Ameeeeen amen amenHatuna mchangooo
Tutajwe sekta gani sasa? ππππ
Kuna mtu pahali wewe ulikuwa baraka kwake,, atakushukuru subiria usiwe na haraka ππππ
Mimi wabarikiwe wote walionipa kicheko mwaka huu, mkaoleweee ππ maana najua wote mko singo.
Siwatag my zangu ila mtapita.
π π π π udugu pambeMy lovely hawa niliowaelezea hapa wako kwenye levo za unduguππ
Sina maswali mkuu,Ninajua unamaswali..karibu ERon.[emoji2][emoji2]kama nitaweza kukujibu basi nitafanya hivyo
Nakumbuka sana ukarimu wako na Mungu atakupa na kukuongezea kila unachotoaUkweli mtupu BS.
Bado ndoto ya kusaidia watu ipo ndani yangu sijaisahau.
Ninajua thamani ya kutokuwa nacho na akajitokeza msamaria kutoa msaada.
Habari ya huko ulipo BS.
Padri?Binafsi nawashukuru hawa.
1. Mungu.
2. Padre
3.My family.
4. Jf.
Wala usiwe na wasiwasi dada yangu, maisha yetu yapo nje ya uwezo wetu, kuna ambaye ndie alie juu ya wote, juu ya yote na juu ya vyote.Asante sana daddy ..watu wema bado wapo ingawa ukiwaona Kwa macho huwezi kiwajua Mpaka upate kukaa nao Kwa ukaribu.
Sijui kwanini lakini nimeingiwa na wasiwasi ujue.
Ninategemea kusafiri keshokutwa naomba uniombee SYB nami pia ninajiombea.
Wewe ni mtu wa pili unaniambia nikae sana kwenye maombi[emoji852][emoji19]
Hakika Utauingia mwaka 2023 Ukiwa imara na mwenye nguvu kuliko huu 2022,hakuna baya litakugusa Wala kukupata.Asante sana daddy ..watu wema bado wapo ingawa ukiwaona Kwa macho huwezi kiwajua Mpaka upate kukaa nao Kwa ukaribu.
Sijui kwanini lakini nimeingiwa na wasiwasi ujue.
Ninategemea kusafiri keshokutwa naomba uniombee SYB nami pia ninajiombea.
Wewe ni mtu wa pili unaniambia nikae sana kwenye maombi[emoji852][emoji19]
Usisite kunambia ili ukute nimekuandalia samaki wengi na wa kutosha na usipete usumbufu wa kununua samaki kwenye madirisha ya gari/basi[emoji2][emoji2]kichwa chako kibovu..
Ninapita sana tuβ¦nitaangalia ratiba yangu itakaaje(nitasafiri siku za hivi karibuni)ili nishuke lamadi ninunue samaki.kuna samaki wengi sna pale.
Chakorii ni mtu bora Sana. Siku akiwa rafiki yako,nakuahidi utakuwa umepata rafiki bora maishani.Ukiondoa ile uandishi wa kihuni ( kimjini mjini)...unaonekana una roho nzuri na appreciate kila lililo jema, na unawapendea watu wapate yale yaliyo mema ...mpaka hapo tu utabarikiwa sana!
Kingine huna mambo ya kimama mama I wish uwe rafiki yangu
Cheers [emoji1635]
Hakika anko dereva.Mungu ana mizungu mingi, hutenda kupitia watu anaowaleta yeye mwenyewe...
Ni kweli mkuu..Ukiwa na uwezo wa kujicheka huwezi ishiwa vya kukuchekesha
Ni ngumu sana mtu kukaa na kuhesabu mema na wema waliomzunguka na kuwatakia Kila la kher
Watu waina yako mnakuwa na furaha muda mwingi
Hope everything is fine, all the best