Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

Sio bure wewe ulikua sista wa kanisa katoliki ukazaa ukafukuzwa..sasa chuki ndo zimetaradadi..
Habari yako Sr Fausta..
😰😰😰🥺🥺🥺

Eeh bwana wee, ulijuwaje?

Nikaiona nuru ya Uislam. Wewe bado hujaiona tu?
🥺
 
😰😰😰🥺🥺🥺

Eeh bwana wee, ulijuwaje?

Nikaiona nuru ya Uislam. Wewe bado hujaiona tu?
🥺
Acha chuki sasa Sr Fausta...ww komaa na dini yako hubiri mazuri ya dini yako uliyohamia?? Katoliki huwa haimsemi mtu wala kuhubiri kuhusu dini ya mtu mwingine abadani..yani ww unachuki za waziwazi...wasamehe waliokufukuza convent maana ndo utaratibu wao...
 
Muumini inatakiwa afundishwe kwa utulivu aelewe injili imguse na Sio kufokewa na kupigiwa kelele. Roho Mtakatifu Akai kwenye mahubiri ya makelele na kufokafoka.
 
Ukitaka kujifunza vizur neno la Mungu likaingia na uelewe watafute walimu Hawa.
1.Goerge Mukabwa
2.Mwl Mwakasege
3.Mwl Grace
4. Dr David Mbaga wa Mahubiri tv
5.Japhet Magoti
 
Mwanzo nilijua hili kanisa la kkkt ni level moja na Katoliki lakini kumbe ni KICHUGUU NA KILIMANJARO. Sasahivi nimekuwa mtu mzima ndio najua Kanisa Katoliki halistahili kufananishwa na makanisa mengine, yaani Katoliki ni kanisa la kipekee sana na MISINGI YAKE ILIWEKWA NA MMOJA WA WANAFUNZI WA YESU NA YESU NDIYE ALIYETOA TAMKO LA KWAMBA KTK MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA, NA HAKIKA NDILO HILI SASA.

Tofauti na LUTHERAN AMBALO MISINGI YAKE IMEWEKWA NA MARTIN LUTHER AMBAYE ALITOKA KATOLIKI BAADA YA KUANZISHA MGOGORO. NA LAANA HIYO IMEENDELEA KULITESA KANISA LA LUTHERAN ambapo watu wamekuwa wakijiondokea kwenda kuanzisha makanisa mapya, makanisa mengi tunayoyaona mitaani yenye majina ya kilokole waanzilishi wake ni wale waliokimbia LUTHERAN. Na wengi wanaoondoka kwenda kuanzisha makanisa wengi NI WA BINAFSI NA NI KWA AJILI YAO NA SIO KWA AJILI YA KAZI YA INJILI.

Katoliki hakuna mwenye jina kubwa kuliko Kanisa, ila LUTHERAN mchungaji anaweza kuwa mkubwa kuliko Kanisa, mfano Eliaona Kimaro wa K/nyama na Matsai wa Kimara.
Katoliki hakuna maandamano au shinikizo la waumini , lakini LUTHERAN Mchungaji anaweza ku influence waumini waandamane kupinga Maelekezo na Maamuzi ya juu ya taasisi hiyo, NAKUMBUKA KANISA LA ELIAONA KIMARO.
Utaratibu wa kuendesha ibada ndani ya kanisa Katoliki umeendelea kudumishwa karne na karne TOFAUTI NA LUTHERAN AMBAPO KUNA MUDA UKIINGIA UNASHINDWA KUJUA HAPA NI LUTHERAN AU NI KWA MWAMPOSA MAANA NI KURUKARUKA KWA KELELE KAMA DISCO, WAENDESHA IBADA NI KUONGEA KWA MAGUVU NA MAKELELE YAANI KAMA WANAVYOFANYA WAHUBIRI WA KILOKOLE. UKUTE SASA WANAKEMEA MAPEPO.

KIMSINGI NDANI YA IBADA KATIKA MAKANISA YA KKKT HUWA HAKUNA UTULIVU , USTAARABU NA UNYENYEKEVU KAMA ILIVYOKUWA MIAKA YA 1980 ( japo ukienda ujerumani makanisa yao yaliendelea ku maintain litujia ya kanisa) ila hapa kwetu ni vurugu tu.

MWISHO SIKUWAHI KUJUA KAMA MKUU WA KKKT ANAWEZA KUMALIZA MUDA WAKE HALAFU BAADA YA MIAKA KADHAA AKAGOMBEA TENA KITI HICHO. NIMEIONA HII JUZI BAADA YA KUSIKIA ASKOFU MALASUSA AMECHAGULIWA TENA.
Kwa kweli hii inaondoa hadhi ya Kanisa yaani utafikiri chama cha siasa.

Japo mimi ni Mlutheri/KKKT lakini hakika KANISA KATOLIKI NI KANISA SAHIHI NA LITABAKI KUWA NI KANISA LENYE HESHIMA YA KITUME HASA NA HILI NDILO KANISA LA MUNGU
Hapo hakuna KKKT Wala RC wote nyinyi mmepgwa na mmeenda Chaka ikiwa Yerusalem ndio ambapo ndipo alipozakiwa Yesu lakn ndio sehemu ambayo Kuna Wakristo wachache kuliko Waislam na Wayahudi hapa Kuna cha kujifunza kwa wale wenye akili timamu na zenye maono
 
Uislam pekee.

Hakuna mfumo kama wa kanisa kwenye Uislam. Uislam ndiyo dini pekee kwa Mwenyezi Mungu. Kila kitu ni wewe na Muumba wako tu.
Kati ya ukristo na uislamu wapi kuna uhuru wa kuabudu
 
Kwanza nakushauri isome Qur'an, majibu yote ambayo huyapati kwneye biblia au kanisanai yanajibiwa na Qur'an: Qur'ani Tukufu

Cha pili, ingia msikiti wowote utaposikia aadhana ufate Waislam wanavyosali, utaiona tofauti na raha yake. Wewe mfate imam, hata kama hujuwi kwa mwanzo mwanzo, inama na inuka nao tu. Ustaiona raha yake na utajiuliza niloikuwa wapi siku zote.

Uislam ni mwema sana. Hakuna longolongo. Fata Uislam usifate Waislam, wapo wengine ni Waislam jina tu.
Kumbe kuna waislamu jina tu ila ikija kwa wakatoliki jina tu una attack kanisa zima
 
Mwanzo nilijua hili kanisa la kkkt ni level moja na Katoliki lakini kumbe ni KICHUGUU NA KILIMANJARO. Sasahivi nimekuwa mtu mzima ndio najua Kanisa Katoliki halistahili kufananishwa na makanisa mengine, yaani Katoliki ni kanisa la kipekee sana na MISINGI YAKE ILIWEKWA NA MMOJA WA WANAFUNZI WA YESU NA YESU NDIYE ALIYETOA TAMKO LA KWAMBA KTK MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA, NA HAKIKA NDILO HILI SASA.

Tofauti na LUTHERAN AMBALO MISINGI YAKE IMEWEKWA NA MARTIN LUTHER AMBAYE ALITOKA KATOLIKI BAADA YA KUANZISHA MGOGORO. NA LAANA HIYO IMEENDELEA KULITESA KANISA LA LUTHERAN ambapo watu wamekuwa wakijiondokea kwenda kuanzisha makanisa mapya, makanisa mengi tunayoyaona mitaani yenye majina ya kilokole waanzilishi wake ni wale waliokimbia LUTHERAN. Na wengi wanaoondoka kwenda kuanzisha makanisa wengi NI WA BINAFSI NA NI KWA AJILI YAO NA SIO KWA AJILI YA KAZI YA INJILI.

Katoliki hakuna mwenye jina kubwa kuliko Kanisa, ila LUTHERAN mchungaji anaweza kuwa mkubwa kuliko Kanisa, mfano Eliaona Kimaro wa K/nyama na Matsai wa Kimara.
Katoliki hakuna maandamano au shinikizo la waumini , lakini LUTHERAN Mchungaji anaweza ku influence waumini waandamane kupinga Maelekezo na Maamuzi ya juu ya taasisi hiyo, NAKUMBUKA KANISA LA ELIAONA KIMARO.
Utaratibu wa kuendesha ibada ndani ya kanisa Katoliki umeendelea kudumishwa karne na karne TOFAUTI NA LUTHERAN AMBAPO KUNA MUDA UKIINGIA UNASHINDWA KUJUA HAPA NI LUTHERAN AU NI KWA MWAMPOSA MAANA NI KURUKARUKA KWA KELELE KAMA DISCO, WAENDESHA IBADA NI KUONGEA KWA MAGUVU NA MAKELELE YAANI KAMA WANAVYOFANYA WAHUBIRI WA KILOKOLE. UKUTE SASA WANAKEMEA MAPEPO.

KIMSINGI NDANI YA IBADA KATIKA MAKANISA YA KKKT HUWA HAKUNA UTULIVU , USTAARABU NA UNYENYEKEVU KAMA ILIVYOKUWA MIAKA YA 1980 ( japo ukienda ujerumani makanisa yao yaliendelea ku maintain litujia ya kanisa) ila hapa kwetu ni vurugu tu.

MWISHO SIKUWAHI KUJUA KAMA MKUU WA KKKT ANAWEZA KUMALIZA MUDA WAKE HALAFU BAADA YA MIAKA KADHAA AKAGOMBEA TENA KITI HICHO. NIMEIONA HII JUZI BAADA YA KUSIKIA ASKOFU MALASUSA AMECHAGULIWA TENA.
Kwa kweli hii inaondoa hadhi ya Kanisa yaani utafikiri chama cha siasa.

Japo mimi ni Mlutheri/KKKT lakini hakika KANISA KATOLIKI NI KANISA SAHIHI NA LITABAKI KUWA NI KANISA LENYE HESHIMA YA KITUME HASA NA HILI NDILO KANISA LA MUNGU
Mm mwenye nimeshangazwa na ujinga huo
 
Hii mada inahusu KKKT na Roman Catholic.

Ila Bibi kigagula ameshavamia Post na kuleta mambo yake ya Makobazi humu.
Kwakweli kanikera haijawahi kutokea ndugu wanagombana kaa kimya kama unaweza kagombelezee
 
Hapa ndiyo utaiona neema ya Uislam, hakuna kura katika Uislam, siku ukikuta Waislam wanapiga kura wapate kiongozi elewa kuwa hao siyo Waislam na hawafati mafundisho ya Uislam.
We hujielewi kabisa upo kiushindani tu. Hiki kilichotokea KKKT mpaka kuzusha taharuki hii, ndo kinachofanyika kwenu kupitia BAKWATA kila siku, sema nyie bado hamjastuka tu. Lakini BAKWATA ni tawi la CCM na lazima kiongozi afanyiwe vetting na system au anakuwa mtu wa system kabisa.

Lakini hiki kitu hukikuti ndani ya kanisa la RC, hawaingiliwi na system yoyote kuwapangia viongozi, hiki ndo kinachoongelewa hapa. We umekaa na mada zako tu za kuchomeka wala hazina uhusiano wowote na mada husika.
 
IMG_8740.jpg
 
Its all about mtazamo, kilicho sawa kwako si lazima kiwa sawa kwa mwenzako.

Common sense is not common to everybody.
What common to you si lazima iwe common to others.

So accept the reality and move on!!!
 
Bora sisi huku tunachagua Viongozi wetuu mwenyewe

Sio nyinyi mnachaguliwa huko Vatican

Afu linakuja jitu zima eti linasema katoliki ni Bora

Mzunguu kaaaa zake hukoo afu akuchagulie mtuu.

Mambo ya KKKT yaache hivyohivyoooo

Usiseme chochotee

Ukoloni huku hakunaaa
halafu hao wanawateulia viongozi wao tabia zao zinakera mpaka wanaoamini shetani.
 
We hujielewi kabisa upo kiushindani tu. Hiki kilichotokea KKKT mpaka kuzusha taharuki hii, ndo kinachofanyika kwenu kupitia BAKWATA kila siku, sema nyie bado hamjastuka tu. Lakini BAKWATA ni tawi la CCM na lazima kiongozi afanyiwe vetting na system au anakuwa mtu wa system kabisa.

Lakini hiki kitu hukikuti ndani ya kanisa la RC, hawaingiliwi na system yoyote kuwapangia viongozi, hiki ndo kinachoongelewa hapa. We umekaa na mada zako tu za kuchomeka wala hazina uhusiano wowote na mada husika.
Labda hutuelewi, soma: https://www.jamiiforums.com/threads/bakwata-si-chombo-cha-kiislam.2123675/unread
 
Back
Top Bottom