Ningekuwa ni Mmoja wa viongozi wa CHADEMA muda huu ningekuwa mpakani

Ningekuwa ni Mmoja wa viongozi wa CHADEMA muda huu ningekuwa mpakani

CHADEMA NI WAPUUZI SANA TENA WASIO NA AKILI KABISA, "" HIVI NCHI HII ITAKAPOVURUGIKA HUO UPINZANI WAO WATAUFANYIA KATIKA NCHI GANI"""
N. B, Tunao maadui wengi sana wanaosubiria kwa kiu kubwa sana sisi wenyewe tuivuruge nchi waanze kumwaga fedha kwa watu na vikundi mbalimbali alimradi nchi ikibidi isiikalike kabisa

>TUWE MAKINI SANA! TUSICHEKE NA KIMA!,
 
Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.

Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.

Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.

Otherwise Segerea itawahusu

Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Na wewe ulivyo na akili ndogo ukamuamini huyo mama.
 
Soon utanielewa
Myika si ameitwa police then utaelewa

Unajua clip ya Dr slaa kuhusu kutekana inasemaje? Ukipata hiyo clip then utanielewa what I mean

Clip ya 2021 ya kazi gani?. Kwa hivyo mauaji yote yanayofanyika ni CHADEMA. Acheni ujinga.
 
Kama hizo taarifa anazo na intelejensia kubwa anayoisema kwanini wanaofanya utekaji na mauwaji hawawajibishwi?

Au hiyo intelejensia ipo kwa ajili ya vyama vya upinzani pekee?

Mimi nimeshangaa Sana. Eti kila kitu kilichoongelewa nimekipata. Lakini raia kuuawa na majambazi barabarani anadai ni Jambo la kawaida.
 
Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.

Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.

Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.

Otherwise Segerea itawahusu

Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Itoshe kusema nchi ni ya wananchi! Viongozi tumewapa dhamana ya kutuongoza! Wasitunyime haki ya kutafuta haki pale tunapoona hatutendewi haki.
 
Hivi hamna hata chembe ya aibu kumwona mtu wenu akiumbuka kwa kusema uongo mbele za watu wenye akili timamu?
Sihitaji kuhimizwa na watu wapuuzi aina yako nifanye jambo lolote; na wala sihitaji kuripotinkwako juu ya uhusika wangu katika jambo lolote.
Akili zenu mnakuwa kama watoto wadogo?
Amesema ukweli kuwa mna mipango miovu ya kutaka kuiingiza nchi katika TAHARUKI kupitia njia tofauti.....

Well....

Sawa mimi ni mpuuzi ,kaandamane mwerevu. ...

Sawa mimi mtoto mdogo ,wewe mkubwa mwenye kujitambua vyema kaandamane S 23....

Kila la heri katika maandamano ewe bingwa wa ujasiri nyuma ya keyboard.....
 
Kwenye hotuba ya Leo ya mheshimiwa Rais ametoa code moja ambayo kama ni kweli viongozi wa chadema walifanya mkutano Arusha na waliongea Ile code ambayo Rais kaisema then ni Jambo la wazi wanatakiwa kuwa border now.

Maana yake taarifa zote za kikao chao itakuwa Rais kazipata.

Sasa kama waliplan vurugu na Rais kapata ushahidi then waanze kutoroka inchi.

Otherwise Segerea itawahusu

Soma:
- Rais Dkt. Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo
Mzalendo lazima ufie nchini kwako.
 
Intelligensia ipo kwa ajili ya kukagua upinzani wanafanya nini lkn kukamata wauwaji wanaomshusha mtu kwenye bus mchana kweupe haipo..Viongozi wetu sijui wanashida gani tu??
 
Haya maneno ni marahisi na matamu ukiwa unaongea behind ya keyboard kama hivyo

Muulize lema familia yake amepeleka wapi
Usiamini wala kujipa imani kuwa kila siku, wewe ukiwa wa kuua, utaendelea kuua watu wengine tu. CCM ilifanya huo ushenzi wakati wa awamu ya 5, katika awamu hii imezidisha maradufu huo ushetani maradufu, lakini ujue kuwa kuna wakati wa wao wauaji, siku nyingine, kukaa huko mipakani, hata kama watu wa haki hawatakuwa bunduki mikononi. Aliyekuwa Rais Bangladesh, Sheikh, mpaka leo amekuwa mkimbizi nchini India. Wananchi hawakubeba panga wala shoka ila uovu wake uligeuka kuwa silaha nzito za kumkimbiza.
 
Back
Top Bottom