Marashi
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,877
- 4,522
Napata picha ya wasomi wauounda dini ya Mohamed hahahaSio la kweli ila imani iliyoundwa na wasomi wa hali ya juu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napata picha ya wasomi wauounda dini ya Mohamed hahahaSio la kweli ila imani iliyoundwa na wasomi wa hali ya juu.
alshabab , adf , boko haram etc hawaaribu watoto?Wana matizo uao lukuki, tena makubwa na mazito sana, mengine ni majanga, wanaharibu watoto huko mpaka Umoja wa Mataifa umepiga kelele, msikilize aliyekuwa Rais wa Ufilipino anasema nini. Tazama link:
![]()
Corrected: Philippine president renews attack on Catholic church
President Rodrigo Duterte on Thursday denounced bishops in the Catholic-majority country as "sons of bitches", renewing his attacks on the church that has criticised him over his bloody war on drugs.www.reuters.com
mtu mweusi ni kituko sana"dini" ipo toka dunia imeumbwa, mlioletewa na wazungu ndiyo majanga.
Dini ni moja tu, kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu.
uislam unalea ujinga wa asili , ndio maana popote waislam wakizid ugaid unashamiri mf Central Africa , Drc , Mozambique , Kenya , Somalia , uganda etcUislam pekee.
Hakuna mfumo kama wa kanisa kwenye Uislam. Uislam ndiyo dini pekee kwa Mwenyezi Mungu. Kila kitu ni wewe na Muumba wako tu.
kuna padre umewai mfirah ? nyiny waislam ujinga ndo asili yenuSasa kijana Kanisa makasii, na mapadri wawe zaidi ya 90% mashoga halafu useme siyo tatizo la kanisa?
Tuwe wa kweli kwenye nafsi zetu, tusidanganyane kutetea maovu, kwa kuwa tumeaminishwa ujinga tu.
Wazungu wameshastuka huko, wanayafunga makanisa na kuyafanya misikiti:
nan anataka kuwa gaidiKwanza nakushauri isome Qur'an, majibu yote ambayo huyapati kwneye biblia au kanisanai yanajibiwa na Qur'an: Qur'ani Tukufu
Cha pili, ingia msikiti wowote utaposikia aadhana ufate Waislam wanavyosali, utaiona tofauti na raha yake. Wewe mfate imam, hata kama hujuwi kwa mwanzo mwanzo, inama na inuka nao tu. Ustaiona raha yake na utajiuliza niloikuwa wapi siku zote.
Uislam ni mwema sana. Hakuna longolongo. Fata Uislam usifate Waislam, wapo wengine ni Waislam jina tu.
hoja ya 5 mifumo gan inazid mifumo ya kulea magaidi misikitin wanajifanya hawana pa kulalaMleta mada hujui historia, na umechanganya mambo.
Ngoja upate elimu kidogo.
1. Petro hakuanzisha Kanisa Katoliki. Petro alizaliwa Israeli, akaishi Israeli, akahubiri Israel na mwisho akauwawa Israel, tena akiuwawa na utawala wa kikoloni wa kirumi (Roma). Kanisa Katoliki (Roma) lilianzishwa karne kadhaa baada ya Petro kufa, na lilianzishwa huko Roma. Yote kwa yote, Biblia inasema Petro alikuwa na mke na familia!
2. Yesu aliposema atalijenga kanisa lake juu ya mwamba huu, hakumaanisha atajenga jengo la kanisa juu ya Kabuli la Petro, bali atajenga imani ya ufuasi juu ya kile ambacho Petro alikisema saa ile (Petro alisema, wewe Yesu ndio kristo (akimaanisha Yesu ndio alipakwa mafuta (aliyeandaliwa rasmi kutoka mbinguni) kuja kuwaokoa watu na dhambi zao)
3. Kanisa Katoliki la sasa kimuundo, kimwenendo na kimsimamo sio sawa na katoliki lililokuwepo zama zingine zote za nyuma. (Kuna vitu vingi vipya (vizuri au vibaya) vipo sasa tofauti na hapo kale.)
4. Kanisa Katoliki halifanani kila kitu dunia nzima. Ndio maana usishangae kuna mapadri huko Brazil wanaruhusiwa kuoa, huko Marekani kuna majimbo ya kanisa Katoliki yanatambua ushoga na kubariki ndoa za jinsia moja nk). Hivyo usikariri sana.
5. Mifumo mingine ya ndani ya siri ya kanisa katoliki sio safi au kuishabikia kidini, ni mifumo ya kisiasa na umafia ndani yake. Hivyo utazame ukatoliki kiimani na kisiasa pia.
ww haupo timamuLingekuwa halitetereki makanisa yasingegeuzwa misikiti.
ila padre ni ukristu ? ww ni ng'ombeeeHuo ni ubishani wa kijinga tu. Shekhe siyo Uislam, kama unamfata Shekhe unaufananisha Uislam na Ukristo. Hilo ni kosa.
Uislam ni dini ya kila mtu siyo ya "Shekhe". Shekhe unaesema kalawiti watoto huyo ndiyo ukisikia "kafiri" katika Uislam.
na ndio maana mnawapata hawa wehu wanaounga mkono mkataba wa bandari kisa mikataba ya huko nyuma haikuungwa mkono , na wanaamin wanamkomoa mtu hapa nchini , kumbe wanaichezea hatima yao , ng'ombeeee nynyHapa ndiyo utaiona neema ya Uislam, hakuna kura katika Uislam, siku ukikuta Waislam wanapiga kura wapate kiongozi elewa kuwa hao siyo Waislam na hawafati mafundisho ya Uislam.
ww ukimjua pekee yako unapungukiwa nn?Hilo la ubaba ndiyo nini sasa? Kudanganyana tu.
Mjuweni mwenyesi Mungu mmoja tu asiyezaa wala kuzaliwa. Jisalimisheni kwa Allah.
kwa maelezo yako ni kuwa waislam hawana utaratibu mzuri wa kupata viongoz ndio maana mnapata wengine majambaz , hivyo dini yenu ina mapunguf mengi tuUnajuwa tatizo lako unafikiri Waislam wana mfumo wa kikanisa, ukisikia Shehe kwenye Uislam usifikiri labda kuna chombo kinamfanya awe shekhe, pengine umekuta jitu limevaa kanzo lina ndevu na kobazi ukaliona la maana kumbe jambazi. Mfumo wa Kiislam ni tofauti kabisa.
Kanisa kwa upande mwingine linaongozwa kiutawala kutokea Vatikano huko, huwezi kuwa padre au askofu wa kanisa katoliki kama hujaidhinishwa na vatikano, sasa waone hao vatikano wanaoidhinisha, zaidi ya 90% ni mashoga na wanatuhuma nzito nzito za kuahribu watoto dunia nzima.
Uislam ni wewe na Muumba wako tu, hakuna longolongo za baba wala 'Shekhe".
Upo hapo ulipo?
ndio maana masheikh wenu ni wehu , hawajui kusoma na kuandikaTofauti ni kuwa Ukatoliki padri au askofu ni lazima aidhinishwe na Vatikano, huko Vatikano zaidi ya 90% ni mashoga, kwa ushahidi kabisa.
Uislam hauna kabisa mfumo wa kuidhinishana, hata wewe unaweza kuingia Uislam leo, ukijiweka kiheshima utaittwa shekhe, utasali na kusalisha wengine, hakuna longolomgo. Ukiharibu ni wewe, unaubeba msalaba wako, hakuna mlolongo. Ukitengeneza ni wewe umejitengenezea mwenyewe sifa njema.
Uislam ni mwema sana.
likiwa la kiarabu maana yake dini ni uislam ? kwamba hujui wapo waarabu wakristu?Wewe kwanza unatakiwa nini maana ya neno "dini" siyo chanzo.
Sasa utanifundisha mimi Muislam wakati neno "dini" ni la Kiarabu? Fikiri.
Soma Uislam kijana, Uislam ni dini yako, hujielewi tu.
Uislam kura zipo mufti anapigiwa kura, pia shehe wa wilaya na mkoa wanapigiwa kuraSio uislam tu hata katoliki hakuna kura!
Kwa povu hili utakuwa ni mmoja wa viongozi wa dayosisi fulani. Au wewe ni Pastor Hanandi yule aliyekosana na kanisa lake la kkktMbona umeandika upumbavu.. pumb*u za babu yako ww