Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

Mabingwa wa kuufananisha uislam na ukristo ni waislam wenyewe....kwa sababu Uislam bila Ukristo haujakamilika.

Ndio maana utakuta muislam anamfananisha Isa na Yesu... na anazimisha Isa awe Yesu.. Utakuta Muislam anasema Mohamad ametabiriwa kwenye Biblia.

Lakini huwezi kukuta Mkristo anatafuta validation yoyote ya imani yake ya Kikristo kwa Uislam.
Kweli kabisa. Tutafute validation Ili iweje?
 
Hamna cha kanisa lolote wala msikiti... Wote ni wapigaji tu.
Muislam akishakuwa mpigaji huyo ni kafiri. Kumbuka hilo.

Mfumo wa kanisa na msikiti ni vitu viwili tofauti.


Kwanza uongozi unaouonamsikitini ni takwa la kulazimishwa na serikali tu, siyo mfumo wa Kiislam.

Kiislam yeyote ni imam, kigezo cha kwanza elimu yake, cha pili umri wake (hekima) ili kuongoza wengine.

Hakuna sijuwi mwenyekiti, katibu, mweka hazina, (hayo ni matakwa yanayolazimishwa na serikali kwa ajili ya kulinda usalama lakini siyo matakwa ya Uislam, ndiyo maana unayakuta msikitini. Utakuta hao waliochaguwana hawana hata ujuzi wa Uislam.
 
Na mimi sijawahi ona mtu amepanda mtumbwi halafu akaanza kuutoboa ili afe majini,wewe ni mpagani unaesali kkkt.
 
Kwa sababu wamesema viongozi wa dini waache kujiingiza kwenye siasa?
Vijana wa ChaDema mnaangaika kukosoa na kiponda kila mtu,kikiundi,dhehebu na dini isiyokuwa tayari kuunga Mkono mawazo ya viongozi wenu.
 
Roman Catholic msingi wake umewekwa na Yesu Kristo kupitia Mtume Petro pale Vatican hayo mengine msingi wake uwekwa na mmiliki wake.
Ndo maana katoliki linaitwa church na hayo mengine yenye wachungaji walioa uitwa churches.
 
Shauri na nini kifanyike ili mambo yawe sawa?

Maana obviously tumeshakwama,mimi Mkatoliki lakini huwa naingia kote KKKT na Anglikana nikiwa sehemu ambayo Kanisa langu lipo mbali(japo tujue zaidi,KKKT na Anglikana tunakaribiana sana kiibada kiasi muumini kutoka hayo makanisa mawili akitaka kuingia Catholic huwa haitaji mafunzo mapya,ubatizo wala kukomunishwa upya)
 
Huo siyo ubishi wa kutaka kuelewa, huo ni ubishani wa kutaka kuhalalisha dhambi na ujinga.

Huyo mwenye wake wanne halafu "ana michepuko", kwanza huoni kuwa uwezekano huo ni mdogo sana? Umeuleta kiubishi tu? Ikiwa imetokea hivyo, wewe kwa ubinadamu wako tu unamuweka mtu huyo kundi lipi? Sasa uliza kwenye Uislam huyo hukumu yake ni ipi? usikurupuke tu.


Fananisha huyo aliyeruhusiwa kuoana mpaka na wake wanne kwa wakatai mmoja halafu yule asiyeuhusiwa hata kuwa na me mmoja akuongoze, kwani huelewi anfanya nini yule? DSoma vatikanoi wangapi ni mashoga huko, utaelewa.

Muulize Slaa kwanini walimtowa upadri?

Ndugu yangu kanisa katoliki wamelawiti watoto dunia nzima, mpaka Umoja wa Mataifa wamepiga kelele, unalielewa hilo? Au unalificha ficha mawazoni?

Utafananisha huyo na msjenzi mmoja anaejidai "shehe" kwa kuvaa kanzu na kwenda msikitini? hapana, hakuna mfumo huo katika Uislam.
Kwann umenijibu Kwa hasira hivi? Au nimepiga Ikulu?
 
Mwanzo nilijua hili kabisa la kkkt ni level moja na Katoliki lakini kumbe ni KICHUGUU NA KILIMANJARO. Sasahivi nimekuwa mtu mzima ndio najua Kanisa Katoliki halistahili kufananishwa na makanisa mengine, yaani Katoliki ni kanisa la kipekee sana na MISINGI YAKE ILIWEKWA NA MMOJA WA WANAFUNZI WA YESU NA YESU NDIYE ALIYETOA TAMKO LA KWAMBA KTK MWAMBA HUU NITALIJENGA KANISA, NA HAKIKA NDILO HILI SASA.

Tofauti na LUTHERAN AMBALO MISINGI YAKE IMEWEKWA NA MARTIN LUTHER AMBAYE ALITOKA KATOLIKI BAADA YA KUANZISHA MGOGORO. NA LAANA HIYO IMEENDELEA KULITESA KANISA LA LUTHERAN ambapo watu wwmekuwa wakijiondokea kwenda kuanzisha maganisa mapya, makanisa mengi tunayoyaona mitaani yenye majina ya kilokole waanzilishi wake ni wale waliokimbia LUTHERAN. Na wengi wanaoondoka kwenda kuanzisha makanisa wengi NI WA BINAFSI NA NI KWA AJILI YAO NA SIO KWA AJILI YA KAZI YA INJILI.

Katoliki hakuna mwenye jina kubwa kuliko Kanisa, ila LUTHERAN mchungaji anaweza kuwa mkubwa kuliko Kanisa, mfano Eliaona Kimaro wa K/nyama na Matsai wa Kimara.
Katoliki hakuna maandamano au shinikizo la waumini , lakini LUTHERAN Mchungaji anaweza ku influence waumini waandamane kupinga Maelekezo na Maamuzi ya juu ya taasisi hiyo, NAKUMBUKA KANISA LA ELIAONA KIMARO.
Utaratibu wa kuendesha ibada ndani ya kanisa Katoliki umeendelea kudumishwa karne na karne TOFAUTI NA LUTHERAN AMBAPO KUNA MUDA UKIINGIA UNASHINDWA KUJUA HAPA NI LUTHERAN AU NI KWA MWAMPOSA MAANA NI KURUKARUKA KWA KELELE KAMA DISCO, WAENDESHA IBADA NI KUONGEA KWA MAGUVU NA MAKELELE YAANI KAMA WANAVYOFANYA WAHUBIRI WA KILOKOLE. UKUTE SASA WANAKEMEA MAPEPO.

KIMSINGI NDANI YA IBADA KATIKA MAKANISA YA KKKT HUWA HAKUNA UTULIVU , USTAARABU NA UNYENYEKEVU KAMA ILIVYOKUWA MIAKA YA 1980 ( japo ukienda ujerumani makanisa yao yaliendelea ku maintain lie tujiandae ya kanisa) ila hapa kwetu ni vurugu tu.

MWISHO SIKUWAHI KUJUA KAMA MKUU WA KKKT ANAWEZA KUMALIZA MUDA WAKE HALAFU BAADA YA MIAKA KADHAA AKAGOMBEA TENA KITI HICHO. NIMEIONA HII JUZI BAADA YA KUSIKIA ASKOFU MALASUSA AMECHAGULIWA TENA.
Kwa kweli hii inaondoa hadhi ya Kanisa yaani utafikiri chama cha siasa.

Japo mimi ni Mlutheri/KKKT lakini hakika KANISA KATOLIKI NI KANISA SAHIHI NA LITABAKI KUWA NI KANISA LENYE HESHIMA YA KITUME HASA NA HILI NDILO KANISA LA MUNGU
Hakuna kanisa la kweli Duniani!!

Roma ni serikali na dola kamili inayotawala Dunia KWA utaratibu wa siri wala haihusiani na kanisa wala MUNGU muumba!!

Dini ni kivuli cha kupitisha agenda zao kwenye mataifa mbali mbali Duniani!!

Hiyo migogoro ya makanisa MENGINEYO ni mkono wa serikali kupitia Roma,pale wanapoona kanisa fulani linatishia maslahi ya serikali ya kirumi Duniani kote!!

Elewa hivyo itakusaidia sana kuliko unavyofikiri!!

Kuna MUNGU wa kweli hakuna Dini ya kweli,kuna imani ya MUNGU wa kweli hakuna kanisa au dhehebu la kweli Duniani yoote ni mipango ya serikali za siri Roma ikiwa mojawapo!!

Elewa hivyo mkuu itakusaidia kujua migogoro yote ni mipangokazi ya serikalitba Dini,madhehebu yote ni sehemu ya mpangokat wa serikali hii unayoiona!!!

Uwe huru
 
Nilisoma andiko moja la Ellen G white alisema kanisa katoliki limejengwa katika misingi imara halitakaa litetereke mpaka mwisho wa dunia.kuna muda itafika utatokea mpasuko ndani ya sabato na wengi watajitenga halafu haya madhehebu mengine yatasambaratika kabla ya mwisho wa dunia!!!
Ukiangalia kwa jicho la tatu andiko lake kama lina ka ukweli hivi,kanisa katoliki linapingwa vikali na madhehebu kibao lakini halijawahi kutetereka miaka na miaka!!
Litateteleka wakiruhusu tu mapadre kuoa
 
Hahahahaha...

FaizaFoxy DINI NI NINI?

Dīn (Kiarabu: دين, romanized: Dīn, pia anglicized kama Deen) ni neno la Kiarabu lenye hisia tatu za jumla: hukumu, desturi, na dini. [1] Inatumiwa na Waislamu na Wakristo wa Kiarabu.

Katika istilahi ya Kiislamu, neno linamaanisha njia ya maisha ambayo Waislamu lazima wachukue ili kufuata sheria ya Mungu, inayojumuisha imani, tabia na matendo. [2] Neno hili linaonekana katika Quran mara 98 na maelezo tofauti, ikiwa ni pamoja na katika maneno yawm al-din (Kiarabu: يوم الدين), kwa ujumla kutafsiriwa kwa "Siku ya Hukumu" au aya maarufu "La ikraha fid din" ambayo inatafsiri "Acha kusiwe na kulazimishwa katika dini." (Tafsiri ya Abdullah Yusuf Ali).
 
Dīn (Kiarabu: دين, romanized: Dīn, pia anglicized kama Deen) ni neno la Kiarabu lenye hisia tatu za jumla: hukumu, desturi, na dini. [1] Inatumiwa na Waislamu na Wakristo wa Kiarabu.

Katika istilahi ya Kiislamu, neno linamaanisha njia ya maisha ambayo Waislamu lazima wachukue ili kufuata sheria ya Mungu, inayojumuisha imani, tabia na matendo. [2] Neno hili linaonekana katika Quran mara 98 na maelezo tofauti, ikiwa ni pamoja na katika maneno yawm al-din (Kiarabu: يوم الدين), kwa ujumla kutafsiriwa kwa "Siku ya Hukumu" au aya maarufu "La ikraha fid din" ambayo inatafsiri "Acha kusiwe na kulazimishwa katika dini." (Tafsiri ya Abdullah Yusuf Ali).
Usiniletee Tafsiri za Msikitini. Niletee TAFSIRI YA KAMUSI.

Kamusi/Dictionary ndio ina tafsiri ya maneno. Siyo hizo links za msikitini unazocopy.

DINI/ RELIGION ni Nini kwa mujibu wa Dictionary?

WHAT IS RELIGION?
 
Mashekhe wanavyowala watoto? Huko madrasa? Mfano juzi shekhe zuberi kapigwa miaka 30 jumlisha kifungo cha maisha....halafu michezo ya kulawiti ipo kwenu sana waislamu na watu wa pwani sio siri..

....
Huyo mama ni wazimu huwa ana kawaida ya kubishana ujinga akitumia mwamvuli wa dini yake asijue humo ndiyo hakuna kitu kabisa.

Hii issue ya ulawiti kwa mtu timamu anaekubali ukweli wala haina haja ya ku-mention kikundi cha watu,hilo ni tatizo hata atheist wanalo.
 
Roman Catholic msingi wake umewekwa na Yesu Kristo kupitia Mtume Petro pale Vatican hayo mengine msingi wake uwekwa na mmiliki wake.
Ndo maana katoliki linaitwa church na hayo mengine yenye wachungaji walioa uitwa churches.
mapapa wana michepuko/vimada toka enzi hzo, baba yake cesar borgia alikuwa nani?
 
Wana matizo uao lukuki, tena makubwa na mazito sana, mengine ni majanga, wanaharibu watoto huko mpaka Umoja wa Mataifa umepiga kelele, msikilize aliyekuwa Rais wa Ufilipino anasema nini. Tazama link:

Mashekh si ndio wanaongoza kuharibu watoto wetu huko madrasa lkn.
Jiulize kijiji kimoja kina madrasa ngapi!? Kila madras moja kuna watoto wawili mpaka watatu wanafanyiwa ukatili huo. Ukimaliza hapo piga hesabu kwa kata wanafanyiwa watoto wangapi
 
Back
Top Bottom