Ningekuwa ni Mmoja wa viongozi wa CHADEMA muda huu ningekuwa mpakani

Ningekuwa ni Mmoja wa viongozi wa CHADEMA muda huu ningekuwa mpakani

Wewe kiazi mbatata, acha kununuliwa na Siasa majitaka.

Wewe unaamini CHADEMA inaweza kupanga MIPANGO OVU katika MKUTANO wa waziwazi, ULOITWA WAZIWAZI, na taarifa zikazagaa mpaka Mitandaoni kua CHADEMA tarehe fulan Ina kikao?.

Yaan CHADEMA hawahawa wasokua na bunduki , wawe na Uwezo wa kupindua Nchi??
Ni mwendawazimu Tu ndie anaweza kuamini huu uongo
 
Wanachadema wengi unaweza kuwatumia kama Case study unapozungumzia masuala ya madawa ya kulevya.
...toka siku ile pale mahakamani kesi ya mwenzao Zitto Kabwe....walipounda genge ili akitoka tu wajifanye kuna kusukumana halafu watumie kalamu zao kumjeruhi ndipo nilipowajua hawa jamaa ni CASE STUDY ya PSYCHOSIS wodi no.14 acute pale Mirembe....mateja ya methadone hayo.....🤣
 
...toka siku ile pale mahakamani kesi ya mwenzao Zitto Kabwe....walipounda genge ili akitoka tu wajifanye kuna kusukumana halafu watumie kalamu zao kumjeruhi ndipo nilipowajua hawa jamaa ni CASE STUDY ya PSYCHOSIS wodi no.14 acute pale Mirembe....mateja ya methadone hayo.....🤣
Naikumbuka hii, hadi serikali ikatangaza kumuwekea ulinzi Zitto kutokana na genge la mauaji lililotumwa na Chadema.
 
Nchi siyo mali ake binafsi, hakuna kiongozi wa CHADEMA ataondoka, kama ana intelijensia kali hivyo mbona hiyo intelijensia imeshindwa kudhibiti mauaji na utekaji? wizi umejaa serikalini lakini ameshindwa
Yeye mwenyewe alisema amesikitishwa sana na kifo Cha Kibao na anaomba taarifa ya kina kuhusu kifo hicho..........

Iweje leo aseme, kifo hicho kimeshikiliwa Bango pekee na jumuia mbalimbali, zikiwemo viongozi wakubwa wa dini, balozi mbalimbali za nje ya nchi, wanaharakati mbalimbali na vyama vya siasa vya upinzani??

Kwa hiilo alilolisema kuwa kulikuwa na kikao Cha Siri huko Arusha, dawa yake ni iundwe Tume huru ya kuchunguza mambo yote hayo
 
Haya maneno ni marahisi na matamu ukiwa unaongea behind ya keyboard kama hivyo

Muulize lema familia yake amepeleka wapi
Mnamtaka Lema au familia yake? Baba Mpumbavu ataiweka familia yake kwenye mazingira ya hatari. Lema sio mmoja wao.

Familia yake unaitakia nini? Lema kushiriki maandamano haitoshi?
 
Naikumbuka hii, hadi serikali ikatangaza kumuwekea ulinzi Zitto kutokana na genge la mauaji lililotumwa na Chadema.
......hatari sana mkuu...

Hatari sana....

Najiuliza ingekuwaje huyo mwenzao Zitto asingetokea mlango wa Pilato na kuamua kupita mlango ambao MATEJA walijazana wakiwa na Kalamu zao na penseli....

Akina Sauli Mbavupana ,Maryam Sembenko ,Ali Chongomoja ,Willy Lyakya na mateja wenzao wa ubungo na kimara.....

Mateja si watu....🤣
 
Back
Top Bottom