Ninavyowafahamu wateule wapya wa Rais Samia kwa historia yao ya nyuma na uhusiano wao na viongozi wa leo

Pamoja sana ndugu. Kazi iendelee!
 
Ukisha dhibiti bunge hata nabii tito unawaza mpa uwaziri na akaonekana genius
 
Reactions: Qwy
Hasa USA hilo huwa ni la muhimu sana.
 
Uchambuzi wako
Uchambuzi wako hupo deep sana.Umenifanya nitoe machozi.Na nione kuwa ,Tanzania hatuwezi kusonga mbele.Mama ameishiwa tayari.Ambao walishawahi kuwa mawaziri na kufeli ,wanarudishwa.Je, nn kiliwaondoa na nn kimewarudisha?Je, katika watanzania million 60 hakuna wengine?Je,January Makamba ana kitu gani cha maana mpaka arudishwe kuwa waziri?Je,Prof Makame ana nn cha maana mpaka arudishwe kuwa waziri?Tanzania tupo kwenye break even point .CCM imechoka kabisa .Wapinzani pia wamechoka kabisa.Tutafute watu tofauti waunde vyama ili tuwaondoe CCM .Mama alitupa matumaini mwanzoni kuwa mtanzania yeyote anaweza kupata nafasi serikalini.Lakini naona ,mama amechoka.Hana jipya.
 
Tukifanikiwa kuandika Katiba mpya na bora kwa kila mtu tutafika mahali tutajishangaa na kujiuliza tulichelewa kwa nini?
 
JPM alijaribu kuharibu hizi circle za madaraka kwa kuleta walau akili mpya lakini sasa tunarudishwa mule mule tena kwa lazima.

Ina maana hii nchi hakuna brain nyingine za kuongoza hadi turudie makosa haya haya kila mwaka?
Magufuli[emoji15]???hakukuwa na rais mule,ule ulikuwa mzigo ambao taifa hili lisingeuweza kuubeba,usiombe uwe na raisi fisadikteta utaimba haleluya.
 
January Makamba miongoni mwa wanasiasa wenye IQ kubwa ndo maana sikushangaa kuwa na urafiki mkubwa na Ruge RIP kwani ndege wafananao huruka pamoja sitoshangaa akija kuwa rais wetu hapo badae
January Makamba ni hana huo uwezo unaosema chief anatembelea nyota tu tangu enzi ...
 
System imeshakufa mtu anampangia njama Rais kipindi u makamu leo unamrudisha unataka tuseme ulikua kwenye NJAMA ... vetting gani mtu kama MAKAMBA ANAWEZA PITA KAMA sio Tz na UGANDA tu dunia nzima.
 
Nyie watu mnaotaka system ifumuliwe, mnataka nani atuongoze? Mbowe?
 
CCM ni powerful kuliko yeyote, Kama Lowasa na Rostam waliishindwa hamna yeyote anaweza kupambana nayo siku za karibuni
 
Mimi nawaonea huruma wakina mabeyo wanawapigia saluti wakina mama tu!

Halafu karibu wizara zote muhimu zipo chini ya wakina mama!
 
---tutapigwa hadi nchi ichakae----
 
Hakuna mtu aliharibu hii nchi kama yeye. Alifanya upendeleo wa waziwazi hasa wa ukanda wake. Ndio maana aliweza kuharibu chaguzi zote za nchi hii, ili aweke watu anaowataka yeye. Usitegemee chochote kwa rais jizi la kura, na mtu muovu kama yeye.
Na akitaka kulifahamu Hilo vizuri,,, afuatilie idadi ya wasukuma kwenye system,,, utanikumbuka
 
Sioni shida makamba kurudi kwny baraza.

Hata jpm alianza nae.
shida haipo.

Hata simbachawene au mwigulu walianza kwny awamu ya tano wakaondolewa,
lakini badae walirudi.

Waziri muhongo alilazimishwa kujiuzulu awamu ya 4.

Awamu ya 5 ikamrejesha.baadae kamati ikapendekeza ajiuzulu.
 
Na akitaka kulifahamu Hilo vizuri,,, afuatilie idadi ya wasukuma kwenye system,,, utanikumbuka
kwahyo akiteuliwa msukuma na msukuma mwenzie ni ukabila.

Mbona samia kamteua mbarawa mpemba mwenzie napo tuseme ni unyumbani.

Samia kamteau AG mpya feleshi msukuma.
huo huiti ukabila
 
Sasa mkuu kwa CCM unazan Nani Ana afadhali maana wote wezi tu, Sasa imagine ndo wamebaki akina Babu tale na kibajaj
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…