Ninaposema msilipe mamilioni kuwasomesha watoto wenu English Medium huwa namaanisha mambo kama haya

What is power?
 
Kwa mawazo yako Daktari anatakiwa afanye vitu gan Extra ili aonekane anamsaada katika jamii.
 
Ndio nimeuliza kwanini watu waone hakuna tofauti kubwa ikiwa hayo unayoeleza yapo kwenye uhalisia?
Khalid Bakhresa- Azam ice cream
Gwamaka kifukwe
Sho madjozi
Mohamed dewji
Usman ally
Walter kitundu
Saurabin ketrapal

Benjamin fernandes CEO NALA Kasoma HOPAC, havard na stanford.
Magdalena muogeleaji olympic

Huko kwenye mashirika ya UNICEF, UNESCO, na mengine ndio wapo kibao.

Pointi ni serikali iangalie namna ya kuboresha elimu tuendane na kasi na kuweza kushidana katika soko la ajira la dunia.
Huwezi kubattle na mtoto aliyetoka Feza int huwezi hata kidogo sababu wana exposure kubwa.
Wapo wengi sana
 
🤣🤣🤣
Nimemsikiliza muulize mpaka leo kapasua wangapi?
Kwanini Hajajifunza Kupasua!
Au kuwa Daktari?

Amewahi kuokoa Nani hata kwa bahati mbaya?

If Its were easy every one would be a Doctor Because its the best Job in the World, Despite everything!
Your browser is not able to display this video.


CC: BICHWA KOMWE -
 
Kukariri aina za magonjwa then kwanini hachanganyi magonjwa?
Duniani kuna magonjwa Zaidi ya 10,000 na yote anayajua!...
So anakariri au Anaelewa magonjwa?
 
Kukariri aina za magonjwa then kwanini hachanganyi magonjwa?
Duniani kuna magonjwa Zaidi ya 10,000 na yote anayajua!...
So anakariri au Anaelewa magonjwa?
Dokta samaleko.

Nyie mnakariri mtaala, ndio maana hamuwezi kuponya kansa hadi leo mnawabanika watu kwenye tanuru la mionzi kwa kuwa tu mmeelekezwa kufanya hivyo na Ummy Mwalimu.

Huu ni udokta uchwara.
 
Dokta tuache masihara, tuseme tu ukweli, ukitaka kupasua mtu unahitaji zana kuu mbili basi: KISU na MKASI.

Hata teja ukimfundisha HUMAN ANATOMY anaweza kupasua manyama na kuyashona.

Unadunga limrija la kuongezea damu, unamtia ganzi unaanza kucharanga manyama ndani manyama nje.

Kiukweli hii ni rahisi sana. Ni vile tu mmejivika utukufu ili kuwahadaa wananchi waendelee kubugia madonge yenu yenye sumu.

Samaleko!
 
Hiyo cha mtoto unalipa Feza school milioni 7 kila mwaka kuanzia form 1 hadi form 6.

Akimaliza Degree ICT udism anakuja kutembeza Bahasha Kazi ya Laki Saba kwa mwezi.

Elimu ni nzuri lakini kama wewe ni maskini anayehangaika kwa jasho kutafuta pesa usiige

Mapedejee mafisadi wanaoiba pesa za serikali na kusomesha watoto kwa pesa ndefu kama wale aliosema Kigwangala Juzi.
 
Abigail Chams kasoma Hopac now anakata viuno tu jukwaani.

Wema Sepetu kasoma Academy
 
Exactly mkuu 100% right
 
Exactly mkuu 100% right
Niliwahi kufanya kazi na mtoto wa kigogo kasomea Nje ya Nchi kwa Hundreds of milions........hiyo pesa tuliokuwa tunalipwa sasa nikajisemea huyu jamaa kaenda kusomea ujinga( in Faiza' s voice)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…