Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Chochote utakachofanya wewe kama kina athari kwa jamii inayokuzunguka basi hilo ni tatizo iwe umetumwa na mchawi au Allah does not matter, what matters is the deed kwahio kwa jicho la jamii inayohusika the deed is what matters not the idea behind the deed (ukizingatia Imani ni nyingi na kila watu wana zao)

Hiki sio kipimo, bado hujajibu swali langu. Athari gani hasi au chanya ? Kuwa na imani nyingi sio hoja, hoja ukweli wapo nao kina nani ?

Akili iliyo salama hutaka kujua ukweli na kupatia. Bado hujajibu swali langu.
Kwahio wewe hujui zuri au baya ? Binafsi So long as jambo lolote linaumiza wengine ni Baya na vice versa pia ni muumini wa Natural Justice, na hata hizi Imani zote zimekuwa na Amri tofauti tofauti ili kuhakikisha social harmony..., hazitofautiani sana;

Hili kosa lingine, sio kila jambo linalo umiza wengine ni baya. Ndio maana nikataka uweke kipimo chako. Wangapi hawapendi mazuri na wanachukia ? Uzuri wa jambo haupimwi kwa watu wanalichukiliaje. Hiki sio kipimo sahihi.
Nadhani nimekujibu hapo juu na hapa nakwambia tena hata bila kutumia hizi so called Amri za Mungu, binafsi lolote like ambalo linaweza lika cause harm kwa yoyote yule ni baya na vice versa.

Hapo unakosea unapoweka lolote. Kila jambo linapimwa kwa uzani sahihi.
Kwahio huyu Mungu wa wote amechagua wachache ndio wamjue ? Na ndio maana kwenye Qoute yangu ya mwanzo kabisa nimesema Mungu huyu mwenye Kisirani na kuadhibu hata wasio hatia wala sihitaji kumjua, na wala siwezi support hio barbaric behavior, lakini I know better kwamba kinachotokea ni natural disasters

Amewachagua baada ya wao kutaka kumjua. Wewe leo unafikiri bila kufanya juhudi ungejua kuandika au kusoma ? Hili liko hivyo hivyo hata katika kumjua yeye Aliye tuumba. Ukitaka kumjua anakufanyia wepesi wa kumjua na usipotaka anakuacha uelekee unapotaka wewe, sababu ametupa uhuru kamili.

Mola wetu hana kisirani bali hapendi watu wajinga na wezembe.

Natural disasters inatokeaje ? From no where ? Unajua hayo yanayotokea yanahitaji muwezeshaji ?
 
Kwa hiyo Mungu anaamua kutoa collective punishment?

Wewe tu huwezi ukaadhibu familia yako yote kwa kosa la mtoto wako mmoja. Iweje an all-knowing, Merciful and compassionate God atoe adhabu ya moto kwa viumbe wengi kwa pamoja, kwa sababu ya kosa la watu wachache?

Unapokosea wewe ni kumlinganisha Allah na wanadamu.
 
Hiki sio kipimo, bado hujajibu swali langu. Athari gani hasi au chanya ? Kuwa na imani nyingi sio hoja, hoja ukweli wapo nao kina nani ?

Akili iliyo salama hutaka kujua ukweli na kupatia. Bado hujajibu swali langu.
Aisee umeniuliza swali "Baya kwako ni nini" alafu nimekujibu lakini hutaki jibu langu ?
ili kosa lingine, sio kila jambo linalo umiza wengine ni baya. Ndio maana nikataka uweke kipimo chako. Wangapi hawapendi mazuri na wanachukia ? Uzuri wa jambo haupimwi kwa watu wanalichukiliaje. Hiki sio kipimo sahihi.
Kila jambo linaloumiza wengine ni baya as far as am concerned, moja ni baya kwa hao waliotendewa na mimi mtendaji nikijua / fahamu kwamba linawatendea ubaya hao wengine basi kwangu mimi mtendaji ni baya, kwahio wewe kama una defition zako wewe endelea nazo...
Hapo unakosea unapoweka lolote. Kila jambo linapimwa kwa uzani sahihi.
Anapima nani na wapi na sahihi kwa nani ? Iwapo umeniuliza mimi na mimi ndio nimekupa jibu sasa ukileta mizani yako kwamba ndio iwe yangu hapa tutakesha..., Ingawa mimi ni muumini wa to each his / her own LAKINI ninaelewa kwamba jambo linalomdhuru mtu aliyetendewa haliwezi kuwa jema kwake, na mimi ninayetenda hata kama litanifurahisha mimi haliwezi kuwa zuri sababu linamuumiza mwingine..., zaidi ya hapo ni justifications.
Amewachagua baada ya wao kutaka kumjua. Wewe leo unafikiri bila kufanya juhudi ungejua kuandika au kusoma ? Hili liko hivyo hivyo hata katika kumjua yeye Aliye tuumba. Ukitaka kumjua anakufanyia wepesi wa kumjua na usipotaka anakuacha uelekee unapotaka wewe, sababu ametupa uhuru kamili.
Sasa hapo umeanza kuelezea mambo kwa perception na imani zako.., na mimi ndio nimekwambia huyo mwenye visirani, visasi na kuangamiza hata wasio hatia kawngu mimi wala sihitaji wala kutaka kumjua na hao waliompa sifuri ingebidi apate kabisa minus na walikuwa right kutokutaka aje sababu according to wewe kwenda kwake ndio amepeleka maafa (sasa huoni hapo they were better off without him)?
Mola wetu hana kisirani bali hapendi watu wajinga na wezembe.
Wenu na nani ? Na unajua maana ya kisirani ? Reaction ya Hasira baada ya happenstance ambayo haimpendezi mtu / kitu ndio kisirani chenyewe hicho
Natural disasters inatokeaje ? From no where ? Unajua hayo yanayotokea yanahitaji muwezeshaji ?
Muwezeshaji kufanya nini ? Kwahio hata Mlima Kilimanjaro ambao upo dormant siku ukifutuka ni Mungu ndio atakuwa muwezeshaji wa kucheza na remote yake ?Au matetemeko yakitokea huwa anaamua kutingisha dunia ? Jaribu kujielimisha kwanza why these things which have been happening all along they continue to happen huchelewi kuwa kama watu wa zamani walivyokuwa wakiona kupatwa kwa jua wanadhani ni mwisho wa dunia au Mungu kakasirika
 
Yaani uwingi wa walioamini huu uzushi ( kuwa moto umesababishwa na hasira za Mungu) ndio unaeleza sababu kwanini watz wengi huwa wanatapeliwa kirahisi na qnet, d9, pamoja na mitume fake.
 
Ilikuwa hivi:

Kulikuwa na event ya super stars🌟 ktk mji wa Los Angeles,
Wakiwa katikati ya sherehe wakaanzisha mchezo wa kupiga kura kwa watu wenye thamani ktk jamii yao,

Majina yaliyoorodheshwa ni 1.Cast&Crew(wacheza filamu wa Hollywood na washiriki)
2.thamani ya mama ,
3.Lopez
4.MUNGU.

Ktk matokeo ya uchaguzi wao matokeo yalikuwa hivi:
Cast&Crew= kura 11
Thamani ya mama=Kura 3
Lopez =Kura 1
MUNGU=walimpa kura 0,

Msimamizi wa uchaguzi akasema matokeo hayo hayashangazi kwani mji wao ni Godless town,
Walipotoka nje wakatengeneza bango kubwa lenye maandishi "God get out in this city"
kesho yake ndo mji ukaanza kulipuka,
Ukumbuke msitu wa Amazon ulioko Brazil ambao ndio msitu mkubwa zaidi duniani ulipoungua miaka 4 iliyopita ni Marekani ndiyo iliyosaidia kuuzima lkn huu wa kwao umewashinda.
Marekani ndiye baba wa technology ulimwenguni,ukizungumza Helocopter,ndege,kemikali na kila sayansi unaizungumzia Marekani

Sasa hivi wanafyeka mahekta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lakini kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia

Mamia ya ndege na helcopter za zimamoto ziko angani Calfornia zikimwaga kemikali za kuzima moto lkn moto umegoma kuzimika, hakuna matumaini, majumba ya wasanii mabilionea wa Holly Wood yanaangamia

Holly Wood ndiko kuna makazi ya thamani kuliko miji yote ulimwenguni, kidunia Hollywood inatambuliwa kama makao makuu ya uzur wa dunia lkn saa hii panaelekea kuwa jangwa gumu, wafuatiliaji wa sinema za Hollywood mlioko humu jiji lenu/mazingira yenu pendwa ya Hollywood linaangamia,

Ule moto hautozimwa na technology,
Utazimwa na Toba ya makuhani,

Nimeyasema haya ili kutoa tahadhari tujiweke mbali na vikundi vyenye mizaha juu ya MUNGU MKUU, ukiona kiashiria chochote cha mzaha kwa BWANA kemea kwa nguvu, wasipokuelewa kata connection na hicho kikundi hata kama kina maslahi makubwa kiasi gani,

BWANA MUNGU hadhihakiwi!View attachment 3205068

Unasemaje hakuna Mungu. Mshana kuna wapare wenzako wajinga wanajiita wachokozi. Nao wanapambania Miungu yenu kule ambayo Mungu mkuu aliiilaza chali.
Upareni muda sio mrefu nao watasema maji mmmmma maaana Mwenyezi Mungu yupo.
Pope Francis anauguza vidonda maana kila siku anaanguka. Nayer anajidai hakuna hell wala Mungu
 
Siku nitapita na bango la namna hiyo mitaa ya Magogoni Mungu afanye yake tumalize changamoto za hii nchi.
 
View attachment 3206928
NETPESA has a Ksh 100 joining fee. 💸 Earn over Ksh 2,000 daily by watching reels, videos,and clicking ads (up to Ksh 50/task). 🎥🧠📲 Get a Ksh 350 sign-up bonus, free financial books 📚, and forex signals 📈. Invite friends to earn up to Ksh 1,000 daily. 🤝💰 Plus, enjoy daily, weekly, and overall bonuses. 🎉 AVAILABLE FOR ALL AFRICAN COUNTY INCLUDING TANZANIA, UGANDA, BURUNDI KENYA AND OTHER.... JOIN NOW TO MAKE MONEY

View attachment 3206929

JOIN NOW TO MAKE MONEY
 
Unasemaje hakuna Mungu. Mshana kuna wapare wenzako wajinga wanajiita wachokozi. Nao wanapambania Miungu yenu kule ambayo Mungu mkuu aliiilaza chali.
Upareni muda sio mrefu nao watasema maji mmmmma maaana Mwenyezi Mungu yupo.
Pope Francis anauguza vidonda maana kila siku anaanguka. Nayer anajidai hakuna hell wala Mungu
Unasemaje hakuna Mungu. Mshana kuna wapare wenzako wajinga wanajiita wachokozi. Nao wanapambania Miungu yenu kule ambayo Mungu mkuu aliiilaza chali.😢
 
Jamaa bado anaamini alitokana na sokwe
Hakuna binadamu aliyetokana na sokwe.

Hakuna binadamu aliyeumbwa na Mungu/Allah.

Binadamu Hawatokei wala Hawaumbwi.

Binadamu wanazaliwa kwa kuzaliana.

Hakuna binadamu aliyeumbwa na Mungu.

Hakuna binadamu aliyetokana na sokwe.

Una elewa hilo?
 
Ilikuwa hivi:

Kulikuwa na event ya super stars🌟 ktk mji wa Los Angeles,
Wakiwa katikati ya sherehe wakaanzisha mchezo wa kupiga kura kwa watu wenye thamani ktk jamii yao,

Majina yaliyoorodheshwa ni 1.Cast&Crew(wacheza filamu wa Hollywood na washiriki)
2.thamani ya mama ,
3.Lopez
4.MUNGU.

Ktk matokeo ya uchaguzi wao matokeo yalikuwa hivi:
Cast&Crew= kura 11
Thamani ya mama=Kura 3
Lopez =Kura 1
MUNGU=walimpa kura 0,

Msimamizi wa uchaguzi akasema matokeo hayo hayashangazi kwani mji wao ni Godless town,
Walipotoka nje wakatengeneza bango kubwa lenye maandishi "God get out in this city"
kesho yake ndo mji ukaanza kulipuka,
Ukumbuke msitu wa Amazon ulioko Brazil ambao ndio msitu mkubwa zaidi duniani ulipoungua miaka 4 iliyopita ni Marekani ndiyo iliyosaidia kuuzima lkn huu wa kwao umewashinda.
Marekani ndiye baba wa technology ulimwenguni,ukizungumza Helocopter,ndege,kemikali na kila sayansi unaizungumzia Marekani

Sasa hivi wanafyeka mahekta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lakini kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia

Mamia ya ndege na helcopter za zimamoto ziko angani Calfornia zikimwaga kemikali za kuzima moto lkn moto umegoma kuzimika, hakuna matumaini, majumba ya wasanii mabilionea wa Holly Wood yanaangamia

Holly Wood ndiko kuna makazi ya thamani kuliko miji yote ulimwenguni, kidunia Hollywood inatambuliwa kama makao makuu ya uzur wa dunia lkn saa hii panaelekea kuwa jangwa gumu, wafuatiliaji wa sinema za Hollywood mlioko humu jiji lenu/mazingira yenu pendwa ya Hollywood linaangamia,

Ule moto hautozimwa na technology,
Utazimwa na Toba ya makuhani,

Nimeyasema haya ili kutoa tahadhari tujiweke mbali na vikundi vyenye mizaha juu ya MUNGU MKUU, ukiona kiashiria chochote cha mzaha kwa BWANA kemea kwa nguvu, wasipokuelewa kata connection na hicho kikundi hata kama kina maslahi makubwa kiasi gani,

BWANA MUNGU hadhihakiwi!View attachment 3205068
Kwa Upande mwingine mnamkosea sna Mungu ni kama mnapaka Sifa mbaya na Ukatili.

Neno hilo tu ndio awaharibie watu mali zao huku wengine hawahusiki na maneno hayo.

Kama kweli ni yeye, huyo Mungu ni mtu wa visasi sana na hawezi kupuuzia vitu vya mizaha tu .
 
Kwa Upande mwingine mnamkosea sna Mungu ni kama mnapaka Sifa mbaya na Ukatili.

Neno hilo tu ndio awaharibie watu mali zao huku wengine hawahusiki na maneno hayo.

Kama kweli ni yeye, huyo Mungu ni mtu wa visasi sana na hawezi kupuuzia vitu vya mizaha tu .
Pia inaonekana huyo Mungu anaendeshwa kwa mihemko ya kihisia na hawezi ku control hasira zake.

Akisifiwa anavimba na kujaa misifa.

Akidhihakiwa anafura na kujaa mihasira.

Huyo Mungu anahitaji mental rehabilitation therapy maana hawezi ku control hisia zake..😄
 
Ilikuwa hivi:

Kulikuwa na event ya super stars🌟 ktk mji wa Los Angeles,
Wakiwa katikati ya sherehe wakaanzisha mchezo wa kupiga kura kwa watu wenye thamani ktk jamii yao,

Majina yaliyoorodheshwa ni 1.Cast&Crew(wacheza filamu wa Hollywood na washiriki)
2.thamani ya mama ,
3.Lopez
4.MUNGU.

Ktk matokeo ya uchaguzi wao matokeo yalikuwa hivi:
Cast&Crew= kura 11
Thamani ya mama=Kura 3
Lopez =Kura 1
MUNGU=walimpa kura 0,

Msimamizi wa uchaguzi akasema matokeo hayo hayashangazi kwani mji wao ni Godless town,
Walipotoka nje wakatengeneza bango kubwa lenye maandishi "God get out in this city"
kesho yake ndo mji ukaanza kulipuka,
Ukumbuke msitu wa Amazon ulioko Brazil ambao ndio msitu mkubwa zaidi duniani ulipoungua miaka 4 iliyopita ni Marekani ndiyo iliyosaidia kuuzima lkn huu wa kwao umewashinda.
Marekani ndiye baba wa technology ulimwenguni,ukizungumza Helocopter,ndege,kemikali na kila sayansi unaizungumzia Marekani

Sasa hivi wanafyeka mahekta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lakini kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia

Mamia ya ndege na helcopter za zimamoto ziko angani Calfornia zikimwaga kemikali za kuzima moto lkn moto umegoma kuzimika, hakuna matumaini, majumba ya wasanii mabilionea wa Holly Wood yanaangamia

Holly Wood ndiko kuna makazi ya thamani kuliko miji yote ulimwenguni, kidunia Hollywood inatambuliwa kama makao makuu ya uzur wa dunia lkn saa hii panaelekea kuwa jangwa gumu, wafuatiliaji wa sinema za Hollywood mlioko humu jiji lenu/mazingira yenu pendwa ya Hollywood linaangamia,

Ule moto hautozimwa na technology,
Utazimwa na Toba ya makuhani,

Nimeyasema haya ili kutoa tahadhari tujiweke mbali na vikundi vyenye mizaha juu ya MUNGU MKUU, ukiona kiashiria chochote cha mzaha kwa BWANA kemea kwa nguvu, wasipokuelewa kata connection na hicho kikundi hata kama kina maslahi makubwa kiasi gani,

BWANA MUNGU hadhihakiwi!View attachment 3205068
MUNGU noma!!!,,,na bado!!
 
Back
Top Bottom