Ninapitia mitandao ya kijamii hasa mtandao X naona Waarabu wanamaadui Kila pembe ya Dunia. Sababu kubwa ni ipi?

Ninapitia mitandao ya kijamii hasa mtandao X naona Waarabu wanamaadui Kila pembe ya Dunia. Sababu kubwa ni ipi?

Wakati mwingine nafikiri labda ni wivu na husuda kwa waarabu kwa kuwa wamejaliwa mafuta pia wanazilinda na kuthamini rasilimali mali zao. Wivu upo!!
Zaidi ya Iran ambayo kwa asili Iran sio Waarabu; nitajie taifa lingine la Kiarabu ambalo mafuta yao hayana mikono ya western countries? Hata hiyo Iran yenyewe bado kuna wazee wa Magogu, yaani Russia
 
Sema nini; wabongo wengi tuna uelewa mdogo sana wa mambo mbalimbali, yaani karibu kila kitu ni ushabiki na upuuzi tu, hivi kabisa unaweza kutamka mbele za watu kwamba Ukristo unaruhusu ushoga? Biblia ina nukuu nyingi sana za kuupinga ushoga, imeeleza sana madhara ya ushoga na hata Mungu alivowahi kuadhibu maeneo yenye ushoga mwingi. Watu wakisikiaga story za kwenye vijiwe vya kahawa then wanadhani wana jua. Labda niulize; Biblia umesoma vitabu vingapi na Quran umesoma hadi juzuu ya ngapi? Let me know bro if you don't care
Bekham baada ya kutakiwa kuwa balozi ktk kombe la Dunia lililofanyika Qatar, mataifa yote ya Europe ambayo kimsingi ndio walioalalisha na kubariki USHOGA kanisa Angalikana likiwa ndio kinala wa Ushoga duniani, waliungana kumkejeli Bekham kwa nini, anawasariti Mashoga na mataifa yote ya Europe ambao ndio wabariki wa Ushoga ktk makanisa yao na yeye (Bekham) akubali kuwa balozi ktk nchi ambayo inapinga uchafu wa wazungu na wacrist!? (Qatar)
NB: Ucrist ndio dini pekee iliyoalalisha USHOGA Duniani.
 
Hakuna urafiki baina ya Mzungu na Muiran.
Mrusi anamnafikia Muiran tuu.
Mchina ndio Kabisa.

Mchina hawezi kuweka Alliance na Muarabu
Iran sio muarabu.

Unaandika unacho kijua au nawe ni wahindi na wazungu wenye misimamo ya ajabu waliopo X[ twitter] walio na chuki na uislamu ?
 
Sema nini; wabongo wengi tuna uelewa mdogo sana wa mambo mbalimbali, yaani karibu kila kitu ni ushabiki na upuuzi tu, hivi kabisa unaweza kutamka mbele za watu kwamba Ukristo unaruhusu ushoga? Biblia ina nukuu nyingi sana za kuupinga ushoga, imeeleza sana madhara ya ushoga na hata Mungu alivowahi kuadhibu maeneo yenye ushoga mwingi. Watu wakisikiaga story za kwenye vijiwe vya kahawa then wanadhani wana jua. Labda niulize; Biblia umesoma vitabu vingapi na Quran umesoma hadi juzuu ya ngapi? Let me know bro if you don't care
Unaonekana wazi kuwa umeamua kuchagua upande, uliaza vzr lkn ukamalizia vibaya kwa kuwela ushabiki pia ndugu.
 
Mtu ni mtu kuna mbaya na mzuri lakini waarabu pia wana madhaifu yao lakini sisi tumeunganishwa nao na dini tu kwakweli katika kitu kikubwa wametulithisha ni dini nawapa kongole
 
sio waarabu wanachukiwa wanaochukiwa ni magaidi na wafuasi wao wapo waarabu wakristo na wa persia hata waisalamu wengine hawana ayo mambo kama Saudi Arabia haungani kabisa na makundi ya hezbollah au hamas.
Nataka kujua kwa nini waarabu wanachukiwa Duniani huko Twitter (X) kumechafuka.
Dhihaka, kejeli na Lugha mbaya kwa waarabu na waislam zimetawala.

Kwa nini hivi?
 
Back
Top Bottom