Ninapitia mitandao ya kijamii hasa mtandao X naona Waarabu wanamaadui Kila pembe ya Dunia. Sababu kubwa ni ipi?

Ninapitia mitandao ya kijamii hasa mtandao X naona Waarabu wanamaadui Kila pembe ya Dunia. Sababu kubwa ni ipi?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Aiseeh!

Hii vita ya Israel Vs Hezbollah na haya mauaji ya safu ya UONGOZI wa Hezbollah ukisoma huko mitandaoni hasa mtandao X na Facebook utagundua Waarabu hawapendwi Dunia nzima.

Sio China, India, Pakistan, Ulaya ndio usiseme, Amerika na hata huku Afrika.

Sijajua tatizo ni nini. Hivi mchina anamaslahi gani na Muarabu na sikumbuki kama historia iliwahi kuwakutanisha,
Muafrika tunaweza kusema labda ni kutokana n biashara za utumw zilizofanywa na Waarabu au Jamii za kiislam akiwepo Mansa Musa aliyevunja rekodi ya kuuza watumwa zaidi ya Laki Mbili.

Swali linakuja, nini kinafanya waarabu wachukiwe?
 
Aiseeh!

Hii vita ya Israel Vs Hezbollah na haya mauaji ya safu ya UONGOZI wa Hezbollah ukisoma huko mitandaoni hasa mtandao X na Facebook utagundua Waarabu hawapendwi Dunia nzima.

Sio China, India, Pakistan, Ulaya ndio usiseme, Amerika na hata huku Afrika.

Sijajua tatizo ni nini. Hivi mchina anamaslahi gani na Muarabu na sikumbuki kama historia iliwahi kuwakutanisha,
Muafrika tunaweza kusema labda ni kutokana n biashara za utumw zilizofanywa na Waarabu au Jamii za kiislam akiwepo Mansa Musa aliyevunja rekodi ya kuuza watumwa zaidi ya Laki Mbili.

Swali linakuja, nini kinafanya waarabu wachukiwe?
Sawa myahudi wa chanika
 
Wakati mwingine nafikiri labda ni wivu na husuda kwa waarabu kwa kuwa wamejaliwa mafuta pia wanazilinda na kuthamini rasilimali mali zao. Wivu upo!!
 
Kwa sababu ya tabia yao mbaya ya ugaidi na kuona dini yao ni bora kuliko wengine
Kakutana na kiboko yao Yahudi
Dunia lazima ifurahi bhana
 
Kwa sababu ya tabia yao mbaya ya ugaidi na kuona dini yao ni bora kuliko wengine
Kakutana na kiboko yao Yahudi
Dunia lazima ifurahi bhana

Lakini sio Waarabu wote.
Wapo wachache ambao ndio wanataka kulazimisha mambo na kutaka Kila mtu afuate mambo yao
 
Aiseeh!

Hii vita ya Israel Vs Hezbollah na haya mauaji ya safu ya UONGOZI wa Hezbollah ukisoma huko mitandaoni hasa mtandao X na Facebook utagundua Waarabu hawapendwi Dunia nzima.

Sio China, India, Pakistan, Ulaya ndio usiseme, Amerika na hata huku Afrika.

Sijajua tatizo ni nini. Hivi mchina anamaslahi gani na Muarabu na sikumbuki kama historia iliwahi kuwakutanisha,
Muafrika tunaweza kusema labda ni kutokana n biashara za utumw zilizofanywa na Waarabu au Jamii za kiislam akiwepo Mansa Musa aliyevunja rekodi ya kuuza watumwa zaidi ya Laki Mbili.

Swali linakuja, nini kinafanya waarabu wachukiwe?
Iran na Urusi,mbona marafiki mkuu na china nk
 
Source yao ni Ismael mtoto wa nje ya ndoa, pia dini yao ipo kichuki chuki tuu ndio maana hawapendwi

Hiyo ya mtoto wa nje sio jambo kubwa sana maana mataifa mengi yanatokana na hao watoto wa nje. Na hayachukiwi
 
Back
Top Bottom