ππππdepal bhanaHatuna mchangooo
Tutajwe sekta gani sasa? ππππ
Kuna mtu pahali wewe ulikuwa baraka kwake,, atakushukuru subiria usiwe na haraka ππππ
Mimi wabarikiwe wote walionipa kicheko mwaka huu, mkaoleweee ππ maana najua wote mko singo.
Siwatag my zangu ila mtapita.
Na hilo ndilo baya maana watu wanajaribu kutengeneza mazingira ionekane kila single mama hupasha kiporo na wazazi wenzao.hapana sio wote.Inaonekana hili suala ni kawaida kwa singo mamaπ
Ukweli mtupu BS.Binadamu mwema utamjua tu
Kushukuru ni moja ya Ibada
Asie shukuru hana Imani
Omba sana na saidia kadiri unavyoweza bila kuangalia unamsaidia nani
Asante sana mkuu..Hongera kwa ku appreciate watu.
Mm Nina mama x mkwe wangu kama sintamshukuru mungu atanilaani mno she s always there jaman.
Bado broo na sister hawa nao kiboko
ππ¨Naungana na wewe mtoa madaView attachment 2441935
Nilimezwa na pale katikati[emoji1]Nafarijika..
Ni nzuri sana..ulipotea hapo katikati..nini shida
AMINAUmbea ni muhimu Kwa afya ya mwanadamu [emoji3][emoji3]Kwa Mungu hakuna pungufu.ni yeye yule jana leo Kesho na hata milele
Fanya umzalishe Mama J sasa mkuu..atakuja kukushukuru baadae hapa jamviniUmemsahau na D (mwanaume pia)[emoji4]
ππkichwa chako kibovu..Nilimezwa na pale katikati[emoji1]
Lamadi siku hizi hupiti mpendwa wangu katika bwana
Ohoo okay.nimeandika lakini aijuaye nafsini mwangu anajua sijamwita mwanadamu na sijamfananisha na mwanadamu.Unakufuru Sana kumweka Mungu Katika list ya watu unaowashukuru.
Mungu sio " mtu/ mwanadamu" jamani.
Usiwe kama Mama J chakorii πHuyo na mama J wake hawatokuja kuachana aise
Ame, ameee amenHatuna mchangooo
Tutajwe sekta gani sasa? ππππ
Kuna mtu pahali wewe ulikuwa baraka kwake,, atakushukuru subiria usiwe na haraka ππππ
Mimi wabarikiwe wote walionipa kicheko mwaka huu, mkaoleweee ππ maana najua wote mko singo.
Siwatag my zangu ila mtapita.