Chochote utakachofanya wewe kama kina athari kwa jamii inayokuzunguka basi hilo ni tatizo iwe umetumwa na mchawi au Allah does not matter, what matters is the deed kwahio kwa jicho la jamii inayohusika the deed is what matters not the idea behind the deed (ukizingatia Imani ni nyingi na kila watu wana zao)
Hiki sio kipimo, bado hujajibu swali langu. Athari gani hasi au chanya ? Kuwa na imani nyingi sio hoja, hoja ukweli wapo nao kina nani ?
Akili iliyo salama hutaka kujua ukweli na kupatia. Bado hujajibu swali langu.
Kwahio wewe hujui zuri au baya ? Binafsi So long as jambo lolote linaumiza wengine ni Baya na vice versa pia ni muumini wa Natural Justice, na hata hizi Imani zote zimekuwa na Amri tofauti tofauti ili kuhakikisha social harmony..., hazitofautiani sana;
Hili kosa lingine, sio kila jambo linalo umiza wengine ni baya. Ndio maana nikataka uweke kipimo chako. Wangapi hawapendi mazuri na wanachukia ? Uzuri wa jambo haupimwi kwa watu wanalichukiliaje. Hiki sio kipimo sahihi.
Nadhani nimekujibu hapo juu na hapa nakwambia tena hata bila kutumia hizi so called Amri za Mungu, binafsi lolote like ambalo linaweza lika cause harm kwa yoyote yule ni baya na vice versa.
Hapo unakosea unapoweka lolote. Kila jambo linapimwa kwa uzani sahihi.
Kwahio huyu Mungu wa wote amechagua wachache ndio wamjue ? Na ndio maana kwenye Qoute yangu ya mwanzo kabisa nimesema Mungu huyu mwenye Kisirani na kuadhibu hata wasio hatia wala sihitaji kumjua, na wala siwezi support hio barbaric behavior, lakini I know better kwamba kinachotokea ni natural disasters
Amewachagua baada ya wao kutaka kumjua. Wewe leo unafikiri bila kufanya juhudi ungejua kuandika au kusoma ? Hili liko hivyo hivyo hata katika kumjua yeye Aliye tuumba. Ukitaka kumjua anakufanyia wepesi wa kumjua na usipotaka anakuacha uelekee unapotaka wewe, sababu ametupa uhuru kamili.
Mola wetu hana kisirani bali hapendi watu wajinga na wezembe.
Natural disasters inatokeaje ? From no where ? Unajua hayo yanayotokea yanahitaji muwezeshaji ?