Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Kuna movie ilitoka mwaka jana ikiwa na kisa cha US kushika moto ulioshindikana kuzimwa na ukaleta madhara sana mpaka viumbe vya ajabu vikawa vinatoka misituni kuja katika makazi,ziko mbili hv kama sijakosea
Kama unazkumbuka majina mkuu tupia tukazichek
 
Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia,

Ilikuwa hivi:

Kulikuwa na event ya super stars๐ŸŒŸ ktk mji wa Los Angeles,
Wakiwa katikati ya sherehe wakaanzisha mchezo wa kupiga kura kwa watu wenye thamani ktk jamii yao,

Majina yaliyoorodheshwa ni 1.Cast&Crew(wacheza filamu wa Hollywood na washiriki)
2.thamani ya mama ,
3.Lopez
4.MUNGU.

Ktk matokeo ya uchaguzi wao matokeo yalikuwa hivi:
Cast&Crew= kura 11
Thamani ya mama=Kura 3
Lopez =Kura 1
MUNGU=walimpa kura 0,

Msimamizi wa uchaguzi akasema matokeo hayo hayashangazi kwani mji wao ni Godless town,
Walipotoka nje wakatengeneza bango kubwa lenye maandishi "God get out in this city"
kesho yake ndo mji ukaanza kulipuka,
Ukumbuke msitu wa Amazon ulioko Brazil ambao ndio msitu mkubwa zaidi duniani ulipoungua miaka 4 iliyopita ni Marekani ndiyo iliyosaidia kuuzima lkn huu wa kwao umewashinda, Marekani ndiye baba wa technology ulimwenguni,ukizungumza Helocopter,ndege,kemikali na kila sayansi unaizungumzia Marekani,
Sasa hivi wanafyeka mahecta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lkn kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia,
mamia ya ndege na helcopter za zimamoto ziko angani Calfornia zikimwaga kemikali za kuzima moto lkn moto umegoma kuzimika, hakuna matumaini, majumba ya wasanii mabilionea wa Holly Wood yanaangamia,
Holly Wood ndiko kuna makazi ya thamani kuliko miji yote ulimwenguni, kidunia Hollywood inatambuliwa kama makao makuu ya uzur wa dunia lkn saa hii panaelekea kuwa jangwa gumu, wafuatiliaji wa sinema za Hollywood mlioko humu jiji lenu/mazingira yenu pendwa ya Hollywood linaangamia,

Ule moto hautozimwa na technology,
Utazimwa na Toba ya makuhani,

Nimeyasema haya ili kutoa tahadhari tujiweke mbali na vikundi vyenye mizaha juu ya MUNGU MKUU, ukiona kiashiria chochote cha mzaha kwa BWANA kemea kwa nguvu, wasipokuelewa kata connection na hicho kikundi hata kama kina maslahi makubwa kiasi gani,

BWANA MUNGU hadhihakiwi!
 
God is good.. Everything we see kuanzia ulimwengu na vyote viijazavyo ni mali yake.. Lakini sidhani kama Mungu anaweza akajipinga.. Wamefanya waliofanya lakini hili ni matokeo ya nature..

Mwanzoni Mungu ndio alitoa hukumu direct rejea Sodoma na Gomora, na gharika lakini baada ya hayo hukumu imebaki ya moto nayo ni matokeo ya wewe mwenyewe kumkataa
 
God is good.. Everything we see kuanzia ulimwengu na vyote viijazavyo ni mali yake.. Lakini sidhani kama Mungu anaweza akajipinga.. Wamefanya waliofanya lakini hili ni matokeo ya nature..

Mwanzoni Mungu ndio alitoa hukumu direct rejea Sodoma na Gomora, na gharika lakini baada ya hayo hukumu imebaki ya moto nayo ni matokeo ya wewe mwenyewe kumkataa
Los Angeles, California.
AFTER "The Godless Town"
1737394176694.jpg
 
Aerial photo of Los Angeles fi
1737395048994.jpg
re in US๐Ÿฅน
 
Kaka heshima yako.

Mungu hajipingi. Ukiona hivyo ujue umedefile nature ambayo yenye inatambua Mungu.

Remember hataki mtu apotee.

Na uharibifu kama huo hauwezi kumtukuza
Kati ya vitu vyote Mungu alivyoumba kuna viwili havichezewi.. Uhai na ardhi
 
Ha ha ha..... Tutasikia stories nyingi sana za kubumba. Cheche inapaaa......inarukia jengo jingine....๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ JF INA WATU UKIKAA HUMU UNACHEKA TU
Duuu kweli wewe ni kilazi, hauujui moto
 
Unatumia IDs nyingi ila akili inakusaliti unabaki kuwa tu Zezeta/Msukule.
Zezeta ni wewe unayeona kila kitu unachoambiwa unaona unadanganywa tu eti kwa sababu aliekuzalisha mtoto alikudanganya na kukuacha. Kwa hiyo ukiona unyasi unatikisika tu unaogopa unajua ni nyoka.
 
Zezeta ni wewe unayeona kila kitu unachoambiwa unaona unadanganywa tu eti kwa sababu aliekuzalisha mtoto alikudanganya na kukuacha. Kwa hiyo ukiona unyasi unatikisika tu unaogopa unajua ni nyoka.
Pole kumbe nimeelewa tatizo lako ni nini. Unatafuta bwana na hapa unatetea alichondika bwana ako. Huwezi hoji? Wanawake mkipenda ๐Ÿคฃ mnakuwa kama mazezeta
 
Pole kumbe nimeelewa tatizo lako ni nini. Unatafuta bwana na hapa unatetea alichondika bwana ako. Huwezi hoji? Wanawake mkipenda ๐Ÿคฃ mnakuwa kama mazezeta
Nashukuru kwa kunielewa mimi Man Filandu tatizo langu la kupenda kukupandia mgongoni๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†.

Ila nasisitiza usiogope Beibi Julieta ukimuona nyoka anaingia kwenye chupi yako nyeupe ni hali ya kawaida tu MPZ vumilia tu yana mwisho utakuja kuzoe maana hata dada yako nae alianzaga hivyohivyo mwishoe akazoea.๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Pole kumbe nimeelewa tatizo lako ni nini. Unatafuta bwana na hapa unatetea alichondika bwana ako. Huwezi hoji? Wanawake mkipenda ๐Ÿคฃ mnakuwa kama mazezeta
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†. Hapana mimi uwa sitetei mashoga mara nyingi uwa napenda kuwafilimba.

Julieta nimekumic.๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†. Hapana mimi uwa sitetei mashoga mara nyingi uwa napenda kuwafilimba.

Julieta nimekumic.๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
Pole kumbe nimeelewa tatizo lako ni nini. Unatafuta bwana na hapa unatetea alichondika bwana ako. Huwezi hoji? Wanawake mkipenda ๐Ÿคฃ mnakuwa kama mazezeta
 
Ikiwa Mungu ni mjuzi wa yote, je, alijua kuwa moto utaangamiza California siku moja?

Kama alijua, kwa nini alishindwa kuzuia au kuhamasisha watu wake wanaomuomba kuepuka maafa hayo?

Kama Mungu anajua kila jambo linalotokea na litakalotokea, kwanini aliruhusu maafa kama hayo kutokea mpaka kwenye makanisa yake?

Je, hapendi kuabudiwa kama anavyodai?

Je, alijua kwamba wasio na hatia wataathirika, lakini aliona ni jambo lisilostahili kutoa taharifa kwa watu wake?

Ikiwa Mungu ni mjuzi wa yote, kwa nini alishindwa kuzuia moto wa California kabla haujaua au kuhamasisha watu wasio na hatia kuondoka?

Kama Mungu ni mwenye nguvu zote na mjuzi wa yote, kwanini ameruhusu janga kama hili kutokea ilihali aliweza kulitafutia solution nyingine mapema?

Je, ni ni sahihi yeye kuwapa mateso watu wasio na hatia ikiwa alikuwa na uwezo wa kuzuia?

Ikiwa Mungu alijua mapema kuhusu moto huo, kwanini aliruhusu watu wasio na hatia kuathirika?

Je, nguvu zake zote hazingemruhusu kuhamasisha au kuokoa watu wake kabla ya maafa?

Ikiwa Mungu ni mwenye huruma, asiye na hasira, na msamehevu, kwanini msamaha wake unaonekana kuwa na udhaifu? Infact, Anaendelea kumsamehe na kumwachilia Shetani ambaye ndiye chanzo cha uovu kisha analeta mateso kwa wanadamu wasio na hatia.

Kama Mungu ni mwenye huruma, kwanini anaruhusu Shetani kuendelea kutenda maovu na kuangamiza watu, huku akionekana kuwa na uwezo wa kumshinda au kumhukumu?

Kama Mungu ana uwezo wa kuangamiza uovu, kwa nini anaendelea kumruhusu Shetani kuleta maafa na uharibifu kwa binadamu?

Je, hii inahusianaje na sifa zake za Nguvu, Haki, Huruma na upendo?

Je, ni haki kuacha wengine kuteseka kwa makosa ya wengine?

Kama Mungu anahukumu na anahukumu maovu, kwanini haadhibu ipasavyo wale wanaozua madhara makubwa kwa jamii, kama wauza viungo au walio katika dhambi, wakati ana uwezo wa kuondoa uovu kwa haraka bali anachagua watu wa kuadhibu?

Infact hii story ya Mshana ni ya kubuni na haihusiani na tafiti za kisayansi kuhusu vyanzo vya moto.

Ikiwa si ya kubuni ninahitaji majibu kamili ya hayo maswali hapo juu.
 
Back
Top Bottom