Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

ahhhh umeandika upumbavu na kuchafua makanisa.si hamia huko unakoona kuzuri .
Demokrasia inatabia ya rushwa ili kushinda .Kuna uwezekano wa mkubwa wa kupata viongozi wa kiimani waliongia kwa rushwa kama tu Walitumia kupiga kura.
Ndugu hapo kanisa limechafuka na hii ni wazi kuwa kuna watu watakuwa hawamtii Kiongozi Mkuu kwa maana wanajua kaingia kwa dhuluma maana kuna watu wanalalamika huko Kanisani kuwa huyo hastahili
 
Endelea kujidanganya tu.

Anza kumwabudu Muumba wako, usiabudu mzungu.
huna ulijualo kuhusu Mungu Muumba zaidi ya hadith za Waarabu tu
Bibi ili umjue Mungu wa Kweli lazima umjue Yesu Kristo yeye ndie pekee anafungua Spiritual realm kwenye Ulimwengu wa Roho anaitwa Eternal Son of God au Mwana wa Mmiliki
kama hujui nenda kaulize kwa Wanajimu,Waganga na Wachawi wakuambie ukweli na balaa lake na wafuasi wake,
kingine Bibi njoo PM nikupe elimu!
 
Mwanzo nilijua hili kanisa la kkkt ni level moja na Katoliki lakini kumbe ni KICHUGUU NA KILIMANJARO. Sasahivi nimekuwa mtu mzima ndio najua Kanisa Katoliki halistahili kufananishwa na makanisa mengine, yaani Katoliki ni kanisa la kipekee sana na MISINGI YAKE ILIWEKWA NA MMOJA WA WANAFUNZI WA YESU NA YESU NDIYE ALIYETOA TAMKO LA KWAMBA KTK MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA, NA HAKIKA NDILO HILI SASA.

Tofauti na LUTHERAN AMBALO MISINGI YAKE IMEWEKWA NA MARTIN LUTHER AMBAYE ALITOKA KATOLIKI BAADA YA KUANZISHA MGOGORO. NA LAANA HIYO IMEENDELEA KULITESA KANISA LA LUTHERAN ambapo watu wamekuwa wakijiondokea kwenda kuanzisha makanisa mapya, makanisa mengi tunayoyaona mitaani yenye majina ya kilokole waanzilishi wake ni wale waliokimbia LUTHERAN. Na wengi wanaoondoka kwenda kuanzisha makanisa wengi NI WA BINAFSI NA NI KWA AJILI YAO NA SIO KWA AJILI YA KAZI YA INJILI.

Katoliki hakuna mwenye jina kubwa kuliko Kanisa, ila LUTHERAN mchungaji anaweza kuwa mkubwa kuliko Kanisa, mfano Eliaona Kimaro wa K/nyama na Matsai wa Kimara.
Katoliki hakuna maandamano au shinikizo la waumini , lakini LUTHERAN Mchungaji anaweza ku influence waumini waandamane kupinga Maelekezo na Maamuzi ya juu ya taasisi hiyo, NAKUMBUKA KANISA LA ELIAONA KIMARO.
Utaratibu wa kuendesha ibada ndani ya kanisa Katoliki umeendelea kudumishwa karne na karne TOFAUTI NA LUTHERAN AMBAPO KUNA MUDA UKIINGIA UNASHINDWA KUJUA HAPA NI LUTHERAN AU NI KWA MWAMPOSA MAANA NI KURUKARUKA KWA KELELE KAMA DISCO, WAENDESHA IBADA NI KUONGEA KWA MAGUVU NA MAKELELE YAANI KAMA WANAVYOFANYA WAHUBIRI WA KILOKOLE. UKUTE SASA WANAKEMEA MAPEPO.

KIMSINGI NDANI YA IBADA KATIKA MAKANISA YA KKKT HUWA HAKUNA UTULIVU , USTAARABU NA UNYENYEKEVU KAMA ILIVYOKUWA MIAKA YA 1980 ( japo ukienda ujerumani makanisa yao yaliendelea ku maintain litujia ya kanisa) ila hapa kwetu ni vurugu tu.

MWISHO SIKUWAHI KUJUA KAMA MKUU WA KKKT ANAWEZA KUMALIZA MUDA WAKE HALAFU BAADA YA MIAKA KADHAA AKAGOMBEA TENA KITI HICHO. NIMEIONA HII JUZI BAADA YA KUSIKIA ASKOFU MALASUSA AMECHAGULIWA TENA.
Kwa kweli hii inaondoa hadhi ya Kanisa yaani utafikiri chama cha siasa.

Japo mimi ni Mlutheri/KKKT lakini hakika KANISA KATOLIKI NI KANISA SAHIHI NA LITABAKI KUWA NI KANISA LENYE HESHIMA YA KITUME HASA NA HILI NDILO KANISA LA MUNGU
Katoliki ukizingua unajikuta nyuma ya kanisa kwenye tenki la maji, hawaangalii wewe ni padri au muumini wa kawaida
 
Mboa na Ibrahim humtaji nae tunamuobea dua kila siku?

Muhammad ni mtume, kama ilivyo Issa, siyo Miungu hao. Wanahitaji dua kama unavyohitaji wewe.
Matatizo yenu Ibrahim hahitaji dua nyie ndio mnajikomba kwake

Mohamed au Ibrahim all Issa waliwaandikia barua kuwa wakifa muwaombee dua?

Kwani walikuwa hawajui wakifa wataenda wapi hadi wawaachie nyie mwapigie dua wakifa?
 
Wewe Catholic church of Rome ndio walio utengeneza Islam religion
miaka ya 600 AD baada ya Ukristo,
injinia ni jasusi Father Warakka na mkabidhiwa mission ni Muhammad Abdula Bin Mutalib
wakiwa na lengo la kuwafanya Arabs waunganishwe watawaliwe kiurahisi
baada ya mission usaliti ukapelekea uongo kugeuzwa ukweli,
Napoleon Bornapate baada ya kuteka Roma aliziona nyaraka za kale za makubaliano yaliyo vujwa na kupelekea Crussade war..

Mungu hajawi anzisha dini wala kumpa mtu mamlaka ya kuanzisha dini ila matapeli ya Roma na Arabuni yalijipa mamlaka...

Only Jesus Christ ndie njia ya kweli na uzima ukimfuata yeye personal utaingia spiritual way
nyingine mbwembwe za Kigalatia na za wavaa kobazi tu!
Sahihi
 
Sina vita na kanisa katoliki wala na yeyote yule.

Nnachokifanya hapa ni kulingania dini ya kweli, Uislam.

Wewe kama ni mkatoliki, nikuulize, bila kufichaficha, kwenye ukweli tusione haya kuusema wala tusitafune-tafune maneno; unaona sawa kuongozwa na kufundishwa maadili na mashoga? Au na wewe ni walewale?
Faizafoxy:unatumia nguvu kubwa kubishana na waislamu wenzako walio kataa dini ya kwel na kukubali ubatizo na vitimbwi vya kila namna wape pumzi maana kweli haijifichi,unabishana na dunguzo ambao matendo yote ya mwili Hadi mijongeo yao Ina akisi uislamu mtupu wape pumzi
 
Ukisoma historia vizuri utajifunza mengi na itakusaidia kujiweka karibu na Mungu muumba kuliko kuyaamini zaidi makanisa. Nimekuelewa mkuu, asante [emoji1666]

Peter is believed to have died as a martyr for his faith. Although his death is not described in Scripture, numerous writers of the time (or shortly thereafter) described his death as having occurred in Rome during the reign of the emperor Nero in 64 CE.
 
huna ulijualo kuhusu Mungu Muumba zaidi ya hadith za Waarabu tu
Bibi ili umjue Mungu wa Kweli lazima umjue Yesu Kristo yeye ndie pekee anafungua Spiritual realm kwenye Ulimwengu wa Roho anaitwa Eternal Son of God au Mwana wa Mmiliki
kama hujui nenda kaulize kwa Wanajimu,Waganga na Wachawi wakuambie ukweli na balaa lake na wafuasi wake,
kingine Bibi njoo PM nikupe elimu!
Sahihi Marehemu Shehe Yahya Hussen alikuwa akiongea live kwenye TV channel 10 live kuwa mtu kama anasumbuliwa na majina usiku asemreYesu Yesu Yesu mara tatu hayatamsumbua tena hayo majini maja usku kusumbua watu

Akasema kabisa jina la Yesu lina nguvu za kufukuza majini mabaya
 
Mleta mada hujui historia, na umechanganya mambo.
Ngoja upate elimu kidogo.

1. Petro hakuanzisha Kanisa Katoliki. Petro alizaliwa Israeli, akaishi Israeli, akahubiri Israel na mwisho akauwawa Israel, tena akiuwawa na utawala wa kikoloni wa kirumi (Roma). Kanisa Katoliki (Roma) lilianzishwa karne kadhaa baada ya Petro kufa, na lilianzishwa huko Roma. Yote kwa yote, Biblia inasema Petro alikuwa na mke na familia!

2. Yesu aliposema atalijenga kanisa lake juu ya mwamba huu, hakumaanisha atajenga jengo la kanisa juu ya Kabuli la Petro, bali atajenga imani ya ufuasi juu ya kile ambacho Petro alikisema saa ile (Petro alisema, wewe Yesu ndio kristo (akimaanisha Yesu ndio alipakwa mafuta (aliyeandaliwa rasmi kutoka mbinguni) kuja kuwaokoa watu na dhambi zao)

3. Kanisa Katoliki la sasa kimuundo, kimwenendo na kimsimamo sio sawa na katoliki lililokuwepo zama zingine zote za nyuma. (Kuna vitu vingi vipya (vizuri au vibaya) vipo sasa tofauti na hapo kale.)

4. Kanisa Katoliki halifanani kila kitu dunia nzima. Ndio maana usishangae kuna mapadri huko Brazil wanaruhusiwa kuoa, huko Marekani kuna majimbo ya kanisa Katoliki yanatambua ushoga na kubariki ndoa za jinsia moja nk). Hivyo usikariri sana.

5. Mifumo mingine ya ndani ya siri ya kanisa katoliki sio safi au kuishabikia kidini, ni mifumo ya kisiasa na umafia ndani yake. Hivyo utazame ukatoliki kiimani na kisiasa pia.

Peter is believed to have died as a martyr for his faith. Although his death is not described in Scripture, numerous writers of the time (or shortly thereafter) described his death as having occurred in Rome during the reign of the emperor Nero in 64 CE.
Unatakiwa ujue hilo, kabure la St Peter lipo Rome kwa taarifa yako.
Wote hapo mnaojiita wakristo mmetokea Catholic, hakukuwa na kanisa jingine lolote zaidi ya Katolic kuanzia Padre Martin Luther mwenyewe pamoja na mke wake Sista Kartarina!
 
Nimesikitika sana kwa Wewe Kuchelewa kujua kuwa Kanisa Katoliki ukiahilia mbali kuwa ndilo Kongwe duniani na limezaa hayo Madhehebu mengine pia ndiyo Kanisa linaoongoza kwa kuwa na Watu ( Waumini ) wenye Akili Kubwa, Wasioogopa, Wasomi wa Kweli na hawatishwi na ama Mpumbavu yoyote au Mamlaka yoyote ile ya Kikatiba katika nchi waliyoko.

Halafu Wakatoliki na TEC yao ( yetu GENTAMYCINE nikiwemo ) huwa Wakitoa Tamko au Msimamo wao mara nyingi hawathubutu kupoteza muda wa Majibizano na Wapumbavu bali hukaa Kimya ( Hunyamaza ) ili Akili na Ujinga vipambane / viumane.

Ninajivunia kuwa Mromani Katoliki!!!
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Sasa kijana Kanisa makasii, na mapadri wawe zaidi ya 90% mashoga halafu useme siyo tatizo la kanisa?

Tuwe wa kweli kwenye nafsi zetu, tusidanganyane kutetea maovu, kwa kuwa tumeaminishwa ujinga tu.

Wazungu wameshastuka huko, wanayafunga makanisa na kuyafanya misikiti:

Vipi yule Askari wa Zenji Muislamu mwenzako aliyekuwa anapumuliwa na mwanaume mwenzake je alifunza msikitini? .

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Nilisoma andiko moja la Ellen G white alisema kanisa katoliki limejengwa katika misingi imara halitakaa litetereke mpaka mwisho wa dunia.kuna muda itafika utatokea mpasuko ndani ya sabato na wengi watajitenga halafu haya madhehebu mengine yatasambaratika kabla ya mwisho wa dunia!!!
Ukiangalia kwa jicho la tatu andiko lake kama lina ka ukweli hivi,kanisa katoliki linapingwa vikali na madhehebu kibao lakini halijawahi kutetereka miaka na miaka!!
Hbr ndiyo hiyo,nenda kasome Mt.16:16-17.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Kwanza nakushauri isome Qur'an, majibu yote ambayo huyapati kwneye biblia au kanisanai yanajibiwa na Qur'an: Qur'ani Tukufu

Cha pili, ingia msikiti wowote utaposikia aadhana ufate Waislam wanavyosali, utaiona tofauti na raha yake. Wewe mfate imam, hata kama hujuwi kwa mwanzo mwanzo, inama na inuka nao tu. Ustaiona raha yake na utajiuliza niloikuwa wapi siku zote.

Uislam ni mwema sana. Hakuna longolongo. Fata Uislam usifate Waislam, wapo wengine ni Waislam jina tu.
Raha gani bibi wewe?,Ile kubinuliana makalio ndio raha?.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Vipi yule Askari wa Zenji Muislamu mwenzako aliyekuwa anapumuliwa na mwanaume mwenzake je alifunza msikitini? .

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Unaongelea askari feki ambae hata mahakama imeona hana hatia, kabambikiwa tu. Ongelea hawa wakubwa zako wa kanisa wako hivi:


Makala hii ni zaidi ya miaka 4 gazeti la Guardian liliripoti.

Mapadre na maskofu wanne kati ya watano wa Vatican ni mashoga, madai ya kitabu​

Baadhi ya viongozi wa dini waandamizi katika kanisa katoliki la Roma ambao wameshambulia ushoga ni mashoga, kwa mujibu wa kitabu kinachotarajiwa kuchapishwa wiki ijayo.

Asilimia 80 ya mapadre wanaofanya kazi Vatican ni mashoga, ingawa sio lazima wafanye ngono, inadaiwa katika kitabu hicho, In the Closet of the Vatican.


Kitabu hicho chenye kurasa 570, ambacho mwandishi wa habari wa Ufaransa na mwandishi Frédéric Martel alitumia miaka minne kutafiti, ni "maelezo ya mwanzo ya ufisadi na unafiki katika moyo wa Vatican", kwa mujibu wa mchapishaji wake wa Uingereza Bloomsbury.

Imechapishwa katika lugha nane katika nchi 20 Jumatano ijayo, ikiambatana na siku ya ufunguzi wa mkutano huko Vatican juu ya unyanyasaji wa kijinsia, ambao maaskofu kutoka duniani kote wameitwa.

Martel, mshauri wa zamani wa serikali ya Ufaransa, alifanya mahojiano 1,500 wakati akifanya utafiti wa kitabu hicho, ikiwa ni pamoja na makadinali 41, maaskofu 52 na watia saini, mabalozi 45 wa papa au maafisa wa kidiplomasia, walinzi 11 wa Uswisi na zaidi ya mapadre 200 na waseminari, kwa mujibu wa ripoti kwenye tovuti ya Kikatoliki ya Tablet.

Wengi walizungumza juu ya kanuni isiyo na maana ya "karibu", na kanuni moja ya kidole kuwa kwamba zaidi ya ushoga alikuwa kiongozi wa dini, uwezekano mkubwa alikuwa shoga.

Martel anadai kuwa kardinali mmoja wa Colombia, marehemu Alfonso López Trujillo, ambaye alikuwa na cheo cha juu cha Vatican, alikuwa ni mtetezi mkuu wa mafundisho ya kanisa juu ya ushoga na uzazi wa mpango wakati wa kutumia makahaba wa kiume, Tablet alisema.

Mwandishi aligundua kuwa baadhi ya makuhani mashoga walikubali ujinsia wao na wachache walidumisha uhusiano wa busara, lakini wengine walitafuta kukutana kwa hatari kubwa. Wengine walikuwa wanakataa kuhusu ujinsia wao.

Ingawa kitabu hicho hakihusiani na ushoga na unyanyasaji wa kijinsia wa watoto, Martel anaelezea utamaduni wa siri kati ya makuhani ambao huunda hali ambayo unyanyasaji haukabiliwi, wanasema watu wanaofahamu yaliyomo kwenye kitabu hicho.



Kulingana na nyenzo za uendelezaji wa Bloomsbury, Ndani ya Closet "hufunua siri" kuhusu useja, misogyny na njama dhidi ya Papa Francis. Inafunua "utamaduni wa ukarani wa usiri ambao huanza katika seminari za vijana na unaendelea hadi Vatican yenyewe".

Papa Francis amewakosoa wakosoaji wake wa kihafidhina mjini Vatican kutokana na kauli yake ya upole dhidi ya mashoga. Miezi michache baada ya upapa wake, aliwaambia waandishi wa habari ambao waliuliza kuhusu "ushawishi wa mashoga" huko Vatican: "Kama mtu ni shoga na anamtafuta Mungu na ana mapenzi mema, mimi ni nani wa kuhukumu?"

Mwaka jana Juan Carlos Cruz, raia wa Chile aliyenusurika na unyanyasaji wa kingono, alisema Francis alimwambia katika mkutano wa faragha: "Juan Carlos, kwamba wewe ni shoga haijalishi. Mungu alikufanya uwe kama hii na anakupenda kama hii na sijali. Papa anakupenda kwa namna hii. Unapaswa kuwa na furaha na wewe ni nani."

Lakini kasisi mmoja wa Poland ambaye alifutwa kazi kutoka Vatican na kuachishwa kazi baada ya kutangaza kuwa alikuwa shoga amelishutumu kanisa hilo kwa kufanya maisha ya mamilioni ya waumini wa kanisa katoliki kuwa "jahanamu".

Katika barua kwa Francis mwaka 2015, Krzysztof Charamsa alikosoa kile alichokiita unafiki wa Vatican katika kuwapiga marufuku makasisi wa jinsia moja na kusema kuwa makasisi hao "wamejaa mashoga".

Chanzo: Four in five Vatican priests are gay, book claims
 
Wewe Catholic church of Rome ndio walio utengeneza Islam religion
miaka ya 600 AD baada ya Ukristo,
injinia ni jasusi Father Warakka na mkabidhiwa mission ni Muhammad Abdula Bin Mutalib
wakiwa na lengo la kuwafanya Arabs waunganishwe watawaliwe kiurahisi
baada ya mission usaliti ukapelekea uongo kugeuzwa ukweli,
Napoleon Bornapate baada ya kuteka Roma aliziona nyaraka za kale za makubaliano yaliyo vujwa na kupelekea Crussade war..

Mungu hajawi anzisha dini wala kumpa mtu mamlaka ya kuanzisha dini ila matapeli ya Roma na Arabuni yalijipa mamlaka...

Only Jesus Christ ndie njia ya kweli na uzima ukimfuata yeye personal utaingia spiritual way
nyingine mbwembwe za Kigalatia na za wavaa kobazi tu!
Eti nawewe unajiona kichwa, kumbe umepuyanga tu.
 
Back
Top Bottom