Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Ninavyomjua Nakadori humu MMU

1. Kwenye maisha yangu huwa sina Majuto kwa kuwa maamuzi yote ninayofanya nj kwa ajili ya furaha yangu.

2. Kumuuguza mama yangu tangu nikiwa first year hadi anafariki ndo jambo ambalo sijutii maisha. Alipata nafuu nzuri akaja kufa kwa ishu nyingine.... Na mama angu japo amepumzika lakini alikuwa ananiona namjali na kumpenda sana. Alijenga imani kiasi kwamba alikuwa haambiwi kitu kuhusu mimi.

3. Nahisi wapo maana kuna muda unakutana na ID inakutukana kama inakujua vile hadi najikuta nashangaa
It is true kabisa
Always the beauty of life grows through your personality.
Pole kwa kifo cha Mpendwa Mama yetu, Mungu amuweke mahali pema peponi, One Day You will meet her in Paradise
 
Precious Baby

Ni kitu gani ulishawahi kufanya na unajutia.. unatamani urudishe nyakati nyuma ukiepuke.

Kitu gani ulishawahi kufanya kikawa na matokeo chanya.. yakakufurahisha na yakamfurahisha uliyemfanyia.

Katika hao members walioshia flirt stage.. hajatokea adui? Sbb tu ulimnyima 🍏


Nikiwa na mengine nitaendelea..
.....umeuliza maswali mazuri kama vile journalist tena wale investigative...good thou...
 
Nakie,
Unawezaje kuendelea kuwa humble hata kwa watu wanaokukwaza na kauli zao za kuudhi.?? Hili naomba anijibu na To yeye hivi mnawezaje..??
Kuwa na positive mindset muda wote na kuchukulia kila mtu kwa namna alivyo.
Usikubali mtu mbaya alibadilishe personality yako.
Lakini pia ulimi wa mwanamke unapaswa uwe soft na sio wa matusi na kupanic ovyo
images (27).jpeg
 
Nakadori enjoy bhana , Hakuna Matata na Timon na Kimba hapo 😂 😂 😂 😂
 
1. Kwenye maisha yangu huwa sina Majuto kwa kuwa maamuzi yote ninayofanya nj kwa ajili ya furaha yangu.

2. Kumuuguza mama yangu tangu nikiwa first year hadi anafariki ndo jambo ambalo sijutii maisha. Alipata nafuu nzuri akaja kufa kwa ishu nyingine.... Na mama angu japo amepumzika lakini alikuwa ananiona namjali na kumpenda sana. Alijenga imani kiasi kwamba alikuwa haambiwi kitu kuhusu mimi.

3. Nahisi wapo maana kuna muda unakutana na ID inakutukana kama inakujua vile hadi najikuta nashangaa
1. Congrats for that.

2. Hongera sana aisee ❤️ ni raha sana kurecognize true love from our Bloved.
Mwanga wa milele uendelee kumwangazia mama Dori.
Naimani mbegu ya upendo uliyojijengea nawe utaijenga na kuitumia kwa walio karibu nawe.

3. Hao watu hawajawahi kukosekana.. em waambie kitu? Unawashauri nini? Waseme kidogo in a positive way.
 
1. Congrats for that.

2. Hongera sana aisee ❤️ ni raha sana kurecognize true love from our Bloved.
Mwanga wa milele uendelee kumwangazia mama Dori.
Naimani mbegu ya upendo uliyojijengea nawe utaijenga na kuitumia kwa walio karibu nawe.

3. Hao watu hawajawahi kukosekana.. em waambie kitu? Unawashauri nini? Waseme kidogo in a positive way.
1. Asante love 😍
2. Apumzike kwa amani mama yangu mpendwa...najifunza ila yeye alikuwa na upendo sana sidhan kama nitaweza kumfikia.
3. Ujumbe wangu kwao wapambane na hali zao.
 
Back
Top Bottom