Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #81
Mwambie awashe generator asee.Huyu mpuuzi umeme umekata amegoma kununua LUKU niko hapa watoto wananichezea masikio eti hawana cha kuchezea wangekua wanaangalia katuni muda huu
Eee elekeza Dua zako huko SasaYule kweli anavutia ata kibamia kinadinda
Sawa lakini wee kwa nini wako asiolewe?Eee elekeza Dua zako huko Sasa
Mkuu naona umekosea kuyaweka sawa hayo maelezo yako.
Hiyo ni Nyama na pilau Sio Pilau nyama.
Mali yangu binafisi mkuuSawa lakini wee kwa nini wako asiolewe?
Sahihi kabisa mkuuHicho ni chakula cha wadada haswa wa chuo, Kwa mimi naitafsiri chipsi kama mboga ya kulia ugali.
Lakini hapo nyama zimezidi hiyo ni Nyama na pilau sio Pilau nyama 😆!Pilau si ndo wanaita wali mchafu mkuu?
Wewe na pilau ni wapi na wapi au mbingu na ardhi.Ukifa halafu ukafufuka na ukakuta Kuna pilau basi akili itakutuma kuwa Leo Kuna sikukuu au sherehe Fulani kubwa.
Ukipiga mahitaji ya pilau na ya wali hakika ongezeko lake halizidi buku2-3 Hivi.
Zaidi ya yote kwenye biblia sijawahi ona kama imeandikwa kuwa kwenye sikukuu pikeni pilau.
Kule Kwa wenzetu wao huita Cha mtume labda imeandikwa Sina hakika.
Leo ni mwaka mpya hapa home Nina madogo karibia Watoto wote wa majirani Huwa wanacheza karibu na nyumba yangu na Leo walikuwa wanatambiana kuwa wamepika pilau na nyama ya kuku mwingine akasema wao pilau na maini kia mtoto alimtambia mwenzake kile kilichopikwa na dhahiri pilau ilitajwa.
Nimejiuliza siku nyingi Kuna ulazima Gani wa pilau kupikwa siku ya sikukuu tu. Pilau Ina maajabu gani Hadi iwe special kiasi hiki?
Wanawake naombeni majawabu maana hata kwangu Kila sikukuu lazima pilau iwepo licha ya kuwa Mimi sio mshabiki wa chakula hiki.
Hata humu jf 96% watu wamekula pilau ama majirani zao wamekula pilau.
Ebu Leo niambieni upekee wa pilau wakuu.
View attachment 3190042
HahhaaaaaaLakini hapo nyama zimezidi hiyo ni Nyama na pilau sio Pilau nyama 😆!
Wacha wivu wa mbususuMali yangu binafisi mkuu
Karibu sanaa kwenye u JF EXPERT MEMBER 😊😊Ukifa mkeo ntamuoa mimi tuone itakuwaje
Huyu mbung'o hana hata solar, ataweza kununua mafuta ya generator kila leo?Mwambie awashe generator asee.
Ni utamaduni tu hata maandiko mengi kwenye Biblia yametokana na utamaduni wa jamii mbalimbaliUkifa halafu ukafufuka na ukakuta Kuna pilau basi akili itakutuma kuwa Leo Kuna sikukuu au sherehe Fulani kubwa.
Ukipiga mahitaji ya pilau na ya wali hakika ongezeko lake halizidi buku2-3 Hivi.
Zaidi ya yote kwenye biblia sijawahi ona kama imeandikwa kuwa kwenye sikukuu pikeni pilau.
Kule Kwa wenzetu wao huita Cha mtume labda imeandikwa Sina hakika.
Leo ni mwaka mpya hapa home Nina madogo karibia Watoto wote wa majirani Huwa wanacheza karibu na nyumba yangu na Leo walikuwa wanatambiana kuwa wamepika pilau na nyama ya kuku mwingine akasema wao pilau na maini kia mtoto alimtambia mwenzake kile kilichopikwa na dhahiri pilau ilitajwa.
Nimejiuliza siku nyingi Kuna ulazima Gani wa pilau kupikwa siku ya sikukuu tu. Pilau Ina maajabu gani Hadi iwe special kiasi hiki?
Wanawake naombeni majawabu maana hata kwangu Kila sikukuu lazima pilau iwepo licha ya kuwa Mimi sio mshabiki wa chakula hiki.
Hata humu jf 96% watu wamekula pilau ama majirani zao wamekula pilau.
Ebu Leo niambieni upekee wa pilau wakuu.
View attachment 3190042
Karibu sanaa kwenye u JF EXPERT MEMBER
Hata kama kulizungusha mbona vyombo vya kulizungushia vipo vizuri tuVyombo vipo tu sisi hatuli kwenye plate mkuu Huwa tunalizungusha 😹😹😹
Sisi wenginee pilau dailyUkifa halafu ukafufuka na ukakuta Kuna pilau basi akili itakutuma kuwa Leo Kuna sikukuu au sherehe Fulani kubwa.
Ukipiga mahitaji ya pilau na ya wali hakika ongezeko lake halizidi buku2-3 Hivi.
Zaidi ya yote kwenye biblia sijawahi ona kama imeandikwa kuwa kwenye sikukuu pikeni pilau.
Kule Kwa wenzetu wao huita Cha mtume labda imeandikwa Sina hakika.
Leo ni mwaka mpya hapa home Nina madogo karibia Watoto wote wa majirani Huwa wanacheza karibu na nyumba yangu na Leo walikuwa wanatambiana kuwa wamepika pilau na nyama ya kuku mwingine akasema wao pilau na maini kia mtoto alimtambia mwenzake kile kilichopikwa na dhahiri pilau ilitajwa.
Nimejiuliza siku nyingi Kuna ulazima Gani wa pilau kupikwa siku ya sikukuu tu. Pilau Ina maajabu gani Hadi iwe special kiasi hiki?
Wanawake naombeni majawabu maana hata kwangu Kila sikukuu lazima pilau iwepo licha ya kuwa Mimi sio mshabiki wa chakula hiki.
Hata humu jf 96% watu wamekula pilau ama majirani zao wamekula pilau.
Ebu Leo niambieni upekee wa pilau wakuu.
View attachment 3190042