Ninavutiwa Sana na Utulivu na Umakini wa Rais Samia Kiuongozi

Je unajua kwamba Rais ni taasisi
 
Ndg yangu umeandika mengi sana ,niseme MIMI PIA NIMEVUTIWA NA NAVUTIWA NA DR SAMIA .
 
Basi usilie! Kwani lucas nwenyewe anasemaje
Mimi nasema kuwa kwako nimenasa kila kitu pamoja na mashati yangu ya kijani ya CCM.kwako nimefika nakutua ephen .kama wewe ungekuwa ni mtego basi nasema kuwa umeninasa shingoni huku mikono nayo ikiwa imebanwa na mtego na siwezi kujitoa. ephen ephen umebeba moyo wangu na kuunyakua kama mwewe anyakuavyo kifaranga.
 
Kuanzia sasa sitosikiliza majungu ya min -me
 
Kazi iendelee 💃💃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…