Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
- Thread starter
- #81
Nitakujulisha aisee nataka vijana niwachape soup ya samaki akili ziwakae saw😁Usisite kunambia ili ukute nimekuandalia samaki wengi na wa kutosha na usipete usumbufu wa kununua samaki kwenye madirisha ya gari/basi
Au utakuwa na ile gari yako pendwa?
Bwana bwana ile gari inanivuruga akili kishenzy.
Hivi huwezi kunifanyia sapraizi ya ile gari siku yangu ya kuzaliwa kweli 😀😀