hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.
Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.
Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.
Otherwise Segerea itawahusu
Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.
Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.
Otherwise Segerea itawahusu
Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo