Ninapitia mitandao ya kijamii hasa mtandao X naona Waarabu wanamaadui Kila pembe ya Dunia. Sababu kubwa ni ipi?

Dini zote zinapinga ushoga.
Labda useme Dini ipi haipingi ushoga
Bekham baada ya kutakiwa kuwa balozi ktk kombe la Dunia lililofanyika Qatar, mataifa yote ya Europe ambayo kimsingi ndio walioalalisha na kubariki USHOGA kanisa Angalikana likiwa ndio kinala wa Ushoga duniani, waliungana kumkejeli Bekham kwa nini, anawasariti Mashoga na mataifa yote ya Europe ambao ndio wabariki wa Ushoga ktk makanisa yao na yeye (Bekham) akubali kuwa balozi ktk nchi ambayo inapinga uchafu wa wazungu na wacrist!? (Qatar)
NB: Ucrist ndio dini pekee iliyoalalisha USHOGA Duniani.
 

Kitabu wanachotumia Wakristo kama Muongozo ni kitabu gani?
 
Mwanzo 16:11 Malaika wa Bwana akwambia Hajiri, tazama, wewe una mimba, utazaa mtoto wa kiume, utamwita jina lake Ishmael, nae atakuwa Kama PUNDA MWITU KATI YA WATU WOTE, mkono wake utakuwa juu ya watu na mikono ya watu wote itakuwa juu yake, naye atakaa mbele ya ndugu zake wote
 
Kujieleza kwenyewe tia maji! Bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…