Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

Asubuhi hii nafuatilia ibada ya Katoliki navutiwa sana na Padri wa Katoliki anavyoongea kwa unyenyekevu na kanisani kuna utulivu wa kiwango cha juu. Pia navutiwa jinsi anavyowasilisha mada kwa waumini, anazungumzia kilichopo kwenye Biblia. Pia nafuatilia Kanisa jirani yaani ni Sauti za maspika kuimba na kurukaruka, imekuja zamu ya mchungaji naona anaongea hadi jasho na anachokiwasilisha kwa waumini ni asilimia 5 tu ndicho kilichopo kwenye Biblia, yaani mahubiri yake ni maisha na changamoto zilizopo kwa watu , magonjwa, kupata kazi , utajiri ,mafanikio , kuondokana na mikosi na zaidi ni msisitizo wa matoleo.

KIMSINGI TUNAOMBA KKKT ITURUDISHIE WACHUNGAJI NA WAINJILISTI WETU WA MIAKA YA 80 waliokuwa wanazungumzia habari njema, kuishi maisha yenye kumpendeza Mungu na ufalme wa Mbinguni. Hatukaki hawa WAJUAJI AMBAO MUDA WOTE NI KUZUNGUMZIA MAISHA YA KIMWILI NA UTATUZI WA SHIDA ZA KIMWILI KISHA KUHAMASISHA MICHANGO.

NA KAMA WAPO WACHUNGAJI WA ZAMANI WALIOSTAAFU NA WAPO HAI BASI WAPELEKENI KWENYE CHUO CHETU KILE CHA MAKUMIRA WATUZALISHIE WATUMISHI WA KWELI NA SIO HAWA.
 
Huo ni ubishani wa kijinga tu. Shekhe siyo Uislam, kama unamfata Shekhe unaufananisha Uislam na Ukristo. Hilo ni kosa.

Uislam ni dini ya kila mtu siyo ya "Shekhe". Shekhe unaesema kalawiti watoto huyo ndiyo ukisikia "kafiri" katika Uislam.
Hichi ulichpandika kibadilishe Kwa context ya ukristo.

Kama hutoelewa wewe ni punguani wahed
 
Wanaolawiti watoto wenu kila leo huko madrasa ni mapadre toka Vatican na hawafungamani na uislam?
Acha ubishi kubaliana na ukweli ,hivi kwa suala la ulawiti wa watoto kuna anayewafikia nyie wavaa kobazi?
Kwa kujifanya mna imani kali mnavipeleka vitoto vidogo kwa wavaa kobazi wenzenu vikafundishwe dini badala yake wanawafanya nini?
Washenzi wanalawiti watoto was madrassa Hadi wake zao eti wakiita SUNNA ya MTUME
 
Mwanzo nilijua hili kanisa la kkkt ni level moja na Katoliki lakini kumbe ni KICHUGUU NA KILIMANJARO. Sasahivi nimekuwa mtu mzima ndio najua Kanisa Katoliki halistahili kufananishwa na makanisa mengine, yaani Katoliki ni kanisa la kipekee sana na MISINGI YAKE ILIWEKWA NA MMOJA WA WANAFUNZI WA YESU NA YESU NDIYE ALIYETOA TAMKO LA KWAMBA KTK MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA, NA HAKIKA NDILO HILI SASA.

Tofauti na LUTHERAN AMBALO MISINGI YAKE IMEWEKWA NA MARTIN LUTHER AMBAYE ALITOKA KATOLIKI BAADA YA KUANZISHA MGOGORO. NA LAANA HIYO IMEENDELEA KULITESA KANISA LA LUTHERAN ambapo watu wamekuwa wakijiondokea kwenda kuanzisha makanisa mapya, makanisa mengi tunayoyaona mitaani yenye majina ya kilokole waanzilishi wake ni wale waliokimbia LUTHERAN. Na wengi wanaoondoka kwenda kuanzisha makanisa wengi NI WA BINAFSI NA NI KWA AJILI YAO NA SIO KWA AJILI YA KAZI YA INJILI.

Katoliki hakuna mwenye jina kubwa kuliko Kanisa, ila LUTHERAN mchungaji anaweza kuwa mkubwa kuliko Kanisa, mfano Eliaona Kimaro wa K/nyama na Matsai wa Kimara.
Katoliki hakuna maandamano au shinikizo la waumini , lakini LUTHERAN Mchungaji anaweza ku influence waumini waandamane kupinga Maelekezo na Maamuzi ya juu ya taasisi hiyo, NAKUMBUKA KANISA LA ELIAONA KIMARO.
Utaratibu wa kuendesha ibada ndani ya kanisa Katoliki umeendelea kudumishwa karne na karne TOFAUTI NA LUTHERAN AMBAPO KUNA MUDA UKIINGIA UNASHINDWA KUJUA HAPA NI LUTHERAN AU NI KWA MWAMPOSA MAANA NI KURUKARUKA KWA KELELE KAMA DISCO, WAENDESHA IBADA NI KUONGEA KWA MAGUVU NA MAKELELE YAANI KAMA WANAVYOFANYA WAHUBIRI WA KILOKOLE. UKUTE SASA WANAKEMEA MAPEPO.

KIMSINGI NDANI YA IBADA KATIKA MAKANISA YA KKKT HUWA HAKUNA UTULIVU , USTAARABU NA UNYENYEKEVU KAMA ILIVYOKUWA MIAKA YA 1980 ( japo ukienda ujerumani makanisa yao yaliendelea ku maintain litujia ya kanisa) ila hapa kwetu ni vurugu tu.

MWISHO SIKUWAHI KUJUA KAMA MKUU WA KKKT ANAWEZA KUMALIZA MUDA WAKE HALAFU BAADA YA MIAKA KADHAA AKAGOMBEA TENA KITI HICHO. NIMEIONA HII JUZI BAADA YA KUSIKIA ASKOFU MALASUSA AMECHAGULIWA TENA.
Kwa kweli hii inaondoa hadhi ya Kanisa yaani utafikiri chama cha siasa.

Japo mimi ni Mlutheri/KKKT lakini hakika KANISA KATOLIKI NI KANISA SAHIHI NA LITABAKI KUWA NI KANISA LENYE HESHIMA YA KITUME HASA NA HILI NDILO KANISA LA MUNGU
Heri wenye moyo safi maana hao watamuona Mungu .Mathayo 5:8-10
Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii:kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao,na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu .Yakobo 1:27
Yesu akamwambia ,Mimi ndimi njia,na kweli,na uzima ,mtu haji Kwa Baba ,ila Kwa njia Mimi. Yohana 14:6

Ishi na hayo maandiko kanisa halikupeleki popote .
 
Washenzi wanalawiti watoto was madrassa Hadi wake zao eti wakiita SUNNA ya MTUME
Maaskofu na mapadri walawitiana na shule nzima Soni:

1693114487183.gif

Baba Kit Cunningham

Alikuwa padri wangu na rafiki yangu. Ndipo nilipogundua kuwa ni mchumba​

Jinsi kashfa ya Father Kit Cunningham imemfanya Peter Stanford kuhoji kanisa lake na imani yake
Peter Stanford
Jumapili 19 Jun 2011 00.04 BST
Waandishi wote wa habari wanapenda kuona makala zao zikijadiliwa kwenye televisheni, hata wakati zinapingwa, lakini kuona kwa John Poppleton akiwa na nakala ya maiti niliyoandika mapema mwaka huu kwa ajili ya Guardian kulinifanya nihisi aibu sana .
Mhusika alikuwa Padre Kit Cunningham, kasisi wa Kikatoliki aliyekuwa ametuoza, alimbatiza mwanangu (ambaye ana jina moja la Kikristo) na alikuwa rafiki wa familia kwa miaka 20. "Technicolor eccentric, na inayopendwa na wengi kama matokeo," kumbukumbu ya maiti ilisoma.
"Nimeona hii," Poppleton alisema, akionyesha gazeti linalokata kwa kamera kana kwamba lilikuwa limechafuliwa, "ya kukera. Kasisi huyu alikuwa jini."

Chanzo na soma zaidi: He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile | Catholicism | The Guardian
 
Huo ni ubishani wa kijinga tu. Shekhe siyo Uislam, kama unamfata Shekhe unaufananisha Uislam na Ukristo. Hilo ni kosa.

Uislam ni dini ya kila mtu siyo ya "Shekhe". Shekhe unaesema kalawiti watoto huyo ndiyo ukisikia "kafiri" katika Uislam.
Ndio pia na nyie sababu ya mapadri wachache wakiharibu kwa udhaifu wao mnalipaka kanisa zima matope. Tabia ya mtu mmoja mmoja sio ya Kanisa, na hajatumwa na kanisa, sisi tuna mfumo wa kuaddress hayo, nyie ata hamueleweki mnamaliza kimya kimya, no solution, sisi so far abuse imepungua kwa kiasi kikubwa sana, kesi nyingi ni za miaka ya zamani huko utakuta ni watu kutaka pesa tu na mara nyingi hazina ushahidi.
 
Hilo la ubaba ndiyo nini sasa? Kudanganyana tu.

Mjuweni mwenyesi Mungu mmoja tu asiyezaa wala kuzaliwa. Jisalimisheni kwa Allah.
Figure of speech, metaphor. Kuelewa ni mpaka ulegeze fuvu, inaitaji kunyenyekea, Kuelewa fumbo la utatu mtakatifu lazima utulie, sisi tunaamini katika Mungu mmoja, we are monotheists, Muhammad hakuwa na uelewa mzuri juu ya hilo akawapotosha with a simplistic reasoning, kama ulivyoona masheikh wenu wanavyobadili issue ya bandari kuwa ya mashindano ya kidini, suala la uelewa mdogo lilianzia kwa muasisi wenu. Kwanza claims zake za kushushiwa kitabu na malaika jibril ni very questionable, pili, kasome satanic verses of islam by salma rushdie, hakuna a true prophet.
 
Huyo hakuwa Mkristo Wala hakuacha kanisa lolote pale
Aliacha a visible structure, soma bibilia vizuri utagundua Petro ambaye aliitwa mwamba aliambiwaje, alafu kwa nini kila swalli alikuwa anajibu yeye kwa niaba ya wenzie, alafu siku ya pentekoste alibatiza watu elf 3, Yesu hakuwa mjinga, aliacha a visible church na hierachy, wale wanafunzi 12 ndio maaskofu wa kwanza kimajukumu, na wote waliteremsha mafundisho kwa warithi wao, inaitwa apostolic succession, hakuacha kanisa yatima, na ndio linaitwa "katholikos" yani la ulimwengu. Kanisa ni moja, mengine ni vurugu na ujuaji tu.
 
Figure of speech, metaphor. Kuelewa ni mpaka ulegeze fuvu, inaitaji kunyenyekea, Kuelewa fumbo la utatu mtakatifu lazima utulie, sisi tunaamini katika Mungu mmoja, we are monotheists, Muhammad hakuwa na uelewa mzuri juu ya hilo akawapotosha with a simplistic reasoning, kama ulivyoona masheikh wenu wanavyobadili issue ya bandari kuwa ya mashindano ya kidini, suala la uelewa mdogo lilianzia kwa muasisi wenu. Kwanza claims zake za kushushiwa kitabu na malaika jibril ni very questionable, pili, kasome satanic verses of islam by salma rushdie, hakuna a true prophet.
Hakuna fumbo wala nini mnadanganywa na upagani tu huo.

Mwenyezi Mungu ni mmoja tu, hazai wala kuzaliwa na wala hafananishwi na chochote.


Wajinga ndiyo waliwao.
 
Hakuna fumbo wala nini mnadanganywa na upagani tu huo.

Mwenyezi Mungu ni mmoja tu, hazai wala kuzaliwa na wala hafananishwi na chochote.


Wajinga ndiyo waliwao.
muhammad sio mtume wa Mungu mnadanganyana tu. Kitabu chako chenyewe pamoja na uongo wake kinasema Yesu alizaliwa bila baba kuweka mimba. Acheni kujifanya mnammiliki Mungu, Muhammad aliwaambia wa qoraysh its ok kuabudu miungu yao, baada ya kupigwa mkwara, baadae akajifanya alipitiwa na shetani, how sure are you maneno mengine yalitoka kwa Mungu? eti miaka mia 600 ipitie ndio kisebengo ambae ata hatambuliwi na mitume na manabii wengine aje ajikute anajua. False prophet, false religion.
 
muhammad sio mtume wa Mungu mnadanganyana tu. Kitabu chako chenyewe pamoja na uongo wake kinasema Yesu alizaliwa bila baba kuweka mimba. Acheni kujifanya mnammiliki Mungu, Muhammad aliwaambia wa qoraysh its ok kuabudu miungu yao, baada ya kupigwa mkwara, baadae akajifanya alipitiwa na shetani, how sure are you maneno mengine yalitoka kwa Mungu? eti miaka mia 600 ipitie ndio kisebengo ambae ata hatambuliwi na mitume na manabii wengine aje ajikute anajua. False prophet, false religion.
Alaa kumbe.

Sisi mradi hatumuabudu binaadam tunadunda tu: Soma:

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja
 
Nilichogundua huyu bibi mvaa kobazi Faiza foxy hajui kuchamba na ndomana harufu Kali imemfanya akili yake isifikiri vizuri..Yani amekaa kidini sana ,hata akijamba utasikia anasema ushuzi huo ni wa kiislamu na ni sunna
 
Alaa kumbe.

Sisi mradi hatumuabudu binaadam tunadunda tu: Soma:

KWA JINA LA MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU 0
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. 1
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. 2
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa 3
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja
We subiri ukakamilishe 72 tu yangu.
 
Mwanzo nilijua hili kanisa la kkkt ni level moja na Katoliki lakini kumbe ni KICHUGUU NA KILIMANJARO. Sasahivi nimekuwa mtu mzima ndio najua Kanisa Katoliki halistahili kufananishwa na makanisa mengine, yaani Katoliki ni kanisa la kipekee sana na MISINGI YAKE ILIWEKWA NA MMOJA WA WANAFUNZI WA YESU NA YESU NDIYE ALIYETOA TAMKO LA KWAMBA KTK MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA, NA HAKIKA NDILO HILI SASA.

Tofauti na LUTHERAN AMBALO MISINGI YAKE IMEWEKWA NA MARTIN LUTHER AMBAYE ALITOKA KATOLIKI BAADA YA KUANZISHA MGOGORO. NA LAANA HIYO IMEENDELEA KULITESA KANISA LA LUTHERAN ambapo watu wamekuwa wakijiondokea kwenda kuanzisha makanisa mapya, makanisa mengi tunayoyaona mitaani yenye majina ya kilokole waanzilishi wake ni wale waliokimbia LUTHERAN. Na wengi wanaoondoka kwenda kuanzisha makanisa wengi NI WA BINAFSI NA NI KWA AJILI YAO NA SIO KWA AJILI YA KAZI YA INJILI.

Katoliki hakuna mwenye jina kubwa kuliko Kanisa, ila LUTHERAN mchungaji anaweza kuwa mkubwa kuliko Kanisa, mfano Eliaona Kimaro wa K/nyama na Matsai wa Kimara.
Katoliki hakuna maandamano au shinikizo la waumini , lakini LUTHERAN Mchungaji anaweza ku influence waumini waandamane kupinga Maelekezo na Maamuzi ya juu ya taasisi hiyo, NAKUMBUKA KANISA LA ELIAONA KIMARO.
Utaratibu wa kuendesha ibada ndani ya kanisa Katoliki umeendelea kudumishwa karne na karne TOFAUTI NA LUTHERAN AMBAPO KUNA MUDA UKIINGIA UNASHINDWA KUJUA HAPA NI LUTHERAN AU NI KWA MWAMPOSA MAANA NI KURUKARUKA KWA KELELE KAMA DISCO, WAENDESHA IBADA NI KUONGEA KWA MAGUVU NA MAKELELE YAANI KAMA WANAVYOFANYA WAHUBIRI WA KILOKOLE. UKUTE SASA WANAKEMEA MAPEPO.

KIMSINGI NDANI YA IBADA KATIKA MAKANISA YA KKKT HUWA HAKUNA UTULIVU , USTAARABU NA UNYENYEKEVU KAMA ILIVYOKUWA MIAKA YA 1980 ( japo ukienda ujerumani makanisa yao yaliendelea ku maintain litujia ya kanisa) ila hapa kwetu ni vurugu tu.

MWISHO SIKUWAHI KUJUA KAMA MKUU WA KKKT ANAWEZA KUMALIZA MUDA WAKE HALAFU BAADA YA MIAKA KADHAA AKAGOMBEA TENA KITI HICHO. NIMEIONA HII JUZI BAADA YA KUSIKIA ASKOFU MALASUSA AMECHAGULIWA TENA.
Kwa kweli hii inaondoa hadhi ya Kanisa yaani utafikiri chama cha siasa.

Japo mimi ni Mlutheri/KKKT lakini hakika KANISA KATOLIKI NI KANISA SAHIHI NA LITABAKI KUWA NI KANISA LENYE HESHIMA YA KITUME HASA NA HILI NDILO KANISA LA MUNGU
Wivu tu.
 
Back
Top Bottom