Nitakujulisha aisee nataka vijana niwachape soup ya samaki akili ziwakae saw😁Usisite kunambia ili ukute nimekuandalia samaki wengi na wa kutosha na usipete usumbufu wa kununua samaki kwenye madirisha ya gari/basi
Au utakuwa na ile gari yako pendwa?
Ohooo…SH hii comment imenitirirsha chozi.au sijui ni wenge langu😀😀😀Chakorii ni mtu bora Sana. Siku akiwa rafiki yako,nakuahidi utakuwa umepata rafiki bora maishani.
Unenifurahisha sana vile umesema ana uandishi wa kihuni!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Ohooo…SH hii comment imenitirirsha chozi.au sijui ni wenge langu😀😀😀Chakorii ni mtu bora Sana. Siku akiwa rafiki yako,nakuahidi utakuwa umepata rafiki bora maishani.
Unenifurahisha sana vile umesema ana uandishi wa kihuni!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
"Kizazi Sana". 😅Ohooo…SH hii comment imenitirirsha chozi.au sijui ni wenge langu😀😀😀
Kweli kaundishi ka kihuni kapo huwa kama kuja na kukata😀kuna wakati nikisoma comments zangu mwenyewe ninajishangaa😅😅
Ila ndio hivyo SH kizazi sana💃💃
Amen BS.Nakumbuka sana ukarimu wako na Mungu atakupa na kukuongezea kila unachotoa
Mimi huku namshukuru Mungu
Naamini hata ukiweka Nia tu ni thawabu
Tuko pamoja sana
Yatakuwa magumu kujibu, sisi wengine huwa tunauliza tu. Ila kwa vile ni siku ya kuwakubali watu wako, hayo tuyaweke pembeni kwa leo my dear!Asante ERoni my dear…ingawa nahisi kuna maswali unayo
Nashukuru sana Witnessj…Ukiondoa ile uandishi wa kihuni ( kimjini mjini)...unaonekana una roho nzuri na appreciate kila lililo jema, na unawapendea watu wapate yale yaliyo mema ...mpaka hapo tu utabarikiwa sana!
Kingine huna mambo ya kimama mama I wish uwe rafiki yangu
Cheers [emoji1635]
Asante P my dearWala usiwe na wasiwasi dada yangu, maisha yetu yapo nje ya uwezo wetu, kuna ambaye ndie alie juu ya wote, juu ya yote na juu ya vyote.
Anajua kesho yetu na kila kitu kutuhusu, usifikirie negative yoyote kutoka kwa mtu yoyote iwe kwa kusema au kuandika, neno huwa lina kata kwa makali kuliko chombo chochote chenye makali ndio maana tuna sawa sana kuwa wakimya, lakini kumbuka kwenye maandiko ya Mungu neno Usiogope limetajwa na kurudiwa mara nyingi sana, hivyo usiogope.
Amini usiamini hicho kidogo unachomsaidia mtu ni msaada mkubwa mno na Mungu hubariki.kufanikiwa kiuchumi ni matokeo kupitia lakini kupitia huo msaada unaohisi ni mdogo basi Mungu hufungua milango mingi ya mafanikio.Mada yako Chakorii imenigusa sana kila kona, nimejisikia vibaya sana kwa sababu wakati inatoa shukurani kwa hao ndugu nikajifikiria kwenye mzunguko wa maisha yangu hakuna anae weza kunipa shukurani kwa sababu hakuna cha maana nilivhoweza kutoa kwa yoyote, hii ni kutokana na umaskini, maandiko yanasema atoaye ana heri kuliko apokeaye, kama huna cha kutoa ni dhahiri heri hautakua nayo.
Ingawa ingawa mimi binafsi ni mtu wa kujitoa sana , najitoa kwa hali na mali, lakini kile nikitoacho thamani yake ni ndogo so sio rahisi kumgusa mtu na kuniambia asante!
Kupitia mada hii nimejifunza mengi , kwanza kuzidi kujitoa kwa yoyote alie mbele yangu, pili kupambana sana kupunguza umaskini , tatu kushukuru kwa yoyote alie kugusa kwa namna moja ama nyingine.
Amen SH my dear…Siyo watu wote wenye Moyo wa kushukuru Kama wewe. Hata Biblia inasema wenye kushukuru ndiyo hubarikiwa zaidi kuliko wanaoomba. Moyo wa shukrani ndiyo moyo mkuu!!
Mungu azidi kukuongoza,na azidi kuzibariki kazi za mikono yako,njia zako zikazidi kufunguka.
Amen!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Yani ninauingia mwaka Kwa kishindo kizito mno…Hakika Utauingia mwaka 2023 Ukiwa imara na mwenye nguvu kuliko huu 2022,hakuna baya litakugusa Wala kukupata.
Wewe Ni baraka sana.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hahahahaa kama litakuwa limevuka nje ya mipaka yangu niliyokuwa nimejiwekea hakika sitoweza kuyajibuYatakuwa magumu kujibu, sisi wengine huwa tunauliza tu. Ila kwa vile ni siku ya kuwakubali watu wako, hayo tuyaweke pembeni kwa leo my dear!