Ningekutana na Rais leo, Nimgemwuliza kwanini amemtoa Mchengerwa Utawala Bora

Ningekutana na Rais leo, Nimgemwuliza kwanini amemtoa Mchengerwa Utawala Bora

Si busara Mkwe wa Rais kuongoza Wizara inayosimamia Usalama wa Taifa; tayari huyu Mchengerwa alishamwingiza mkenge Mama Mkwe wake (Rais Samia) kwenye kesi ya mchongo ya Freeman Mbowe

Mchengerwa, Mkwe wa Mama Samia ndo Makonda na Sabaya wa Awamu ya 6
 
Mchengerwa alikuwa perfect fit kwenye hiyo position I think honest na utendaji Bora umemtoa hapo nimesikitika mno yani
 
Si busara Mkwe wa Rais kuongoza Wizara inayosimamia Usalama wa Taifa; tayari huyu Mchengerwa alishamwingiza mama mkwe wake kwenye kesi ya mchongo ya Freeman Mbowe

Mchengerwa, Mkwe wa Mama Samia ndo alianza kuota mapembe ya akina Makonda na Sabaya wa Magufuli
Amemwingizaje kwenye hiyo kesi? Vipi utendaji wake wizarani ulipwaya? Hilo ndio la msingi na si kuangalia mahusiano binafsi
 
Si busara Mkwe wa Rais kuongoza Wizara inayosimamia Usalama wa Taifa; tayari huyu Mchengerwa alishamwingiza mama mkwe wake kwenye kesi ya mchongo ya Freeman Mbowe

Mchengerwa, Mkwe wa Mama Samia ndo Makonda na Sabaya wa Awamu ya 6
Kumbe ndio alimuungiza mkenge, ila alikuwa smart flani bana, Yani alifanya watumishi wajisikie huru
 
Mchengerwa alikuwa perfect fit kwenye hiyo position I think honest na utendaji Bora umemtoa hapo nimesikitika mno yani
Sio wewe pekeyako. Utafiti mdogo tu unaonesha watumishi wengi hawajapendezwa na mabadiliko hayo
 
Hujaona alichofanya Bungeni kusambaratisha Kambi jeuri kwa weledi na ustadi hadi wenyewe wanarukana

Sasa hivi anaenda kusambaratisha makatili waliowekwa kwny Utumishi
Hana huwezo huo na haji kufika level hizo, upinzani gani mwaka huu limekuwa na upinzani bungeni

Upinzani ulikuwa msimu uliopita, alifanya nini kama tu waliishiwa mbinu Hadi kutumia bunduki waziwazi

Huo weledi wa huyo ndugu y'ako u wapi mkuu
 
Hahahahaha ni vichekesho hivi jenista kwa uwezo gani?
Humjui jenista wewe,
Maraisi wote pangapangua hua hatoki baraza la mawazili yule

Usitake kunambia Hadi jpm alkua anambeba[emoji4]
 
Huo ni mpango ili kuhakikisha ifikapo May 1 wizara isiwe na mtu anayesimamia principles,hapo limewekwa vuvuzela Jenister Mhagama ili kunyonga swala la upandishaji wa mishahara!!! Subiri May 1 uone!!! Ila namshauri rais ugomvi alio nao ndani ya ccm unamtosha asitafute ugomvi na watumishi!!
 
Humjui jenista wewe,
Maraisi wote pangapangua hua hatoki baraza la mawazili yule

Usitake kunambia Hadi jpm alkua anambeba[emoji4]
Huwenda ni imara ila nauliza mchengerwa alipwaya wapi?
 
Humjui jenista wewe,
Maraisi wote pangapangua hua hatoki baraza la mawazili yule

Usitake kunambia Hadi jpm alkua anambeba[emoji4]
Kubaki haina maana ni mzuri, jenista Ana uwezo gani zaidi ya kiherehere bungeni

Maraisi hupenda watu wenye viherehere na uwezo mdg kichwani (wale wa kutumwa tumwa na ndio mzee)

Lini umeona maraisi wetu wakipenda watu smart kichwani

Kipendwa na kila awamu Ina maana ni bendera tu na mfuata maelekezo mzuri
 
Huo ni mpango ili kuhakikisha ifikapo May 1 wizara isiwe na mtu anayesimamia principles,hapo limewekwa vuvuzela Jenister Mhagama ili kunyonga swala la upandishaji wa mishahara!!! Subiri May 1 uone!!! Ila namshauri rais ugomvi alio nao ndani ya ccm unamtosha asitafute ugonjwa na watumishi!!
Kundi la watumishi lilikandamizwa mno na jpm lakini ndilo kundi ambalo lolite likitaka kufanyika dhidi ya mtawala "kisomi" (iwe kum neutrakize) basi kundi hilo hutumika umemshauri vyema Mama
 
Kubaki haina maana ni mzuri, jenista Ana uwezo gani zaidi ya kiherehere bungeni

Maraisi hupenda watu wenye viherehere na uwezo mdg kichwani (wale wa kutumwa tumwa na ndio mzee)

Lini umeona maraisi wetu wakipenda watu smart kichwani

Kipendwa na kila awamu Ina maana ni bendera tu na mfuata maelekezo mzuri
KWAIYO wee ulitaka uwe waziri afu upingane na maelekezo ya mteuzi wako?
 
Si busara Mkwe wa Rais kuongoza Wizara inayosimamia Usalama wa Taifa; tayari huyu Mchengerwa alishamwingiza mama mkwe wake kwenye kesi ya mchongo ya Freeman Mbowe

Mchengerwa, Mkwe wa Mama Samia ndo Makonda na Sabaya wa Awamu ya 6
MÀTAGA na CHAWA hayawezi kukuelewa.
 
Huo ni mpango ili kuhakikisha ifikapo May 1 wizara isiwe na mtu anayesimamia principles,hapo limewekwa vuvuzela Jenister Mhagama ili kunyonga swala la upandishaji wa mishahara!!! Subiri May 1 uone!!! Ila namshauri rais ugomvi alio nao ndani ya ccm unamtosha asitafute ugomvi na watumishi!!
Maymos wasijichanganye 😁😂🤣
 
Back
Top Bottom