Ninaomba kumshauri msanii Diamond Platnumz (Naseeb Abdul) ili aweze kuitangaza vema Wasafi Bet

Ninaomba kumshauri msanii Diamond Platnumz (Naseeb Abdul) ili aweze kuitangaza vema Wasafi Bet

Huna unalojua wewe,

Kuna dogo namfahamu ni WA kawaida kabisa alikutanishwa na Mtoto WA Bakhrresa Mwaka Jana maeneo ya Kijitonyama.

Yule dogo alikuwa na Formula ya kutengeneza juice yake ya kipekee. Akakutanishwa na mtoto WA Bakhrresa (yusuph). Dogo akamtengenezea Ile juice bila kumpa formula, Yusuph bakhrresa akipenda Sana Ile juice.

Ila walikuja kushindwana dogo aliweka masharti mengi Sana watakapoanza KAZI pamoja.


Sasa wewe endelea Kudhani wanaotoa mawazo ni majitu makubwa yenye miguvu na misuli.
Brother, msamehe bure tu huyo
 
Huna unalojua wewe,

Kuna dogo namfahamu ni WA kawaida kabisa alikutanishwa na Mtoto WA Bakhrresa Mwaka Jana maeneo ya Kijitonyama.

Yule dogo alikuwa na Formula ya kutengeneza juice yake ya kipekee. Akakutanishwa na mtoto WA Bakhrresa (yusuph). Dogo akamtengenezea Ile juice bila kumpa formula, Yusuph bakhrresa akipenda Sana Ile juice.

Ila walikuja kushindwana dogo aliweka masharti mengi Sana watakapoanza KAZI pamoja.


Sasa wewe endelea Kudhani wanaotoa mawazo ni majitu makubwa yenye miguvu na misuli.
Sawa mamaa
 
Kuna dogo namfahamu ni WA kawaida kabisa alikutanishwa na Mtoto WA Bakhrresa Mwaka Jana maeneo ya Kijitonyama.

Yule dogo alikuwa na Formula ya kutengeneza juice yake ya kipekee. Akakutanishwa na mtoto WA Bakhrresa (yusuph). Dogo akamtengenezea Ile juice bila kumpa formula, Yusuph bakhrresa akipenda Sana Ile juice.

Ila walikuja kushindwana dogo aliweka masharti mengi Sana watakapoanza KAZI pamoja.
Daaah, hii story imekaa poa sana mkuu
 
Nani wa kutumia kampuni ambazo ODD zake ni HOME DROO WIN hata akifanya marketing vipi hakuna mtu anakwenda kuwekeza sehemu ambapò probability ya kupoteza ni kubwa.
Hii ndio kwanza ninaisikia kutoka kwako mkuu
 
Back
Top Bottom