Ninatamani sana niwepo kwenye kikosi kazi cha CCM cha kuhakikisha na kufanikisha ushindi wa Dkt. Samia 2025

Ninatamani sana niwepo kwenye kikosi kazi cha CCM cha kuhakikisha na kufanikisha ushindi wa Dkt. Samia 2025

Baada ya kero kutatuliwa inabidi watu waambiwe serikali ya CCM imefanya moja mbili tatu ili kuepusha upotoshaji.

Huwa tuna kawaida ya kusahau haraka tunayofanyiwa kwa kufikiri sio wajibu wetu kukumbuka. Kazi yangu ni kuhakikisha nawakumbusha kama ulivyokuwa wajibu wetu kufanya.

Kuna wenye mtazamo hasi siku zote na huwezi kumridhisha kila mtu ndio maana kwa yale yaliyofanywa nitayapambania myajue

..100%.

..kunatakiwa kuwe na rekodi nzuri ya kuitetea.

..kwanza, Ccm itatue kero. Na hiki ndio kipindi cha kutatua kero.

..pili, wakati wa uchaguzi Ccm waeleze tumetatua a,b,c. Na mkitupa tena Ccm itafanya d, e,f.
 
..100%.

..kunatakiwa kuwe na rekodi nzuri ya kuitetea.

..kwanza, Ccm itatue kero. Na hiki ndio kipindi cha kutatua kero.

..pili, wakati wa uchaguzi Ccm waeleze tumetatua a,b,c. Na mkitupa tena Ccm itafanya d, e,f.
Na ndio maana nimesema natamani sananiwepo kikosi kazi Cha 2025 Cha kuhakikisha Dkt. Samia anashinda kwa sababu kazi anayoifanya ni nzuri na ya kukumbukwa
 
Nina njia ile ambayo Biblia inasema"Nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika"
Soma alama za nyakati. Hii mbinu uliyotumia kutaka teuzi ni ya ovyo. Hata wakuu wa CCM huwa hawapendezwi na huu ujinga ulioandika. Msapoti mama bila kutanguliza njaa. Kazi ikionekana utateuliwa.
 
Na ndio maana nimesema natamani sananiwepo kikosi kazi Cha 2025 Cha kuhakikisha Dkt.Samia anashinda kwa sababu kazi anayoifanya ni nzuri na ya kukumbukwa

..akifanya zaidi ya anavyofanya sasa hivi kazi ya kumpigia kampeni itakuwa rahisi.

..ungejielekeza kuhakikisha CHAMA kinashinda na sio " Samia anashinda. "

..mkimtukuza na kumuabudu sana Samia mtakiathiri chama chenu.
 
Soma alama za nyakati. Hii mbinu uliyotumia kutaka teuzi ni ya ovyo. Hata wakuu wa CCM huwa hawapendezwi na huu ujinga ulioandika. Msapoti mama bila kutanguliza njaa. Kazi ikionekana utateuliwa.
Narudia tena CCM kwangu ni kila kitu na ili nihakikishe inasalia madarakani sina budi kuwasapoti viongozi wake wakuu na hilo nalifanya kila siku. Pia, kutaka kuwepo kwenye kikosi sio tamaa wala njaa ila ni kuonesha nia na dhamira njema uliyonayo ya kukisaidia Chama au serikali kwa ukaribu zaidi
 
..akifanya zaidi ya anavyofanya sasa hivi kazi ya kumpigia kampeni itakuwa rahisi.

..ungejielekeza kuhakikisha CHAMA kinashinda na sio " Samia anashinda. "

..mkimtukuza na kumuabudu sana Samia mtakiathiri chama chenu.
CCM haiwezi kushinda bila Dkt.Samia na hili ni lazima tukubaliane nalo. Kwa kuwa 2025 Dkt.Samia ndio atakuwa mgombea pekee (kwa tamaduni ,desturi na taratibu za CCM) basi Chama na wanachama hawana budi kuhakikisha ushindi kwake.
 
Nimejitoa kukitumikia Chama Cha Mapinduzi kwa moyo na nguvu zangu zote. Ni muumini wa siasa za CCM na ninaamini bila CCM hakuna siasa safi wala viongozi bora na kwa mantiki hii nitajitoa kuhakikisha kinasalia madarakani.

Baada ya siku ya leo kutenguliwa kwa zuio la kutofanya mikutano ya hadhara basi nami najitoa rasmi kwa harakati ngumu za kumtengenezea ushindi wa kishindo Dkt. Samia na naamini atashinda.

Katika kufanikisha hili natambua haitakuwa kazi rahisi lakini ni kitu ambacho nitajitoa kuhakikisha linafanikiwa kwa sababu mpaka sasa kwa sifa na uwezo mkubwa wa kisiasa na kiuongozi alionao Dkt.Samia ushindi wake utakuwa laini sana. Wasionielewa wasubiri 2025 watanielewa.

Siku zote nitakuwa mstari wa mbele kuhakikisha nakuwa chachu ya CCM na Mwenyekiti wa CCM kukubalika. Halitakuwa Jambo rahisi lakini penye nia pana njia.

Kutenguliwa agizo la kutoruhusu mikuta ya hadhara kunaweza kukaleta athari za moja kwa moja kwa CCM au Mwenyekiti wa CCM hususani kueneza siasa za chuki kwamba serikali ya CCM haijafanya kitu kwa baadhi ya watu au kutumia hoja ya mikopo kama fimbo ya kuichapa CCM lakini hayo yote nimeyaangalia kwa undani na nimeona ninayamudu kuyaelezea kwa hoja za ushindani wa kisiasa.

Hoja zote zitajibiwa kwa hoja na vihoja kwa vihoja. Nitahakikisha taswira njema ya Dkt.Samia kuelekea 2025 inachorwa na haifutiki.

Hivyo basi kwa kutambua uwezo mkubwa na sifa njema alizonazo Dkt.Samia ninatamani niwe mmojawapo wa wataokaofanikisha safari hii ngumu na nzito kwa Dkt.Samia kuelekea 2025. Mpaka sasa ana asilimia kubwa ya kuweka historia kubwa ya ushindi , kwa picha na michoro nilichora ya kufanikisha ushindi wake, naamini itafanikiwa.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi
Ni Mimi muumini kindakindaki wa sera, Imani na siasa za CCM. Napatikana kupitia :0785 655 580
Another chawa in town.
 
Back
Top Bottom