much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Sasa habari za waarabu zinaongeza Nini kwenye meza yako ya chakula hapo chanika?Ndio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa habari za waarabu zinaongeza Nini kwenye meza yako ya chakula hapo chanika?Ndio
Sasa habari za waarabu zinaongeza Nini kwenye meza yako ya chakula hapo chanika?
Ok,Ungesema hapa.
Kuongea uongo ni dalili ya mtu mnafiki.
Nifuatilie kitu ambacho hujasema
Ok,
Official answer ni kwamba maandiko tu yanatimia......ilishasemwa kuwa shetani (mashetani) siku za mwisho atatawala vilivyo Dunia. Ndo inatokea Sasa, anayempinga kiukweli kweli lazima achukiwe kuliko maelezo.
Haiongezi kitu ndo maana nmekuuliza pengine wewe unashiba kupitia mada hiiWewe mada hii ambayo nimeanzisha inaongeza nini kwenye akaunti yako?
Haiongezi kitu ndo maana nmekuuliza pengine wewe unashiba kupitia mada hii
We ni atheist?!!!Dunia Haina mwisho hii Mkuu
Bekham baada ya kutakiwa kuwa balozi ktk kombe la Dunia lililofanyika Qatar, mataifa yote ya Europe ambayo kimsingi ndio walioalalisha na kubariki USHOGA kanisa Angalikana likiwa ndio kinala wa Ushoga duniani, waliungana kumkejeli Bekham kwa nini, anawasariti Mashoga na mataifa yote ya Europe ambao ndio wabariki wa Ushoga ktk makanisa yao na yeye (Bekham) akubali kuwa balozi ktk nchi ambayo inapinga uchafu wa wazungu na wacrist!? (Qatar)Dini zote zinapinga ushoga.
Labda useme Dini ipi haipingi ushoga
We ni atheist?!!!
Bekham baada ya kutakiwa kuwa balozi ktk kombe la Dunia lililofanyika Qatar, mataifa yote ya Europe ambayo kimsingi ndio walioalalisha na kubariki USHOGA kanisa Angalikana likiwa ndio kinala wa Ushoga duniani, waliungana kumkejeli Bekham kwa nini, anawasariti Mashoga na mataifa yote ya Europe ambao ndio wabariki wa Ushoga ktk makanisa yao na yeye (Bekham) akubali kuwa balozi ktk nchi ambayo inapinga uchafu wa wazungu na wacrist!? (Qatar)
NB: Ucrist ndio dini pekee iliyoalalisha USHOGA Duniani.
We ukijui mkuu!!?Kitabu wanachotumia Wakristo kama Muongozo ni kitabu gani?
We ukijui mkuu!!?
Kujieleza kwenyewe tia maji! Bure kabisa.Bekham baada ya kutakiwa kuwa balozi ktk kombe la Dunia lililofanyika Qatar, mataifa yote ya Europe ambayo kimsingi ndio walioalalisha na kubariki USHOGA kanisa Angalikana likiwa ndio kinala wa Ushoga duniani, waliungana kumkejeli Bekham kwa nini, anawasariti Mashoga na mataifa yote ya Europe ambao ndio wabariki wa Ushoga ktk makanisa yao na yeye (Bekham) akubali kuwa balozi ktk nchi ambayo inapinga uchafu wa wazungu na wacrist!? (Qatar)
NB: Ucrist ndio dini pekee iliyoalalisha USHOGA Duniani.
Kipi icho?Hicho kitabu kinaruhusu ushoga?
Kumbe hata RC na Anglican nao wanapinga ushoga nilikuwa sijuiDini zote zinapinga ushoga.
Labda useme Dini ipi haipingi ushoga
Mwambie akuongeze halafu aniletee billKwa sababu WENGI WAO ni magaidi
Nondo ikikuingia lazima utafute chaka.Kujieleza kwenyewe tia maji! Bure kabisa.
Kumbe hata RC na Anglican nao wanapinga ushoga nilikuwa sijui
Kipi icho?