Ninavyowafahamu wateule wapya wa Rais Samia kwa historia yao ya nyuma na uhusiano wao na viongozi wa leo

Umeandika
 
January Makamba miongoni mwa wanasiasa wenye IQ kubwa ndo maana sikushangaa kuwa na urafiki mkubwa na Ruge RIP kwani ndege wafananao huruka pamoja sitoshangaa akija kuwa rais wetu hapo badae
Akili yako ya mwisho bure kama alivyo mtupu Makamba
 
Magufuli[emoji15]???hakukuwa na rais mule,ule ulikuwa mzigo ambao taifa hili lisingeuweza kuubeba,usiombe uwe na raisi fisadikteta utaimba haleluya.
Aidha unaumwa au ni hater tu
 
Watu mna chuki sana na January Makamba.

Hivi ndani ya CCM nani aliye msafi?
 
Mimi nilikuwa najua hii PhD ni ya Bukoba
 
Nafikiri una ndoto za mchana aisee! Eti tutafute wapinzani wengine!! Wanasiasa wa kweli uzaliwa....! Wewe umeshindwa nini mpaka uwatafute wengine? Kuwa miongoni mwa waleta mabadiliko unayotaka yatokee!
 
Mimi nawaonea huruma wakina mabeyo wanawapigia saluti wakina mama tu!

Halafu karibu wizara zote muhimu zipo chini ya wakina mama!
Tatizo sio kuwapigia saluti akina Mama, bali ni mwanamke gani aliye ndani ya ile gauni/sketi/suruali/ n.k
Hayo ndio Maneno ya Robert Gabriel Mugabe kuhusu hiyo 50/50 au kwa kiswahili rahisi usawa wa kijinsia
 
JANUARY MAKAMBA alishaingizwa kwenye system na kuonekana ni Mpiga dili, bado anarudishwa tena.

Ataenda kuiba pesa nyingi ili aje kugombea Urais kama ilivyo ndoto yake
 
JPM alijaribu kuharibu hizi circle za madaraka kwa kuleta walau akili mpya lakini sasa tunarudishwa mule mule tena kwa lazima.

Ina maana hii nchi hakuna brain nyingine za kuongoza hadi turudie makosa haya haya kila mwaka?
Uongo mtupu
 
Katiba mpya
 
Magufuli[emoji15]???hakukuwa na rais mule,ule ulikuwa mzigo ambao taifa hili lisingeuweza kuubeba,usiombe uwe na raisi fisadikteta utaimba haleluya.
Utakuwa ulitumbuliwa au ni fisadi mwizi mlarushwa ukakomeshwa. Magufuli ni kipenzi cha wanyonge majority na si ww. Historia itamkumbuka mwana mwema wa afrika. Watoto wako watamsoma hatua kwa hatua. Kipi alichofanya na si propaganda. Mwisho umati uliomzika na ideology iliyokaa ndani ya mioyo ya wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…