kote .Yaani dunia itawaliwe katika misingi ya amani ,upendo na ukweli .
Hiyo ndio dhana iliyomleta Kristo na ukristo duniania.
Fremason na Iluminant wanafanikisha sana kutumia silaha za ukristo kuutawala na kuuteka ulimwengu lakini katika uharibifu. Hii njia ionekanayo kuwa ni ya uzima lakini mwisho wake ni upotevun( dunia kupotea ) .