Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ujinga mtupuUmeandika nini sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga mtupuUmeandika nini sasa
>TUWE MAKINI SANA! TUSICHEKE NA KIMA!,
Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.
Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.
Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.
Otherwise Segerea itawahusu
Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Soon utanielewa
Myika si ameitwa police then utaelewa
Unajua clip ya Dr slaa kuhusu kutekana inasemaje? Ukipata hiyo clip then utanielewa what I mean
Ww uko kwenye keyboard unaweza kuandika anything
But wahusika wameelewa namaanisha nini
Kama hizo taarifa anazo na intelejensia kubwa anayoisema kwanini wanaofanya utekaji na mauwaji hawawajibishwi?
Au hiyo intelejensia ipo kwa ajili ya vyama vya upinzani pekee?
Chadema si wamoja tena. Inakuwaje vikao vyao vya siri vinadukuliwa??
Itoshe kusema nchi ni ya wananchi! Viongozi tumewapa dhamana ya kutuongoza! Wasitunyime haki ya kutafuta haki pale tunapoona hatutendewi haki.Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.
Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.
Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.
Otherwise Segerea itawahusu
Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Chadema ni kikundi cha wavuta bangi na wanywaji wa gongo.
Haya nenda road tarehe 23
Sasa mtu kama Boni Mayai unategemea nini ?!! 🤣🤣
Akienda tu huyo ndio MHAINI mwenyewe.... TREASON TREASON TREASON
Amesema ukweli kuwa mna mipango miovu ya kutaka kuiingiza nchi katika TAHARUKI kupitia njia tofauti.....Hivi hamna hata chembe ya aibu kumwona mtu wenu akiumbuka kwa kusema uongo mbele za watu wenye akili timamu?
Sihitaji kuhimizwa na watu wapuuzi aina yako nifanye jambo lolote; na wala sihitaji kuripotinkwako juu ya uhusika wangu katika jambo lolote.
Akili zenu mnakuwa kama watoto wadogo?
Wako watu wa hovyo kwenye nafasi kubwa zaidi ya uhovyo wa Boni Mayai.....Boni Yai amewahi kuwa Meya, wewe je?
Mzalendo lazima ufie nchini kwako.Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.
Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.
Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.
Otherwise Segerea itawahusu
Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
.....kupanga mipango miovu ya kumwondoa rais kwa njia haramu....Unajua maana ya Uhaini?
ramba uondoke wewe na familia yako.Huyu mama kuchanganyikiwa.analeta vitisho lakini moto upo palepale.she must go
Sawa....Huna sifa ya kumhimiza mtu yeyote afanye nini.
Usiamini wala kujipa imani kuwa kila siku, wewe ukiwa wa kuua, utaendelea kuua watu wengine tu. CCM ilifanya huo ushenzi wakati wa awamu ya 5, katika awamu hii imezidisha maradufu huo ushetani maradufu, lakini ujue kuwa kuna wakati wa wao wauaji, siku nyingine, kukaa huko mipakani, hata kama watu wa haki hawatakuwa bunduki mikononi. Aliyekuwa Rais Bangladesh, Sheikh, mpaka leo amekuwa mkimbizi nchini India. Wananchi hawakubeba panga wala shoka ila uovu wake uligeuka kuwa silaha nzito za kumkimbiza.Haya maneno ni marahisi na matamu ukiwa unaongea behind ya keyboard kama hivyo
Muulize lema familia yake amepeleka wapi